Ni mwaka gani ulikuja Dar es Salaam?

Kesho itakuwa mara ya 1 na Mimi nishangae magorofa na warembo😅

Nasubiri gari/lift ya gari ya ng'ombe Usiku huu

Hakika nitafurahi sana,mwaka mpya nitasheherekea daslamuu
Karibu sana mjini.
 
Magufuli anapiga kampeni kwa mara ya kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…