Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
_😀Hana cha ufreemason wala jelamason nasikia alipakatwa kwa muda na vidume huko marekani.
Akapewa kama Zawadi..
Mkuu kupakatwa marekani kunalipa sana..Uyu kijana ukiwa na wivu nae unaweza jifia pressure tu.View attachment 1855496
Kina Jayz hadi leo wapo tu, kufa mapema ni mipango mibovu ya maisha yako au Mungu aamue, huwezi kuwa unatomb.a tomb.a ovyo, ulevi mavi , lishe mbovu mambo ya ajabu ajabu, lazima ufe mapemaaa tu, kina freemason andy chandy wamepiga miaka karibia miaka 100.. huyo shetani mwenyewe hadi leo yupo hai na ndio baba wa uovu..U free mason unalipa ila atatoweka at his early 40
Huyu kitamuua kutombarombaKina Jayz hadi leo wapo tu, kufa mapema ni mipango mibovu ya maisha yako au Mungu aamue, huwezi kuwa unatomb.a tomb.a ovyo, ulevi mavi , lishe mbovu mambo ya ajabu ajabu, lazima ufe mapemaaa tu, kina freemason andy chandy wamepiga miaka karibia miaka 100.. huyo shetani mwenyewe hadi leo yupo hai na ndio baba wa uovu..
Naona watu wengi wako busy kujadili magari ya diamond. Hiviyakiwa fake au original au ya gharama kubwa, yanamsaidiaje Bibi yangu aliyeko kule longolambogo Bariadi? Huu muda tungeutumia kujadili tozo mpya za simu nadhani ingesaidia zaidi.View attachment 1855126
View attachment 1855127
Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni lamborghini pamoja na bentleymotors na hivyo kwa sasa anasubiri kuzipokea nchini
View attachment 1855113
Kuna Wabongo wanachukia Mbongo mwenzao kuwa level za juu, wao furaha yao watambe Wapopo tu ili wapatie pa kuwacheka Wabongo wenzao wanaopambana kwamba si lolote si chochote.Nimeipenda sio wanaiger tu ndio watutambie kongole kwake kutokana back ground Hakuna kinachoshindikana
Sawa sawia, [emoji817][emoji3581]Gari ghali hukupa akili na maarifa ya kutafuta zaidi
Ushamba mzigoView attachment 1855126
View attachment 1855127
Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni lamborghini pamoja na bentleymotors na hivyo kwa sasa anasubiri kuzipokea nchini
View attachment 1855113
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38]tujifarijiDunia ni mapito, fedha na dhahabu ni mali ya bwana
Hua najiuliza,sasa mtu kama wewe unakua ni Diamond mwenyewe au vipi? Maana mtu unaacha kazi zako na kufikiri maisha yako kweli unakuja mtandaoni unatumia internet kuelezea maisha ya mtu mwingine bila faida yoyote ,inasaidia nini maishani?View attachment 1855126
View attachment 1855127
Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni lamborghini pamoja na bentleymotors na hivyo kwa sasa anasubiri kuzipokea nchini
View attachment 1855113