Ni mwanzo tu, Diamond Platnumz aagiza tena Lamborghini na Bentley, magari ya mabilion

Ni mwanzo tu, Diamond Platnumz aagiza tena Lamborghini na Bentley, magari ya mabilion

Barabara za Kibongo Lamborghini mmh, labda siku hizi mmeendelea sana kwenye barabara.
All in all pongezi kwake, anajituma sana hivyo acha autakase moyo wake. Planning properly and working hard ndiyo vilivyomfikisha hapo alipo, acha ale matunda ya jasho lake.
Kuna Lamborghini SUV hata Bentley ziko SUV
 
Kina Jayz hadi leo wapo tu, kufa mapema ni mipango mibovu ya maisha yako au Mungu aamue, huwezi kuwa unatomb.a tomb.a ovyo, ulevi mavi , lishe mbovu mambo ya ajabu ajabu, lazima ufe mapemaaa tu, kina freemason andy chandy wamepiga miaka karibia miaka 100.. huyo shetani mwenyewe hadi leo yupo hai na ndio baba wa uovu..
Heheheh
 
Kuna Wabongo wanachukia Mbongo mwenzao kuwa level za juu, wao furaha yao watambe Wapopo tu ili wapatie pa kuwacheka Wabongo wenzao wanaopambana kwamba si lolote si chochote.
Most ya haters ukiwafuatilia ni wachawi kwenye familia zao, mchawi kuwa na chuki na maendeleo ya mtu ni kitu cha kawaida na mchawi huwa hawi na sababu ila ukimbana atatafuta visababu vyovyote vya kusingizia.
Nishamsikia shoga mmoja huko akidai ataruka kote ila sio kwenye Bugatti hapo yeye hata kumiliki baiskeli ya Avon kumemshinda
 
Barabara za Kibongo Lamborghini mmh, labda siku hizi mmeendelea sana kwenye barabara.
All in all pongezi kwake, anajituma sana hivyo acha autakase moyo wake. Planning properly and working hard ndiyo vilivyomfikisha hapo alipo, acha ale matunda ya jasho lake.
Uzuri diamond anaonesha ni mpenzi wa gari za juu juu😅 kwahio hapo atanunua Lamborghini Urus ama Bentley Bentyaga zote hizi ni SUV
 
Pia anataka kuleta yatch kama Ile ya Ibrahimovic
Suala ya Yatch nasikia mtoa breaking news wa Sadala I mean The blue Chawa 'Fundi manyumba' amelithibitisha, let's wait and see kwani seeing is believing.
Ndoto si lazima zitimie papo kwa papo, kama kweli amedhamiria na uchumi utamruhusu lolote linawezekana.
 
Sawa. Ila nadhani viwanda vingemsaidia yeye binafsi, serikali na Watanzania wengi wangenufaika kuanzia kwenye kupat ajira na hata kwenye kufaidi bidhaa za viwanda hivyo
Naskia kiwanda cha kutengeneza saa kipo kwenye Ramani Za mwanzoni
 
Suala ya Yatch nasikia mtoa breaking news wa Sadala I mean The blue Chawa 'Fundi manyumba' amelithibitisha, let's wait and see kwani seeing is believing.
Ndoto si lazima zitimie papo kwa papo, kama kweli amedhamiria na uchumi utamruhusu lolote linawezekana.
Nasikia pia anataka Ashushe Boeing ya biashara...yenye uwezo wa Siti 600
 
Saa kwa ajili ya exportation? Biashara ya saa ngumu sana siku hizi, simu zimeitia mikosi.
Kila la kheri kwake
Imagine Saa ya Mondi yenye Logo yake...alafu bei 45k(Sio ndogo zisionekane Loko,Na sio kubwa zisinunulike)

Vijana masharobaro wakibongo watazivamia sana...itakuwa kama kaujanja akipiga pamba anavalia Na saa ya 45k
 
U free mason unalipa ila atatoweka at his early 40
Kila kitu,free mason,acha uchawi,watu wanafanya Kazi.
Waswahili mna mambo,Bakheresa aiitwi free mason,ila mtoto wa Tandale ametutoa kimasomaso East Afrika nzima,mijitu mnaanza kumuwangia mchana kweupee,kama free mason unalipa,unasubili nini,nenda kajiunge,
 
Kila kitu,free mason,acha uchawi,watu wanafanya Kazi.
Waswahili mna mambo,Bakheresa aiitwi free mason,ila mtoto wa Tandale ametutoa kimasomaso East Afrika nzima,mijitu mnaanza kumuwangia mchana kweupee,kama free mason unalipa,unasubili nini,nenda kajiunge,
Kama kunengua kunalipa nengua na wewe ununue hata boda boda
 
Back
Top Bottom