Ni muda wa Yanga kuibeba Simba kimataifa

Ni muda wa Yanga kuibeba Simba kimataifa

De Opera

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2013
Posts
780
Reaction score
1,664
De Opera JF Simba .jpg


By De Opera ,

Ni takribani miaka minne, tumeona klabu ya soka ya Simba ikifanya vizuri mashindano ya kimataifa kiasi cha kwamba hadi imesababisha uwepo wa vilabu vinne kushiriki mashindano ya CAF yaani Klabu bingwa barani afrika na Kombe la shirikisho barani Afrika ambapo timu mbili zilishiriki/zimeshiriki kombe la shirikisho na timu mbili kushiriki ligi ya mabingwa.

Tumeshuhudia kiwango cha Simba kinachoishi leo si kile kiwango cha Simba ambacho naweza nikasema kilikuwa ni cha gharama ya kawaida tofauti na sasa ambapo timu inawachezaji wa bei ghali wakati matokeo yakipatikana si ya kuridhisha ama hayaridhishi kabisa.

Simba imekuwa ikisuasua kitendo ambacho kimefanya wapoteze michezo miwili kwenye ligi ya mabingwa barani Afrika kwenye kundi 'C'.

Sasa tunaona mwenendo ulivo na kuna matumaini madogo sana Simba kuweza kusonga hatua ya robo fainali msimu huu, kwani wanahitaji ushindi wa mechi tatu huku waendelee kumuombea Horoya apate matokeo mabaya katika mechi zake. Ni ngumu kwa aina ya kikosi na mfumo unaotumika kwa sasa.

Sisemi kwamba Simba ndio haiwezi kabisa, la hasha! ni jinsi tu ambavyo naona aina ya wachezaji na mfumo unaotumika simba.

Sasa, kutokana na mwenendo huu kama Simba wasipobadilika naweza kusema msimu huu kwenye CAF ni kwakheri, labda Simba ichukuwe ubingwa wa NBC, kombe shirikisho la Azam, ama Yanga wafanye vizuri zaidi kama tunavyoona sasa Yanga inakikosi kizuri inao uwezo huo. Hii itamfanya Simba ajihakikishie kushiriki klabu bingwa msimu ujao ambapo kule kuna nafasi ukishindwa raundi ya pili basi utaenda kupambania nafasi ya kombe la shirikisho, tofauti na kuanza na kombe la shirikisho ambapo ukifungwa mechi hata raundi ya pili, ni nyumbani kumenoga.

So, bila kuweka jicho la husuda, Simba imekuwa ikiibeba Yanga kimataifa nikimaanisha Ligi ya mabingwa na sasa ni zamu ya Yanga kuibeba Simba kimataifa.
 
Simba sio wazuri sana pia sio wabovu kiasi hicho mnacho kiona nyie, shida yao kubadili badili mbinu kutokana na kubadili makocha. Fainali yao ni jumamosi dhidi ya vipers wakishinda io game uhakika wa kufuzu utakuwepo washindwe wao.

Kwa yanga ili njia iwe rahisi kwetu ni TP mazembe ampige monastr nje ndani, na sisi tushinde game za nyumbani zilizobaki ili game yetu na wao ya mwisho ya makundi iwe rahisi.

[emoji2398] Kila mtu ashinde mechi zake tukutane game za mwisho za makundi.
 
Pambaneni muongeze ile pointi yenu moja na nusu iliyokaa karibia miaka kumi[emoji1787][emoji1787], Simba Sc iko juu sana kwenye haya mambo[emoji1306][emoji1306]
 
Mo arudi front line simba itarudi , ngoz nyeusi tuna wivu sana mara anaiba na figusu figusi za kijinga mno.
 
Sasa, kutokana na mwenendo huu kama Simba wasipobadilika naweza kusema msimu huu kwenye CAF ni kwakheri, labda Simba ichukuwe ubingwa wa NBC, kombe shirikisho la Azam, ama Yanga wafanye vizuri zaidi kama tunavyoona sasa Yanga inakikosi kizuri inao uwezo huo. Hii itamfanya Simba ajihakikishie kushiriki klabu bingwa msimu ujao ambapo kule kuna nafasi ukishindwa raundi ya pili basi utaenda kupambania nafasi ya kombe la shirikisho, tofauti na kuanza na kombe la shirikisho ambapo ukifungwa mechi hata raundi ya pili, ni nyumbani kumenoga.
Mkuu, labda umesahau kwamba kuanzia mwezi wa nane Simba anacheza michuano ya Super Cup kwa kupewa tiketi ya kudumu bila kujali imeshuka daraja au imeshika nafasi ya kumi na mbili. Maandalizi yamekamilika kwa kiasi kikubwa na ujumbe wa CAF ulikuwapo nchini wiki iliyopita kukagua miundombinu, Simba ipo mbioni kuingiziwa mpunga wa maandalizi na hakuna timu nyingine yoyote ya Afrika Mashariki itakayoshiriki zaidi ya Simba.

Michuano hii ni kwa ajili ya timu kubwa tu, na siku chache kabla ya mechi ya Horoya, Try Again alikuwa ana vikao viwili mfululizo, kimoja cha CAF na kingine cha FIFA.

Sasa wewe endelea kupigia hesabu nafasi nne wakati kuna nafasi moja tu ambayo nayo imeshapewa mwenye nguvu
 
View attachment 2524707

By De Opera ,

Ni takribani miaka minne, tumeona klabu ya soka ya Simba ikifanya vizuri mashindano ya kimataifa kiasi cha kwamba hadi imesababisha uwepo wa vilabu vinne kushiriki mashindano ya CAF yaani Klabu bingwa barani afrika na Kombe la shirikisho barani Afrika ambapo timu mbili zilishiriki/zimeshiriki kombe la shirikisho na timu mbili kushiriki ligi ya mabingwa.

Tumeshuhudia kiwango cha Simba kinachoishi leo si kile kiwango cha Simba ambacho naweza nikasema kilikuwa ni cha gharama ya kawaida tofauti na sasa ambapo timu inawachezaji wa bei ghali wakati matokeo yakipatikana si ya kuridhisha ama hayaridhishi kabisa.

Simba imekuwa ikisuasua kitendo ambacho kimefanya wapoteze michezo miwili kwenye ligi ya mabingwa barani Afrika kwenye kundi 'C'.

Sasa tunaona mwenendo ulivo na kuna matumaini madogo sana Simba kuweza kusonga hatua ya robo fainali msimu huu, kwani wanahitaji ushindi wa mechi tatu huku waendelee kumuombea Horoya apate matokeo mabaya katika mechi zake. Ni ngumu kwa aina ya kikosi na mfumo unaotumika kwa sasa.

Sisemi kwamba Simba ndio haiwezi kabisa, la hasha! ni jinsi tu ambavyo naona aina ya wachezaji na mfumo unaotumika simba.

Sasa, kutokana na mwenendo huu kama Simba wasipobadilika naweza kusema msimu huu kwenye CAF ni kwakheri, labda Simba ichukuwe ubingwa wa NBC, kombe shirikisho la Azam, ama Yanga wafanye vizuri zaidi kama tunavyoona sasa Yanga inakikosi kizuri inao uwezo huo. Hii itamfanya Simba ajihakikishie kushiriki klabu bingwa msimu ujao ambapo kule kuna nafasi ukishindwa raundi ya pili basi utaenda kupambania nafasi ya kombe la shirikisho, tofauti na kuanza na kombe la shirikisho ambapo ukifungwa mechi hata raundi ya pili, ni nyumbani kumenoga.

So, bila kuweka jicho la husuda, Simba imekuwa ikiibeba Yanga kimataifa nikimaanisha Ligi ya mabingwa na sasa ni zamu ya Yanga kuibeba Simba kimataifa.
Simba ilifanya vzur kimataifa kivip we kiazi, Kuishia robo final ndo kufanya vzur? We ndala kweli
 
View attachment 2524707

By De Opera ,

Ni takribani miaka minne, tumeona klabu ya soka ya Simba ikifanya vizuri mashindano ya kimataifa kiasi cha kwamba hadi imesababisha uwepo wa vilabu vinne kushiriki mashindano ya CAF yaani Klabu bingwa barani afrika na Kombe la shirikisho barani Afrika ambapo timu mbili zilishiriki/zimeshiriki kombe la shirikisho na timu mbili kushiriki ligi ya mabingwa.

Tumeshuhudia kiwango cha Simba kinachoishi leo si kile kiwango cha Simba ambacho naweza nikasema kilikuwa ni cha gharama ya kawaida tofauti na sasa ambapo timu inawachezaji wa bei ghali wakati matokeo yakipatikana si ya kuridhisha ama hayaridhishi kabisa.

Simba imekuwa ikisuasua kitendo ambacho kimefanya wapoteze michezo miwili kwenye ligi ya mabingwa barani Afrika kwenye kundi 'C'.

Sasa tunaona mwenendo ulivo na kuna matumaini madogo sana Simba kuweza kusonga hatua ya robo fainali msimu huu, kwani wanahitaji ushindi wa mechi tatu huku waendelee kumuombea Horoya apate matokeo mabaya katika mechi zake. Ni ngumu kwa aina ya kikosi na mfumo unaotumika kwa sasa.

Sisemi kwamba Simba ndio haiwezi kabisa, la hasha! ni jinsi tu ambavyo naona aina ya wachezaji na mfumo unaotumika simba.

Sasa, kutokana na mwenendo huu kama Simba wasipobadilika naweza kusema msimu huu kwenye CAF ni kwakheri, labda Simba ichukuwe ubingwa wa NBC, kombe shirikisho la Azam, ama Yanga wafanye vizuri zaidi kama tunavyoona sasa Yanga inakikosi kizuri inao uwezo huo. Hii itamfanya Simba ajihakikishie kushiriki klabu bingwa msimu ujao ambapo kule kuna nafasi ukishindwa raundi ya pili basi utaenda kupambania nafasi ya kombe la shirikisho, tofauti na kuanza na kombe la shirikisho ambapo ukifungwa mechi hata raundi ya pili, ni nyumbani kumenoga.

So, bila kuweka jicho la husuda, Simba imekuwa ikiibeba Yanga kimataifa nikimaanisha Ligi ya mabingwa na sasa ni zamu ya Yanga kuibeba Simba kimataifa.
Hakuna cha kubebana kila mtu ashinde mechi zake.
 
Back
Top Bottom