Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
Mkuu kweli,demu akikupenda mbona kila saa atakuwa hewani tu,lazima akutafute halafu hata usipopiga hana tatizo ye anaona kama wajibu wake
Sio mademu wote wakikupigia kila saa ni kwamba wanapenda sana.
BTW: Guys stop complaining and be real men.