Ni Mwandishi gani wa habari nchini anaweza kumhoji Tundu Lissu kwa uelewa ulio sawa?

Ni Mwandishi gani wa habari nchini anaweza kumhoji Tundu Lissu kwa uelewa ulio sawa?

Muiteni Mlopokaji, Muiteni mwendawazimu, call him Vyovyote unavyoweza kwakua una mdomo, na una bando lako.

Ukweli ni Kua TUNDU LISSU ni Moja ya Wanadamu wanaosoma na Kisha alichokisoma akawa na Uwezo wa kukiweka kwenye matendo, ni Moja ya watanzania wenye Karama za Uongozi, ni Moja ya Watanzania wenye kuijua Haki Kwa Matendo na maneno, ni Moja ya watanzania wenye UELEWA MPANA MNOO.

Huyu TUNDU LISSU, ukimuondolea habari za Uchama, ni MTU Mmoja wa muhimu sana sana ambaye Taifa lilitakiwa Kumtumia badala ya kumtenga, inawezekana ni Kwa sababu ya ndoto zake kutongoza Nchi( Sio mbaya Kila MTU ana ndoto), ila kwa Umuhimu wake ni Hazina, ni kama walivyo Akina MPINA, GWAJIMA, wanapoongea unaona kabisa wanaongea Kwa Uelewa mkubwa.

Wenda wewe ni NCCR, CCM, CDM, TLP, CUF n.k Imani yako ya kufia Chama, HAITAKAA Kamwe kubadili ukweli Huu ya kua TUNDU LISSU alijaaliwa kua na kitu ambacho ni watu wachache sana hubarikiwa nacho, na hiko kitu ni MUNGU mwenyewe huamua kumpa Mwanadamu.

LISSU ananikumbusha LUAGA MPINA, watu wanaosoma sana, ni watu wasotosheka na maarifa, ni watu wanaopenda kua taarifa sahihi tena Kwa kuzifatilia wao wenyewe, ananikumbusha juu ya Haya, LISSU ni MTU ambaye hata aanze kutoa hotuba Asubuhi Hadi Jioni, hatuwezi kuchoka kumsikiliza...

Unaweza ukawa mbishi tu juu yake sababu Binadamu ni mbishi, ila hiyo haitakufanya usahau wakati unasoma, iwe Shule au Chuo, kulikua na MTU Mmoja huyo Kupanga, yaan yeye ni Kipanga tuu na ana Uelewa wake wa kuzaliwa na Karama zake.

Tukubali tu, Watu aina ya LISSU, sio wa kufurahia kuondoshwa, ni watu muhimu sana ikiwa watatumika.


View: https://www.youtube.com/live/_xLLBAj0HqM?si=IbMHc9sZhVf2zrgo

Pascal Mayalla anaweza ...
 
Mabwenyenye ambayo Ma CCM Huwa yanaenda kukopa pesa, na pia kupata grants za mairadi ya Maendeleo na pesa za bajeti kila mwaka, akiwa não karibu kosa, ila ma CCM kila Mwaka kusaidiwa não sio kosa??

Ama kweli UJINGA NI MZIGO 🤔🤔🤣😅 I
mifano yako sio halisi.

Kibaraka aliwadanganya mabwenyenye kwamba anakubalika sana Tanzania, wakamuuliza kama ni hivyo kwanini ugombee umakamu mwenyekiti na sio uenyekiti Taifa?🤣

muungwana akachanganyikiwa na swali, hapo hapo akawambia naenda kugombea uenyekiti Taifa naachana na umakamu 🤣
 
mifano yako sio halisi.

Kibaraka aliwadanganya mabwenyenye kwamba anakubalika sana Tanzania, wakamuuliza kama ni hivyo kwanini ugombee umakamu mwenyekiti na sio uenyekiti Taifa?🤣

muungwana akachanganyikiwa na swali, hapo hapo akawambia naenda kugombea uenyekiti Taifa naachana na umakamu 🤣
Naongelea ukaribu au URAFIKI WA mabwenyenye kati ya Lissu na Serikali.

Lissu kuwa não karibu ni kosa, CCM kwenda kuomba pesa misaada ni sawa.

Wewe KENGE,BUMUNDA inaonekana somo la LOGIC lilikupita pembeni kabisa!!!

Ndo maana unajibu utumbo na kujipinga mwenyewe.

Naomba kwa ruhusa yako nikuite KENGEMAJI,KUBWA JINGA, aksante kwa UTAYARI hongera kuchagua ujinga 😅🤣😅🤣
 
Tundu Lissu anaweza akawa the best politician tuliyewahi kumpata Tanzania baada ya Oscar Kambona.

Huyu jamaa kanyooka, yuko vizuri upstairs, ana uelewa mkubwa sana wa mambo na sio mnafiki.

Zaidi ana sifa ya ziada ya kutokuwa na tamaa ya fedha na utajiri.

No wonder Magufuli alitaka kumuua huyu jamaa ni mtu wa kipekee sana!

Ningekuwa na uwezo wa Mungu ningemfanya awe rais wa Tanzania mwaka kesho.
Absolutely....!

Najaribu tu kufikiri, kwamba, siku ile Hezekia Wenje (bila shaka akiwa ametumwa na team Freeman Mbowe) ampeleke Abdul (mtoto wa Rais Samia) kumshawishi kupokea hongo (rushwa ya kumfunga mdomo) asiikosoe serikali na Rais wake Samia Suluhu Hassan...

Hivi huyu jamaa (TL) kama angeweka dau lake, bila shaka, CCM na serikali yote walikuwa tayari hata kuikausha hazina ili mradi wamzibe mdomo huyu mwamba...

Kiongozi wa chama cha upinzani anayeweza kukataa hongo ya mabilioni ya pesa, huyu ni mtu wa kipekee sana, ni very special person...
 
Muiteni Mlopokaji, Muiteni mwendawazimu, call him Vyovyote unavyoweza kwakua una mdomo, na una bando lako.

Ukweli ni Kua TUNDU LISSU ni Moja ya Wanadamu wanaosoma na Kisha alichokisoma akawa na Uwezo wa kukiweka kwenye matendo, ni Moja ya watanzania wenye Karama za Uongozi, ni Moja ya Watanzania wenye kuijua Haki Kwa Matendo na maneno, ni Moja ya watanzania wenye UELEWA MPANA MNOO.

Huyu TUNDU LISSU, ukimuondolea habari za Uchama, ni MTU Mmoja wa muhimu sana sana ambaye Taifa lilitakiwa Kumtumia badala ya kumtenga, inawezekana ni Kwa sababu ya ndoto zake kutongoza Nchi( Sio mbaya Kila MTU ana ndoto), ila kwa Umuhimu wake ni Hazina, ni kama walivyo Akina MPINA, GWAJIMA, wanapoongea unaona kabisa wanaongea Kwa Uelewa mkubwa.

Wenda wewe ni NCCR, CCM, CDM, TLP, CUF n.k Imani yako ya kufia Chama, HAITAKAA Kamwe kubadili ukweli Huu ya kua TUNDU LISSU alijaaliwa kua na kitu ambacho ni watu wachache sana hubarikiwa nacho, na hiko kitu ni MUNGU mwenyewe huamua kumpa Mwanadamu.

LISSU ananikumbusha LUAGA MPINA, watu wanaosoma sana, ni watu wasotosheka na maarifa, ni watu wanaopenda kua taarifa sahihi tena Kwa kuzifatilia wao wenyewe, ananikumbusha juu ya Haya, LISSU ni MTU ambaye hata aanze kutoa hotuba Asubuhi Hadi Jioni, hatuwezi kuchoka kumsikiliza...

Unaweza ukawa mbishi tu juu yake sababu Binadamu ni mbishi, ila hiyo haitakufanya usahau wakati unasoma, iwe Shule au Chuo, kulikua na MTU Mmoja huyo Kupanga, yaan yeye ni Kipanga tuu na ana Uelewa wake wa kuzaliwa na Karama zake.

Tukubali tu, Watu aina ya LISSU, sio wa kufurahia kuondoshwa, ni watu muhimu sana ikiwa watatumika.


View: https://www.youtube.com/live/_xLLBAj0HqM?si=IbMHc9sZhVf2zrgo

Tumlete Lary King au wale wazee wa Hard Talk. Watamyoosha haswaaaa.🤣🤣🤣. Hapo kwetu kwa kweli tu waripoti matukio lakini sio wanahabari.
 
ata mimi sio mfuatiliaji wa siasa pia sipo interested na siasa kabisa, ila nimewai kukutana na mahojiano au speech za Lissu, uwezo wake wa kufikiri na kuwasilisha hoja ni mkubwa san... hapa Tz hakuna anaemfikia hata kumkaribia bado sana sijaona
 
Tundu Lissu anaweza akawa the best politician tuliyewahi kumpata Tanzania baada ya Oscar Kambona.

Huyu jamaa kanyooka, yuko vizuri upstairs, ana uelewa mkubwa sana wa mambo na sio mnafiki.

Zaidi ana sifa ya ziada ya kutokuwa na tamaa ya fedha na utajiri.

No wonder Magufuli alitaka kumuua huyu jamaa ni mtu wa kipekee sana!

Ningekuwa na uwezo wa Mungu ningemfanya awe rais wa Tanzania mwaka kesho.
Tuko pamoja. Huyu mwamba nasemaga daily kuwa ningekua sir God ninge mpa uraisi wa tz lissu tena ile ile 2020
 
Bahati mbaya sana wengi wa wapiga kura ni wajinga wajinga, huwa hawana muda kuwaunga mkono watu wenye akili...
Ni kawaida sana Kwa hapa Duniani, siku zote wajinga hufurahia ujinga na Kwa wingi wao humshinda mwerevu.

Wakati Fulani Mungu tu ndo aingilie kati
 
Back
Top Bottom