Ni mwaka sasa tangu ujenzi uanze, sijaona kilichofanyika Bwawa la Rufiji

Ni mwaka sasa tangu ujenzi uanze, sijaona kilichofanyika Bwawa la Rufiji

Sasa mbona hatuoneshwi hata vibarua na mabulldozer yakiwa kazini walau hata tupate matumaini kama wanavyofanya SGR, yaani yamebaki maneno tu kwamba kuna Rufijiiii kuna Rufijiii, majukwa yote linatajwa hilo bwawa, wakati hata kipande cha kokoto au nondo hatuoneshwi site..., kuna nini?
Mbona hata hiyo SGR yenyewe hamuachi kubeza!
 
Naona ni video ya robo mwaka uliopita, wajitahidi kutoa updates walau kila wiki
Itapendeza ikiwa utachukua hilo jukumu kama priority kwako, wao nahisi watakuwa na vipaombele vyao zaidi ya hicho unachodai wewe. Tatizo unataka wawaze sawa na kichwa chako
 
Sasa mbona hatuoneshwi hata vibarua na mabulldozer yakiwa kazini walau hata tupate matumaini kama wanavyofanya SGR, yaani yamebaki maneno tu kwamba kuna Rufijiiii kuna Rufijiii, majukwa yote linatajwa hilo bwawa, wakati hata kipande cha kokoto au nondo hatuoneshwi site..., kuna nini?
Hamuoneshwi wewe na nani? kama ni wewe na mkeo funga safari nenda kajionee kwa macho unless otherwise uwe umeajiri mjakazi wa kupiga picha na kukutumia uone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa unaota, yaani mwaka tu uone sentimita 50!!! Mobilization - maandilizi tu yenyewe yanachukua miezi 6, itakuwa kuinua tuta? Tambua pia kuna kuhamisha mto ili bwawa lijengwe mahali mto ulipo kwa sasa
Mtihani huu tusubiri mvua aje ndio tukutane kijiwe cha kahawa.
 
Mimi ni kati ya wanaofuatilia haya mambo kwa karibu kupitia vyombo vya habari kwa sababu napenda sana Infrastructures, Kuna wana wanafanyia kazi maeneo yote ya miradi mikubwa hivyo napata updates.
Tusubiri tusiwe na haraka, Projects Construction ni Engineering work, time is everything in Engineering.
Subira ndio msingi wa mafanikio. Tusimalize maneno na kuanza kuponda kwani kutawala sio kama kuwa Monitor class C.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni kati ya wanaofuatilia haya mambo kwa karibu kupitia vyombo vya habari kwa sababu napenda sana Infrastructures, Kuna wana wanafanyia kazi maeneo yote ya miradi mikubwa hivyo napata updates.
Tusubiri tusiwe na haraka, Projects Construction ni Engineering work, time is everything in Engineering.
Subira ndio msingi wa mafanikio. Tusimalize maneno na kuanza kuponda kwani kutawala sio kama kuwa Monitor class C.

Sent using Jamii Forums mobile app
Project kubwa kama hizi nasikia ni siri hata kuna mdau alisha andika huku huruhusiwi hata kufika huko na hata gps code hupati
 
Duh huyu ndo mTanzania halisi. Nadhani elimu zaidi inatakiwa juu ya miradi kama hii inavyojengwa. Nakumbuka daraja la Kigamboni nalo wadau walivyoona kuna kidaraja cha tempo kimejengwa kama pale salender sasa hivi lile daraja la muda lilivyojengwa basi bila kuuliza wadau wakalipuka mmeona kadaraja kanakojengwa yaani aibu tupu. Tusikurupuke jamani hii miradi ni kwa faida ya wabongo wote. Mimi ambaye nilianza pata fahamu late 70s na nilisafiri na kuishi sehemu mbali mbali bongo hapa najua umuhimu wa hii miradi. Tulikotoka ni giza nene. Sasa anapotokea kiongozi Mwenye ujasiri wa kufanya mambo makubwa (sio CCM) tumuunge mkono. Wewe unabeza ule mradi lkn wakazi wa maeneo hayo ni neema kwao. Fursa zimefunguka na wao wanaonja matunda ya uhuru. Maendeleo yanafika huko sasa kupitia mradi huo. Barabara inajengwa kwa kiwango cha lami, maji ya bomba yatafika kiulaiiini. Kijijini kwetu mpaka mjini ni km 18 tu unakwenda Town na baiskeli na bodaboda. Miaka yote Barabara imekuwa mbovu sana. Alipokuja Mwamba Magufuli Ameamuru hospitali ya wilaya ijengwe kijiji kimoja kabla ya kufika kijijini kwetu ukitokea mjini na makao makuu ya halmashauri yawe hapo. Obvious miundombinu ya kisasa inajengwa sasa tunavyoongea na Barabara ya lami soon mkeka unawekwa. Sasa wakati Wa barabara mbovu tulitumia nusu saa mpaka dk 40 kufika kileji mkeka ukiwekwa 20 minutes tutatumia. hiyo ni private car.
Ukiwa Dar na itikadi zako negative huwezi jua wabongo wenzio wananufaikaje na Mambo Ya Jembe Magufuli (sio Ccm nasisitiza) najua ana mapungufu yake lkn kwenye huduma za kijamii ameweza
 
Natamani nikueleze kwa urefu jinsi hii kazi ilivyo ngumi ila nipo bussy.

Kwanza nakushauri siku moja Nenda hata tour kutembelea kituo kimoja cha uzalishaji wa umeme wa majii...
Utajionea mengi sanaaaaa
Utashangaa sanaaaa
hutaaamini kuna vitu km vinafanyika hapa bongo..
Nakushauri nenda tuu Pangani New HEP.....
Hii ilijengwa na Wa norway,dermak na finland mwaka 1991- 1995,
Imagine kituo kidogo km kile kimejengwa kwa miaka mitano tena kwa ushirikiano wa nchi zilizoendelea zaidi ya tatu....

Kaka unapoona yale maji yamesimama pale juu

Screenshot_2019-12-31-10-51-28.jpeg


Aisee cheka tuuu ila kuna shughuli pevu sana inaendelea huko chini..

Screenshot_2019-12-31-11-25-37.jpeg


Yale maji unayoona yanatiririka

Screenshot_2019-12-31-11-09-35.jpeg


Wala usiumize kichwa, wala hayahitajiki na hayana kazi...

Maji yenyewe yanayohitajika kukupa wewe umeme hutoyaonaaa yanapitishwa chini chini

Screenshot_2019-12-31-11-24-27.jpeg




Yakifika huko ndio kazi yake sasa ya kuzungusha

Screenshot_2019-12-31-10-49-05.jpeg


Turbines(aisee hapa kuna sayansi ndefu siwezi weka).

Generator na transformer zitafanya kazi ya kuzalisha, ku control na kuongeza nguvu ya umeme
Screenshot_2019-12-31-11-05-52.jpeg


Kumbuka huko underground pia ndio kuna makazi ya watu na ofisi za uendeshaji na ku kontrol mitambo, magari vyote vipo humoo

Screenshot_2019-12-31-11-04-32.jpeg


Hivi vyote inabidi vitengenezewe njia yao kubwa sanaa
Screenshot_2019-12-31-10-52-15.jpeg
Screenshot_2019-12-31-10-55-20.jpeg


Screenshot_2019-12-31-10-57-39.jpeg
Screenshot_2019-12-31-10-56-19.jpeg
Screenshot_2019-12-31-10-57-03.jpeg


Matokeo yake ndio haya
Screenshot_2019-12-31-10-59-45.jpeg


Na ukifika ndani ndio hivi sasa
Screenshot_2019-12-31-11-04-32.jpeg


Kwaio ndugu unapoona nje kuna kimya
Jua wenyewe wapo ndanii

Mwishooo
Mtu unaweza kumjibu mwenzako jibu kwa hoja sio panic na vijembee...

Kama hujasoma physics tumia hata geograph au macho kuelewa hiki
 

Attachments

  • Screenshot_2019-12-31-10-49-05.jpeg
    Screenshot_2019-12-31-10-49-05.jpeg
    30 KB · Views: 2
Natamani nikueleze kwa urefu jinsi hii kazi ilivyo ngumi ila nipo bussy.

Kwanza nakushauri siku moja Nenda hata tour kutembelea kituo kimoja cha uzalishaji wa umeme wa majii...
Utajionea mengi sanaaaaa
Utashangaa sanaaaa
hutaaamini kuna vitu km vinafanyika hapa bongo..
Nakushauri nenda tuu Pangani New HEP.....
Hii ilijengwa na Wa norway,dermak na finland mwaka 1991- 1995,
Imagine kituo kidogo km kile kimejengwa kwa miaka mitano tena kwa ushirikiano wa nchi zilizoendelea zaidi ya tatu....

Kaka unapoona yale maji yamesimama pale juu

View attachment 1308141

Aisee cheka tuuu ila kuna shughuli pevu sana inaendelea huko chini..

View attachment 1308143

Yale maji unayoona yanatiririka

View attachment 1308147

Wala usiumize kichwa, wala hayahitajiki na hayana kazi...

Maji yenyewe yanayohitajika kukupa wewe umeme hutoyaonaaa yanapitishwa chini chini

View attachment 1308162



Yakifika huko ndio kazi yake sasa ya kuzungusha

View attachment 1308168

Turbines(aisee hapa kuna sayansi ndefu siwezi weka).

Generator na transformer zitafanya kazi ya kuzalisha, ku control na kuongeza nguvu ya umeme
View attachment 1308173

Kumbuka huko underground pia ndio kuna makazi ya watu na ofisi za uendeshaji na ku kontrol mitambo, magari vyote vipo humoo

View attachment 1308178

Hivi vyote inabidi vitengenezewe njia yao kubwa sanaa
View attachment 1308181View attachment 1308183

View attachment 1308184View attachment 1308185View attachment 1308187

Matokeo yake ndio haya
View attachment 1308191

Na ukifika ndani ndio hivi sasa
View attachment 1308195

Kwaio ndugu unapoona nje kuna kimya
Jua wenyewe wapo ndanii

Mwishooo
Mtu unaweza kumjibu mwenzako jibu kwa hoja sio panic na vijembee...

Kama hujasoma physics tumia hata geograph au macho kuelewa hiki
Umemjibu vyema kabisa.

Love and peace
 
We jamaa hua unapenda sana utani, ila ukifika kwenye analysis km hizi hua nakuamini sana
Natamani nikueleze kwa urefu jinsi hii kazi ilivyo ngumi ila nipo bussy.

Kwanza nakushauri siku moja Nenda hata tour kutembelea kituo kimoja cha uzalishaji wa umeme wa majii...
Utajionea mengi sanaaaaa
Utashangaa sanaaaa
hutaaamini kuna vitu km vinafanyika hapa bongo..
Nakushauri nenda tuu Pangani New HEP.....
Hii ilijengwa na Wa norway,dermak na finland mwaka 1991- 1995,
Imagine kituo kidogo km kile kimejengwa kwa miaka mitano tena kwa ushirikiano wa nchi zilizoendelea zaidi ya tatu....

Kaka unapoona yale maji yamesimama pale juu

View attachment 1308141

Aisee cheka tuuu ila kuna shughuli pevu sana inaendelea huko chini..

View attachment 1308143

Yale maji unayoona yanatiririka

View attachment 1308147

Wala usiumize kichwa, wala hayahitajiki na hayana kazi...

Maji yenyewe yanayohitajika kukupa wewe umeme hutoyaonaaa yanapitishwa chini chini

View attachment 1308162



Yakifika huko ndio kazi yake sasa ya kuzungusha

View attachment 1308168

Turbines(aisee hapa kuna sayansi ndefu siwezi weka).

Generator na transformer zitafanya kazi ya kuzalisha, ku control na kuongeza nguvu ya umeme
View attachment 1308173

Kumbuka huko underground pia ndio kuna makazi ya watu na ofisi za uendeshaji na ku kontrol mitambo, magari vyote vipo humoo

View attachment 1308178

Hivi vyote inabidi vitengenezewe njia yao kubwa sanaa
View attachment 1308181View attachment 1308183

View attachment 1308184View attachment 1308185View attachment 1308187

Matokeo yake ndio haya
View attachment 1308191

Na ukifika ndani ndio hivi sasa
View attachment 1308195

Kwaio ndugu unapoona nje kuna kimya
Jua wenyewe wapo ndanii

Mwishooo
Mtu unaweza kumjibu mwenzako jibu kwa hoja sio panic na vijembee...

Kama hujasoma physics tumia hata geograph au macho kuelewa hiki
Asante sanaaa
 
Hata Mwendokasi walisema hivyo hivyo kwamba hawaoni, Ubungo wakasema hivyo hawaoni kitu, SGR pia hawaoni kitu, atcl wakaponda pangaboy, nilichogundua Wachaga wwanajifanya kuponda lakini kumbe ndo wanaosubiri kwa hamu maendeleo yanayofanyika, TRC kwenda Moshi imejaa mpaka hakuna pa kushika lkn kutwa dharau na kuponda.

Hapo nilipoongeza FONT SIZE na BOLD kuna hitajika uthibitisho ILI wahusika waweze kujirekebisha.

Ahsante
 
Natamani nikueleze kwa urefu jinsi hii kazi ilivyo ngumi ila nipo bussy.

Kwanza nakushauri siku moja Nenda hata tour kutembelea kituo kimoja cha uzalishaji wa umeme wa majii...
Utajionea mengi sanaaaaa
Utashangaa sanaaaa
hutaaamini kuna vitu km vinafanyika hapa bongo..
Nakushauri nenda tuu Pangani New HEP.....
Hii ilijengwa na Wa norway,dermak na finland mwaka 1991- 1995,
Imagine kituo kidogo km kile kimejengwa kwa miaka mitano tena kwa ushirikiano wa nchi zilizoendelea zaidi ya tatu....

Kaka unapoona yale maji yamesimama pale juu

View attachment 1308141

Aisee cheka tuuu ila kuna shughuli pevu sana inaendelea huko chini..

View attachment 1308143

Yale maji unayoona yanatiririka

View attachment 1308147

Wala usiumize kichwa, wala hayahitajiki na hayana kazi...

Maji yenyewe yanayohitajika kukupa wewe umeme hutoyaonaaa yanapitishwa chini chini

View attachment 1308162



Yakifika huko ndio kazi yake sasa ya kuzungusha

View attachment 1308168

Turbines(aisee hapa kuna sayansi ndefu siwezi weka).

Generator na transformer zitafanya kazi ya kuzalisha, ku control na kuongeza nguvu ya umeme
View attachment 1308173

Kumbuka huko underground pia ndio kuna makazi ya watu na ofisi za uendeshaji na ku kontrol mitambo, magari vyote vipo humoo

View attachment 1308178

Hivi vyote inabidi vitengenezewe njia yao kubwa sanaa
View attachment 1308181View attachment 1308183

View attachment 1308184View attachment 1308185View attachment 1308187

Matokeo yake ndio haya
View attachment 1308191

Na ukifika ndani ndio hivi sasa
View attachment 1308195

Kwaio ndugu unapoona nje kuna kimya
Jua wenyewe wapo ndanii

Mwishooo
Mtu unaweza kumjibu mwenzako jibu kwa hoja sio panic na vijembee...

Kama hujasoma physics tumia hata geograph au macho kuelewa hiki
Ni vizuri umeweka kwa faida ya wengi, ila i hope hukudhani kwamba sijui haya..
 
April 7, 2020
Rufiji, Tanzania

LIVE MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA UMEME RUFIJI
Jamaa huyu mhandisi msimamizi mradi wa Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) a.k.a Stiegler's Gorge anapata shida sana ,anajikanyaga sana pia uoga umemjaa kutetea mradi huu, nini anaficha? Awe wazi kama yule wa SGR Reli Mpya ambaye kitaalamu ametuambia bila kupepesa macho SGR Reli kumalizika yote itachukua miaka 15.

 
Back
Top Bottom