Ni muhimu sana Mzee Hafidh kuambatana na mama Samia kesho nchini Kenya

Ni muhimu sana Mzee Hafidh kuambatana na mama Samia kesho nchini Kenya

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
FB_IMG_16630097376095302.jpg

Bila shaka nadhani kesho mama Samia aende na mzee Hafidhi katika sherehe za kuapishwa Rutto. Siti mbili zaidi kwenye ndege sio mzigo mkubwa Sana kwa taifa. Sio kwa sababu binafsi ila ni sababu za kidiplomasia zaidi.
Uwepo wa Hafidhi utasaidia katika kufungua nchi.
 
Sura imekaa mtumiaji wa status chocolate, maana hana sigda kabisa.
 
Back
Top Bottom