Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo comedians are not my type.... ungekubali kuacha na ukabaki na upaparazi ningefikiria...
![]()
Zion Daughter unajua huyu baba yako Mwita Maranya atanisababishia mie shida? Nilishamkataza kunitajataja hasikiiiii! Mtu mwenyewe anajijua ana binti mkorofi tena mnoko wa kikweli lakini bado anataka kunigombanisha nae! Mie ntaweza wapi jamani? Sasa inabidi mie na wewe tupatane kila ukirudi home unampa story toka kwa aunt mwaJ ataniogopa tu.mwaJ kuna formula moja lazima uijue..katika familia mara nyingi watoto wa kike huwa wanakuwa karibu na kupendana na baba zao na watoto wa kiume huwa wanapendana zaidi na mama zao..Hiyo ni nature tu..hata dady angu Mwita Maranya analijua hili..
Wewe jitahidi kunikonvisi azawaizi ili nibadili mawazo ya tego
Kama unataka nitulie kwa muda niwaache mpumue basi ninunulie katableti..nitakaa kimya sitasema kwa mama....(hii siri yetu usimwambie dady Mwita Maranya)Zion Daughter unajua huyu baba yako Mwita Maranya atanisababishia mie shida? Nilishamkataza kunitajataja hasikiiiii! Mtu mwenyewe anajijua ana binti mkorofi tena mnoko wa kikweli lakini bado anataka kunigombanisha nae! Mie ntaweza wapi jamani? Sasa inabidi mie na wewe tupatane kila ukirudi home unampa story toka kwa aunt mwaJ ataniogopa tu.
te te te ! C kwasababu sitajwi ndio maana hawanitaji
Washawasha by that time huyu kiumbe atakuwa alishakata moto or maneno yalimwishia. I'm talking abt Kongosho.
Kama unataka nitulie kwa muda niwaache mpumue basi ninunulie katableti..nitakaa kimya sitasema kwa mama....(hii siri yetu usimwambie dady Mwita Maranya)
Will be back..
au mkuu una nyota ya punda???
Will be back..
Yaani anabeba mizigo kama punda, au ana fimbo kama ya punda?au mkuu una nyota ya punda???
teh ana fimbo kama ya punda aisee............Yaani anabeba mizigo kama punda, au ana fimbo kama ya punda? Naomba ufafanuzi tafadhali
ata mie nashangaaaa ngoja niwaachie jukwaaa lenu
Mwita Maranya! Mwita Maranyaaaaaaaaaaaa! Sitaki ugomvi na binti yako Zion Daughter! Oohooooooo! Usiwe unapiga kelele ukinitaja, shauri yako!
Duh! Nimesahau. Hivi tulikubalianaje?
Ijapokuwa "Anyone who has never made a mistake has never tried anything new" -, nawiwa kusema kuwa mimi kama msiri wako, tukubaliane kama tulivokubaliana kuwa haya maji unayitaka kuyavuka, ni mengi kuliko unavyoweza kudhani. sawa eeh
Nakufeel sana mamii ummu kulthum nakuja SINGAPORE soon!