LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,436
- 3,723
Ndiye yeye najua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye yeye najua.
TRC reli TV inaonesha hadi kufungwa kwa bolti kwenye Reli, lakini mambo ni kificho kwa keenda mbele huko Rufiji, hakuna anaeweza kutuambia wanafanya nini huko hadi sasa, wamefikia wapi, hata humu natafuta JF sioni walau maendeleo ya mradi umefika wapi, binafsi nipo gizani.., wewe unafahamu?Unaposema hamuoni, ni wewe na nani?
Halafu umetafuta wapi au sehem ukakosa au mkakosa?
Hebu tuanzie hapo kwanza.
Ujenzi ulianza way before uzinduzi...Uzinduzi umefanyika July 2019, unategemea kutakuwa na alama kubwa mpaka sasa ya ujenzi. Pia tambua mradi kama huo sio barabara au reli. Nikuulize, ulishawahi ona mitambo ya Kidatu, Kihansi au Mtera? Usitegemee kuletewa updates za kila mara kwa mradi huu
[/URL]
Kama wewe tu mkuu maana na wewe unajibu kama vile mtanzania ambaye akili zake zimejaa tope.Nilichojifunza akili zetu Watanzsnia zimejaa tope, hakuna awezaye kujibu bila kupaniki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa unalima huhitaji coverage ya vyombo vya habari ndio.maana hata bunge iliamriwa wasiwe live sababu kile Ni kikao Cha kazi sio Cha kuuza sura kwenye media.TRC reli TV inaonesha hadi kufungwa kwa bolti kwenye Reli, lakini mambo ni kificho kwa keenda mbele huko Rufiji, hakuna anaeweza kutuambia wanafanya nini huko hadi sasa, wamefikia wapi, hata humu natafuta JF sioni walau maendeleo ya mradi umefika wapi, binafsi nipo gizani.., wewe unafahamu?
Leta ushahidi, umejuaje wakati unasema hamjaona?Ujenzi ulianza way before uzinduzi...
Miradi ya upigaji hii, hao Arab contractors wamebeba mzigo wamewekeza hapo Uganda kwa m7Nasikia kuna trillion kadhaa zimeshatumbukizwa huko, nilitegemea by now kuona walau bwawa limeinuka angalau hata sentimita 50, lakini wapi.., kuna anaefahamu kinachokwamisha?
Sasa ulishawahi ona uzinduzi wa ujenzi unafanyika bila chochote kuwepo site?Ujenzi ulianza way before uzinduzi...
Kampuni yako ilikosa tenda unakuja kulia Lia humu.Miradi ya upigaji hii, hao Arab contractors wamebeba mzigo wamewekeza hapo Uganda kwa m7
Nilichojifunza akili zetu Watanzsnia zimejaa tope, hakuna awezaye kujibu bila kupaniki
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeona work program inaonyesha mkamdarasi alitakiwa awe amefanya 20% lakni mkandarasi ameishalipwa 50% ya contact sum, ni ubabaishaji tuMkuu nimekujibu kulingana na alivyopresent hii thread yako. Kwako wewe ni kama vile una uhakika kwamba hakuna chochote kinachoendelea. Huja-demand mamlaka zinazohusika (Tanesco na wizara ya nishati) kutoa progress reports za mradi kama inavyofanyika kwenye mradi wa SGR. Wewe ni kama unaponda tu kwamba so far hakuna kilichofanyika.
Wao wenyewe wamekuwa wakisema ujenzi umeanza, ila hadi leo mi sijaona chochote popote pale, tofauti kabisa na SGR ambapo taarifa zinamiminika tu..Leta ushahidi, umejuaje wakati unasema hamjaona?
Mimi nasema ulikuwa bado, ndo walikuwa wamekamilisha mobilization
Kama wewe tu mkuu maana na wewe unajibu kama vile mtanzania ambaye akili zake zimejaa tope.
Hesabu zako haziko sahihi initial.cost ya mradi huwa ni.kubwa Kama kafanya 20 pertcent cost za mobilization unaziweka wapi? Vifaa vya ujenzi na material collection yake imefanyika SAA ngapi huwezi Seema tu kilayman or completed work so far Ni 20 per cent na kalipwa 50 percent Wewe ndie mweupe kichwani sababu assumption yako Ni kuwa hiyo project ilipoanza kila kitu kilikuwa on site na alileta kwa gharama zake bila advance payment!!! Ya mobilizationTumeona work program inaonyesha mkamdarasi alitakiwa awe amefanya 20% lakni mkandarasi ameishalipwa 50% ya contact sum, ni ubabaishaji tu
Andiko lako kimantiki limesha hitimisha ulichokusudia..Unataka nipige magoti ndio ujue nimeomba? Acha kujibaraguza na changia mada kama una cha kuchangia..
Ndio nimeuliza hapo tayariAndiko lako kimantiki limesha hitimisha ulichokusudia..
Siku nyingine Anza na neno 'nisaidieni'..idiot
Page zako ulizozifollow ninza umbea, tv unayoangalia ji wasafi tv, inategemea utayaona hayo unayotaka kuona?Sasa mbona hatuoneshwi hata vibarua na mabulldozer yakiwa kazini walau hata tupate matumaini kama wanavyofanya SGR, yaani yamebaki maneno tu kwamba kuna Rufijiiii kuna Rufijiii, majukwa yote linatajwa hilo bwawa, wakati hata kipande cha kokoto au nondo hatuoneshwi site..., kuna nini?