Ni mwaka wa tatu nipo kwenye uadui mkubwa na wazazi wangu; siwasiliani nao wala sishirikiani nao kwa lolote

Ni mwaka wa tatu nipo kwenye uadui mkubwa na wazazi wangu; siwasiliani nao wala sishirikiani nao kwa lolote

Huo ushauri wa kukaa kitako kumchana binti makavu ilhali binti hajawa wazi kua anamtaka ni kiburi cha mafanikio hicho.

Aishi nae kama rafiki na kama ndgu, hizo anazosema green light si ajabu kwa binti ni mambo ya kawaida kumfanyia rafiki ila yeye kwa sababu anampenda binti basi anaona kama binti kazama mazima kwake.
Wanaume hawajazoea kuoneshwa ukarimu, ukiwaonesha ukarimu wanadhani unawataka.

Ni vizuri kuchambua/kuelewa hisia za wanawake before kujiingiza mzima mzima.
 
Kuna mtu atasema mama yako ana “mental health” hiyo ni lame excuse I've come to learn there is a way to distinguish bad people from mentally ill people,mtu mbaya haijalishi ni Mama yako au bibi yako sio wa kutafuta suluhu nae ,she will break you muda wowote akipata chance..

Kama alio kufanyia hajawahi kuona kosa lake Wala kujaribu kuomba msamaha she's EVIL .

People are quick to malign the mentally ill; the violent adult attacking a child or hate is malevolent, not mentally ill

God has a VERY SPECIAL place in HELL for parents who abuse their children
Why people are bad people?

I always tells you about narcissists people, hicho nilichobold ndio haswa character za narcissism. Mtu wa hivyo huwa hatoi chance ya kurekebisha mambo zaidi ya kutafuta next victim, next victim ni mtu wa kumfanyia shege zake.

Na kikawaida a narcissist person akishajua kuwa umejua yeye ni mtu mbaya, ndio kabisa hato reconcile na wewe. Huwa hawapendi victim wao wafahamu kuwa wanafanyiwa ubaya (sijui kama hili linaeleweka)
 
Uliwaonesha wazazi wako Ujumong, hata ningekuwa Mimi maza angechezea kipacho. Mm wazazi waliacha kunipiga baada ya kuanza kidato cha kwanza.. Mimi nakushauri endelea na Maisha yako
 
Why people are bad people?

I always tells you about narcissists people, hicho nilichobold ndio haswa character za narcissism. Mtu wa hivyo huwa hatoi chance ya kurekebisha mambo zaidi ya kutafuta next victim, next victim ni mtu wa kumfanyia shege zake.

Na kikawaida a narcissist person akishajua kuwa umejua yeye ni mtu mbaya, ndio kabisa hato reconcile na wewe. Huwa hawapendi victim wao wafahamu kuwa wanafanyiwa ubaya (sijui kama hili linaeleweka)
Why people are bad people..

Some of them wamepitia traumatic events na kukosa upendo

Kuna ambao Wana mental issues (jua kutofautisha)

Kuna ambao hawana huruma(sense) kilio chako ndio furaha kwake,kuumiza wengine kwake it's just a game

Na Kuna wenye drive kubwa na their needs or desire hawajali Kama utakufa au kuumia mwili au hisia,ilimradi tu apate anachotaka.....

MALEZI MABAYA
 
Hakuna popote napotia mguu alafu nisipewe uongoz, siombag uongoz unanifuata, hii kichwa yangu sio empty box kwamba inaenda tu ilimradi inaenda, wewe kama unaona ni sawa mwanaume mtu mzima miaka 25 kupigwa na mzazi kapigwe ila kwangu nasema "alogwe mtu ajichanganye" mtoa mada simjui ila najua hakika 100 kua haya yanatokea ni shinikizo la viende kumtaka arudi kwa wazazi , watu walio mzunguka ndio wanao msumbua kuliko uhalisia wenyewe wala sio yeye

Msimamo wangu n kua the moment nimetoa mguu nyumban wasingeniona tena hadi yesu arudi , na mfano ulio hai n kua niko dsm na home ni hapa hapa dsm ila nina miaka miwil sijawah ibuka na sifikirii siku za karibun na hakuna tatizo wala
Jiangalie mkuu usije ukawa na udugu na shetani!
 
Sasa Mkuu wewe unampigaje mama yako tena mama mzazi?. Hata mimi ningekuwa ndio mshua wako ningekuletea shida kubwa sana, wewe unampigaje mke wangu.

Ulikosea sana Mkuu, sababu hata chanzo cha kupigwa na mama yako ni wewe kuzingua. Umeeleza tu hapa kuwa ni mshari ili tu kujifariji, ulizingua Kiongozi.

Angalia tu mwanao asije kukupiga sana au kukuua kabisa.
 
Msimtishe mtoa mada...kama wazazi hawataki msamaha afanyaje? Hivi nyie mlishakutana na wazazi makatili nyie? Hamuoni ni Mungu alifanya huyo mtoto afikie leo kuwa kijana huyo mama angeweza kumuua...sasa leo kisa alikuzaa ndo anapaswa kumfanyia mtoto namna ile? Kwani mtt aliomba azaliwe? Sisi wazazi tuna la kujifunza..ukilea wtt kwa upendo hawata kurudi hata siku moja...
Cha msingi aitafute amani ya moyo wake..kama moyo unamtuma au unahitaji la kuendelea kuwaomba msamaha basi afanye hivyo kama hajisikii tena moyo umekufa ganzi aachane nao...
Mungu aliemvusha kwny magumu atamfikisha pale anapotaka binadamu sio mtoa riziki....
Noted, na Asante sana Kwa Ushauri
 
Siwezi kufanya Ivo mkuu
Usithubutu Mkuu hata kama anakuletea mitego ukikubali kumla utapoteza hatima ya maisha yako. Kumbuka kisa cha Nabii Yusufu SA na mke wa Farao. Yusufu angetanguliza tamaa za mwili taifa la Israeli lingekufa kwa njaa na Wamisri wote leo wasingekuwepo duniani
 
Pole sana bro ila hongera kwa juhudi binafsi
Tambua mungu utumia watu ili kukamilisha safr ya maisha yako pia nafsi mzazi inaishia kuwa mzazi na ya mungu inabaki ya mungu chki na hasira zao azijawez kuzuia baraka zako kwa mungu as long as mungu yu pamoja nawe
We mshukulu mungu tu
 
Na mimi ndo huyo Dokita speshalisti, so nakazia mwakani ndoa ipo palepale mleta mada atabaki kuwa shemeji yangu tu! na si vinginevyo.
Hureeeeee hariririririiiiiiiii mlisema haolewiiii mbona kaolewaaaaa
 
Hakuna popote napotia mguu alafu nisipewe uongoz, siombag uongoz unanifuata, hii kichwa yangu sio empty box kwamba inaenda tu ilimradi inaenda, wewe kama unaona ni sawa mwanaume mtu mzima miaka 25 kupigwa na mzazi kapigwe ila kwangu nasema "alogwe mtu ajichanganye" mtoa mada simjui ila najua hakika 100 kua haya yanatokea ni shinikizo la viende kumtaka arudi kwa wazazi , watu walio mzunguka ndio wanao msumbua kuliko uhalisia wenyewe wala sio yeye

Msimamo wangu n kua the moment nimetoa mguu nyumban wasingeniona tena hadi yesu arudi , na mfano ulio hai n kua niko dsm na home ni hapa hapa dsm ila nina miaka miwil sijawah ibuka na sifikirii siku za karibun na hakuna tatizo wala
Danpol ur missed.
 
Back
Top Bottom