Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wewe,
Enzi zetu watoto wenye mdomo walikuwa wanapitishwa kijinga cha moto kwenye lips....
Hebu kuwa mwangalifu kwa sababu naweza kukumbukia 1947,
Utakoma,
Babu DC!!
basi nakutolea mahari
sh. Ngapi ana ng'ombe ngapi?
kijinga cha moto?
Umenikumbusha maisha ya kijijini Sitimbi.
Ujue basi tu, lakini tunakaribiana kabisa umri wa mawazoni tu.
Umetia mpira kwapani??
Ndo maana mnataka kutunyanyasa sie wanyonge?
Hampati kitu...kisa cha kupasua aorta ukaacha pension yako ni nini?
Babu DC!!
ACHA KUZIBIA WATU RIZIKI ZAO WEWE!!!!!!!!
Afu weweeeeeeeee.........
MWANGAlie.
Sie ni watu wazima bwana....tena wastaafu,
Mambo ya 3some ni yenu wenyewe....ubaki huko huko....
Babu DC!!
Unakaribiana na nani wewe mtoto??
Mie nakaribiana na Bibi tu.....!!
Umeelewa?
Babu DC!!
mkimaliza kugombana naondoka na babu yangu akalale.
Hahahahahahahahahahahahah,
Watoto wadogo utawajue tu...
Babu DC!!
Sasa leo nataka niuone huo utu uzima wako.
Nitakufundisha Hiyo 3Some Babu.
Umetia mpira kwapani??
Ndo maana mnataka kutunyanyasa sie wanyonge?
Hampati kitu...kisa cha kupasua aorta ukaacha pension yako ni nini?
Babu DC!!
Hahahahahahahahahahahahah,
Watoto wadogo utawajue tu...
Babu DC!!
Kumbe ni babu yako asa unambania bania nini?
Mtoe tujilipue nae mzee mwenzetu wewe.
hey, this movie is rated 18.
But one actor is under 18, and the other is kikongwe.
movie director be warned, jela is waiting for you.
Acha niongeze pocorn na soda
Una gubu wewe kama nanilii......
hii siri ya babu na mjukuu