Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Yalaaaaaa! Madame B !
Si umerudishiwa ndoa yako na Chimbuvu juzi tu hata vyeti bado hujapewa!? Halafu mbona unamdhalilisha huyu mzee! Kwani ni mwanamke?
Achana naye..ni utoto na majaribio ya banghe vinasumbua kwa kichwa...
Akikua ataelewa kuwarespect watu wazima!!
Naona huchezi mbali na 18 mzee mwenzangu...
Safi sana...kazi na dawa!!