Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kama una familia ni muhimu sana kuwa na life insurance (bima ya uhai) ili kupunguza machungu kwa unaowaacha duniani pale unapofariki. Kiwango cha majonzi katika misiba kinachangiwa pia jinsi wafiwa wanaachajwe na marehemu.
Tujitatahidi kubadilika na kwenda wakati, ni ushamba kuwa na duka kariakoo au una biashara nyingine ya kiwango cha kati halafu huna life insurance.
Pia makampuni ya bima yaweke policy ya mtu akipotea miaka mitatu bila kuonekana itambulike kama amekufa wanafamilia walipwe.
Tujitatahidi kubadilika na kwenda wakati, ni ushamba kuwa na duka kariakoo au una biashara nyingine ya kiwango cha kati halafu huna life insurance.
Pia makampuni ya bima yaweke policy ya mtu akipotea miaka mitatu bila kuonekana itambulike kama amekufa wanafamilia walipwe.