SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ukiwaamini viongozi wa Serikali hii basi utaamini kila kitu chini ya juaSerikali imekanusha kutokuwepo mkataba kati ya Tanzania na mwekezaji kutoka China wa Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo,huku kumbukumbu za hotuba za Rais @jmkikwete zikionyesha mnamo 14/10/2015 alizindua mradi huo wa Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo,je alizindua bila kuwepo mkataba? https://t.co/32rk2rLeLEView attachment 2018845
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app