Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

C6





Nimependa avatar yake kwa kweli

vukani vukani vukani nihurumie mtoto wa mwanamke mwenzio.... Subiri nijifungue ndiposa untie presha... kisa cha kunitia presha wakati bado wiki mbili niingie labor ni nini????? Nakuomba saaaaana tena sana nipo chini ya miguu yako tafwazali muwacheeee my hezbend @C6.....
 
Last edited by a moderator:
Kichwa chako ndio kipo empty ndio maana huwezi kuchangia lolote. Halafu ujue sio lazima kuja huku! Peleka huko!
achana na Yo Yo ndo wale kina 'you know my father is the MD of vodacom,my mother owns a vx,in december mom n dad will take me to a vacation in LA. SI UTAFUTE VYA KWAKO?
 
Last edited by a moderator:
Embu angalia vizuri, kuna kitu umekalia!!!

Hicho kitu chaweza kua mfano wa nyama hivi au mti hivi au? Maana sie wengine umbeya damuni ! Hatupitwi, hata na ushuzi wa yusufu! Hata ukijambia wapi ! Kosa tupate smell lazima tumjue mjambaji .
 
Back
Top Bottom