Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

unazidi kuonyesha jinsi unavyotumia kinyesi cha nguruwe kufikiri.....nawaambia pumbavu nyie(sio tusi ni sifa) mtaletewa mpaka wawekezaji wa wake na waume toka London na washington.....

You just understand refuse to compromise about what is truly right and untruly !
Importance of personal freedom! Huwezi waambia humu watu ni wapumbavu !
Na kisha tukuchekee kama ambavyo wenye akili finyu wanakuchekea.
The observers or audiences will panel and judge us who are brain dormant between Chtcht members and you !
Your abusin language doesn't kill any more!
Unaweza ukaongeza na mengine as if you wish .
 
My sweety,my sweetest,my honey,my carpet,my ice of my heart,..my lovely wife,toto la kitanga jamani Mungu anipe nini mimi.

Arabela kipenzi cha Moyo wangu
 
Minimemzimia Lizzy.
Please Lizzy uko wapi nikufuate BABYGIRLY
 
ONYO: Yo Yo, watu8, Judgement, Filipo na wengine, hizo lugha mnazotumia hapa ni faul language. Ni kinyume kabisa na taratibu za humu. Muhimu zaidi thread hii (ya Sumbalawinyo) inahusu upendo na siyo chuki. Stop that kind of language please.
 
Last edited by a moderator:
umeanza lini madameB?

Hivi babu DC ndio uko hivi??
Nimekuhashukia na kukuhonga like kumbe umetangaza ndoa kwa Madame B?

Kongosho yaani pale nimefika.
mie nimemuhonga Moyo na Valve zake,
kasema niko peke yangu dunia hii.
kumbe tuko wengi?
Atantambua.
 
Last edited by a moderator:
Haya sasa matusi, tena ya nguoni au ya reja reja.....


Topic imekwambia uchague mume au mke???

Nyie watoto nyie, msijetufanya wengine tuache laana ya kizazi hadi kile cha tatu!!

Babu DC!!

Utoto wangu umeuona wapi Babu?
mie mtu mzima mwenzako afu nakumudu 100%.
kama huamini muulize Asprin ananijua.
 
Last edited by a moderator:
tena toa laana ile kali kabisa

anataka kukuzoea huyu

Haya sasa matusi, tena ya nguoni au ya reja reja.....


Topic imekwambia uchague mume au mke???

Nyie watoto nyie, msijetufanya wengine tuache laana ya kizazi hadi kile cha tatu!!

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom