Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

My lara1, the number one hustler!
Get rich or die trying.....................
 
Zion Daughter unajua huyu baba yako Mwita Maranya atanisababishia mie shida? Nilishamkataza kunitajataja hasikiiiii! Mtu mwenyewe anajijua ana binti mkorofi tena mnoko wa kikweli lakini bado anataka kunigombanisha nae! Mie ntaweza wapi jamani? Sasa inabidi mie na wewe tupatane kila ukirudi home unampa story toka kwa aunt mwaJ ataniogopa tu.
 
Last edited by a moderator:
Kama unataka nitulie kwa muda niwaache mpumue basi ninunulie katableti..nitakaa kimya sitasema kwa mama....(hii siri yetu usimwambie dady Mwita Maranya)
 
Last edited by a moderator:
Kama unataka nitulie kwa muda niwaache mpumue basi ninunulie katableti..nitakaa kimya sitasema kwa mama....(hii siri yetu usimwambie dady Mwita Maranya)

We mtoto weweee! Usije ukauza timu kwa mom wako! Katableti sio tatizo kabisa ukizingatia ntatumia pesa hizo hizo za dady yako Mwita Maranya, lakini mnh! Ngoja nifikirie kidogo namna ya kujilinda in case unaamua kuuza timu.
 
Last edited by a moderator:
Duh! Nimesahau. Hivi tulikubalianaje?

Ijapokuwa "Anyone who has never made a mistake has never tried anything new" -, nawiwa kusema kuwa mimi kama msiri wako, tukubaliane kama tulivokubaliana kuwa haya maji unayitaka kuyavuka, ni mengi kuliko unavyoweza kudhani. sawa eeh

 
Ijapokuwa "Anyone who has never made a mistake has never tried anything new" -, nawiwa kusema kuwa mimi kama msiri wako, tukubaliane kama tulivokubaliana kuwa haya maji unayitaka kuyavuka, ni mengi kuliko unavyoweza kudhani. sawa eeh

Msiri wangu ukiniambia kwa kufumba sielewi unajua? Mwita Maranya njoo unafafanulie hili fumbo la Kaizer maana tulivokuwa shule ulikuwa unafaulu sana somo la lugha ya Kiswahili.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…