Ni Mwanayanga mwenzangu lakini kwa hili nimemdharau sana

Ni Mwanayanga mwenzangu lakini kwa hili nimemdharau sana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Yaani kile kitoto naanza amini kweli siyo riziki. Mgunda ni moja ya makocha ambao wana busara sana hapa nchini. Toka namfahamu sijawahi msikia akiizungumzia Yanga vibaya

Amekuwa na heshima kwa teams zote na watu wote. Kweli huyu dogo anadiriki kutamka kuwa kati ya Juma Mgunda na Andazi unachagua nini? Huu ni ukosefu wa adabu kwa kiasi kikubwa sana.

Yanga tutafute wasemaji wa team wenye akili. Siyo hawa wapuuzi. Nlimkemea Ahmed Ally alipotusema upuuzi nafanya the same kwa huyu dogo. Amekuwa kama hajawahi kabisa kuufahamu mpira ni nini. Amekiwa chawa mpaka anapitiliza.

Simba na Yanga tungetoka huko kwenye usemaji wa kipuuzi, wa kishoga, mipasho na michambo. Tuwe na watu professional wenye kuheshimu taaluma zao.

Mgunda ni kama baba yake huyu dogo wetu ambaye inasemekana ni punga. Mi nimeshasema mkitaka kunivua Uyanga njooni nipo hapa hapa mazafanta.
 
Yaani kile kitoto naanza amini kweli siyo riziki. Mgunda ni moja ya makocha ambao wana busara sana hapa nchini. Toka namfahamu sijawahi msikia akiizungumzia Yanga vibaya

Amekuwa na heshima kwa teams zote na watu wote. Kweli huyu dogo anadiriki kutamka kuwa kati ya Juma Mgunda na Andazi unachagua nini? Huu ni ukosefu wa adabu kwa kiasi kikubwa sana.

Yanga tutafute wasemaji wa team wenye akili. Siyo hawa wapuuzi. Nlimkemea Ahmed Ally alipotusema upuuzi nafanya the same kwa huyu dogo. Amekuwa kama hajawahi kabisa kuufahamu mpira ni nini. Amekiwa chawa mpaka anapitiliza.

Simba na Yanga tungetoka huko kwenye usemaji wa kipuuzi, wa kishoga, mipasho na michambo. Tuwe na watu professional wenye kuheshimu taaluma zao.

Mgunda ni kama baba yake huyu dogo wetu ambaye inasemekana ni punga. Mi nimeshasema mkitaka kunivua Uyanga njooni nipo hapa hapa mazafanta.
Sitaki kuanzisha Uzi mwingine naunga mkono Uzi wako.
Mara nyingi nimesema hawa Wasemaji wawili wa timu za Kariakoo nafasi walizopewa ni kubwa kuliko uwezo wao. Sasa angalia shughuli nzuri ya hamasa inaharibiwa na mdomo usio na sitaha. Watu wanaacha kujadili jinsi gani wahamasishane kwenda uwanjani, wanajadili kauli mbovu yasemaji. Nashindwa kuwatofautisha kabisa Wasemaji hawa wawili na mashambiki toka Chinangali.
 
Ninalaani hicho kitendo cha kumtukana Mgunda. Ila napinga hizi timu kuwa na wasemaji professional wanaoheshimu taaluma. Wakiwa hivyo tutapoteza ladha ya Simba na Yanga. Hizi timu hazihitaji akili sana kwenye baadhi ya mambo ili kuleta burudani. Simba na Yanga zina mchango mkubwa sana kwenye umoja wa kitaifa.
 
Ninalaani hicho kitendo cha kumtukana Mgunda. Ila napinga hizi timu kuwa na wasemaji professional wanaoheshimu taaluma. Wakiwa hivyo tutapoteza ladha ya Simba na Yanga. Hizi timu hazihitaji akili sana kwenye baadhi ya mambo ili kuleta burudani. Simba na Yanga zina mchango mkubwa sana kwenye umoja wa kitaifa.
Tuna hitaji mtu mmoja mwenye busara, hekima, elimu na kujielewa ambaye atakuja kufanya mageuzi makubwa kwenye hi,zi Simba na Yanga. Hizi timu zinafanywa kama ni maadui wakati mpira ni mchezo wa uungwana, isifike kutoheshimiana kwa sababu ya usimba na uyanga. Utani uwepo lakini usivuke mipaka pia. Na pia mashabiki nao wabadilike maana hawa wasemaji wanafanya huu ujinga wakiamini ndicho wanayoyapenda mashabiki kusikia. Watanzania tunapenda mipasho, umbea, na upuuzi mwingi. Kama tutaonesha kukosoa mambo ya kijinga kama haya basi itasaidia pia kuwarudisha kwenye mstari watakaopewa nafasi za usemaji wa timu.
 
Tuna hitaji mtu mmoja mwenye busara, hekima, elimu na kujielewa ambaye atakuja kufanya mageuzi makubwa kwenye hi,zi Simba na Yanga. Hizi timu zinafanywa kama ni maadui wakati mpira ni mchezo wa uungwana, isifike kutoheshimiana kwa sababu ya usimba na uyanga. Utani uwepo lakini usivuke mipaka pia. Na pia mashabiki nao wabadilike maana hawa wasemaji wanafanya huu ujinga wakiamini ndicho wanayoyapenda mashabiki kusikia. Watanzania tunapenda mipasho, umbea, na upuuzi mwingi. Kama tutaonesha kukosoa mambo ya kijinga kama haya basi itasaidia pia kuwarudisha kwenye mstari watakaopewa nafasi za usemaji wa timu.
Nimemkumbuka Dismass Ten jamaa alikuwa mweledi sana lakini yanga ikadorora
.boss wangu Bumbuli pia alikuwa mweledi lakini akaletewa Nugaz ili kuchagizwa .
Watu wa hovyo huongozwa kihovyo hovyo
 
Yaani kile kitoto naanza amini kweli siyo riziki. Mgunda ni moja ya makocha ambao wana busara sana hapa nchini. Toka namfahamu sijawahi msikia akiizungumzia Yanga vibaya

Amekuwa na heshima kwa teams zote na watu wote. Kweli huyu dogo anadiriki kutamka kuwa kati ya Juma Mgunda na Andazi unachagua nini? Huu ni ukosefu wa adabu kwa kiasi kikubwa sana.

Yanga tutafute wasemaji wa team wenye akili. Siyo hawa wapuuzi. Nlimkemea Ahmed Ally alipotusema upuuzi nafanya the same kwa huyu dogo. Amekuwa kama hajawahi kabisa kuufahamu mpira ni nini. Amekiwa chawa mpaka anapitiliza.

Simba na Yanga tungetoka huko kwenye usemaji wa kipuuzi, wa kishoga, mipasho na michambo. Tuwe na watu professional wenye kuheshimu taaluma zao.

Mgunda ni kama baba yake huyu dogo wetu ambaye inasemekana ni punga. Mi nimeshasema mkitaka kunivua Uyanga njooni nipo hapa hapa mazafanta.
Huyu aachwe tu kama alivyo
FB_IMG_1683183439285.jpg
 
Tuna hitaji mtu mmoja mwenye busara, hekima, elimu na kujielewa ambaye atakuja kufanya mageuzi makubwa kwenye hi,zi Simba na Yanga. Hizi timu zinafanywa kama ni maadui wakati mpira ni mchezo wa uungwana, isifike kutoheshimiana kwa sababu ya usimba na uyanga. Utani uwepo lakini usivuke mipaka pia. Na pia mashabiki nao wabadilike maana hawa wasemaji wanafanya huu ujinga wakiamini ndicho wanayoyapenda mashabiki kusikia. Watanzania tunapenda mipasho, umbea, na upuuzi mwingi. Kama tutaonesha kukosoa mambo ya kijinga kama haya basi itasaidia pia kuwarudisha kwenye mstari watakaopewa nafasi za usemaji wa timu.
Watanzania tunapenda mipasho, umbea, na upuuzi mwingi.👊👊👊
 
Kuna Mjamaika alishawai kuniambia kushabikia Simba na yanga lazima kidogo brain yako iwe imeyumba.
 
Back
Top Bottom