Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zishakufa siku nyingi tokana na over use,kingine?
unazidi kuonyesha jinsi unavyotumia kinyesi cha nguruwe kufikiri.....nawaambia pumbavu nyie(sio tusi ni sifa) mtaletewa mpaka wawekezaji wa wake na waume toka London na washington.....
Jamani Invisible,nikiona yale macho yake nakuwa hoi kabisa.
Dady bana..ushachelewa tatizo nilizaliwa mchana kweupeeee.....lakn huyu mwaJ dawa yake ipo jikonii... tego litakalokupata usinitafute dady
cjui nilie hakuna kidume hata kimoja kimetaja hata my P AU HAYUPO HUMO asante Arushaone japo umesemea kwa wingi changula mayoooo!
umeanza lini madameB?
Hivi babu DC ndio uko hivi??
Nimekuhashukia na kukuhonga like kumbe umetangaza ndoa kwa Madame B?
Haya sasa matusi, tena ya nguoni au ya reja reja.....
Topic imekwambia uchague mume au mke???
Nyie watoto nyie, msijetufanya wengine tuache laana ya kizazi hadi kile cha tatu!!
Babu DC!!
Haya sasa matusi, tena ya nguoni au ya reja reja.....
Topic imekwambia uchague mume au mke???
Nyie watoto nyie, msijetufanya wengine tuache laana ya kizazi hadi kile cha tatu!!
Babu DC!!
Hivi madame B yuko single sasa hivi?