Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

kijinga cha moto?

Umenikumbusha maisha ya kijijini Sitimbi.

Ujue basi tu, lakini tunakaribiana kabisa umri wa mawazoni tu.

Halafu wewe,

Enzi zetu watoto wenye mdomo walikuwa wanapitishwa kijinga cha moto kwenye lips....

Hebu kuwa mwangalifu kwa sababu naweza kukumbukia 1947,

Utakoma,

Babu DC!!
 
kijinga cha moto?

Umenikumbusha maisha ya kijijini Sitimbi.

Ujue basi tu, lakini tunakaribiana kabisa umri wa mawazoni tu.

Unakaribiana na nani wewe mtoto??

Mie nakaribiana na Bibi tu.....!!

Umeelewa?

Babu DC!!
 
ha ha ha, mpira kwapani na viatu nikaachia timu pinzani.

Wee, mie saizi yangu wanyonge

Umetia mpira kwapani??

Ndo maana mnataka kutunyanyasa sie wanyonge?

Hampati kitu...kisa cha kupasua aorta ukaacha pension yako ni nini?

Babu DC!!
 
mie nakaribiana na bibi

na kama bibi anakaribiana na wewe

inamaana hata mie nakaribiana na wewe 🙂

Unakaribiana na nani wewe mtoto??

Mie nakaribiana na Bibi tu.....!!

Umeelewa?

Babu DC!!
 
hey, this movie is rated 18.

But one actor is under 18, and the other is kikongwe.

movie director be warned, jela is waiting for you.

Acha niongeze pocorn na soda

Sasa leo nataka niuone huo utu uzima wako.
Nitakufundisha Hiyo 3Some Babu.
 
hey, this movie is rated 18.

But one actor is under 18, and the other is kikongwe.

movie director be warned, jela is waiting for you.

Acha niongeze pocorn na soda

Asa director si ndo wewe!
kwa hiyo huko utaenda wewe na huyo above 70 wako.
mie under 18 hapatanihusu.
 
nna mashaka na Erickb52 na Chimbuvu nyie waulizeni mama zenu, baba zenu wa ukweli ni kina nani maana naona hii kitu inawatembea kwenye damu, msipofunguliwa kwa maombi ya kuondoa mapepo ya kusingiziwa watoto mtalea watoto wengi sana ambao sio wenu
Hivi we dogo unatafuta ugomvi na wazee wa jiji????
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom