Pre GE2025 Ni mwanasiasa gani Mwanamke wa Tanzania ambaye unavutiwa na Utendaji Kazi wake?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Tanzania ina historia ya kuwa na wanasiasa wa kike wenye ushawishi mkubwa katika ujenzi wa taifa na kuleta mabadiliko chanya.

Wanawake hawa wamekuwa mstari wa mbele katika kukuza siasa, kuongoza mabadiliko, na kupaza sauti za wananchi katika kushughulikia changamoto mbalimbali.

Je, ni yupi kati ya wanasiasa wa kike wa Kitanzania ambaye unavutiwa na kazi yake katika kukuza siasa za nchi na kushughulikia kero za wananchi?

Wakuu karibuni, tupate kujua nani anayekuvutia na kwa nini!

Pia soma: SoC04 - Ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi
 
Unavutiwa na wanasiasa mkuu....uyole baridi imezidi ngoja niwashe Kuni niinjike maji ya kuoga.Nasikia gesi imepunguzwa gharama?
 
Ndo Ivo🤒
 

Attachments

  • Screenshot_20241002-155719_1.jpg
    152.2 KB · Views: 3
Bona na lile shepu namtamani sana ila sio kazi zake

USSR
 
Yani kwa miaka hii minne sijawai kuangalia bunge kwahyo kashikashi za siasa naona zipo Chini sana. Kipindi cha nyuma nilikuwa namuelewa Ester Matiku, Ester Bulaya, Upendo Peneza ila kwa sasa Sijui ata wako wapi. Ukisema nitaje Kwenye Kundi la CCM Doroty Gwajima pengine na Ummy Mwalimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…