MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Hakika mzee Hafidh angevaa miwani ndo angekua copy ya Lupaso kabisa.Nilipo ona hiyo picha kwa haraka kidgo nilidhani huyu mzee ni lord rofa(rip) kumbe sio
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwenda hilo nalo kulitazamaAende kufanya nini
First gentleman.huji?Aende kufanya nini
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2354968
Bila shaka nadhani kesho mama Samia aende na mzee Hafidhi katika sherehe za kuapishwa Rutto. Siti mbili zaidi kwenye ndege sio mzigo mkubwa Sana kwa taifa. Sio kwa sababu binafsi ila ni sababu za kidiplomasia zaidi.
Uwepo wa Hafidhi utasaidia katika kufungua nchi.
First gentleman.huji?
Apelekewe mic tumsikie maoni yake juu ya tozo.namuona kama yuko very straight forward😃😃nahisi haiungi mkono tozo!
Nimeona gazeti lenu linasema Mbowe anaenda kuisimamisha kenya[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]