Ni muhimu kuwa na Life Insurance(bima ya uhai) kwa wenye familia kupunguza majonzi ya kufa

Ni muhimu kuwa na Life Insurance(bima ya uhai) kwa wenye familia kupunguza majonzi ya kufa

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kama una familia ni muhimu sana kuwa na life insurance (bima ya uhai) ili kupunguza machungu kwa unaowaacha duniani pale unapofariki. Kiwango cha majonzi katika misiba kinachangiwa pia jinsi wafiwa wanaachajwe na marehemu.

Tujitatahidi kubadilika na kwenda wakati, ni ushamba kuwa na duka kariakoo au una biashara nyingine ya kiwango cha kati halafu huna life insurance.

Pia makampuni ya bima yaweke policy ya mtu akipotea miaka mitatu bila kuonekana itambulike kama amekufa wanafamilia walipwe.
 
Kuna watu humu walikuwa wana-quetion kitendo cha familia za marehemu maarufu wa hivi karibuni kutolia kwenye misiba ya mume/baba zao. Uzi wako ni sehemu ya majibu.
 
Watanzania nao waamke, mtu hana mbele wala nyuma lkn unakuta ana watoto 6+. Zaa mtoto mmoja tu, ama usizae kabisa.

Hiyo bima ya ku-cover watu kumi ipo?
 
Back
Top Bottom