Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Kuna Lamborghini SUV hata Bentley ziko SUVBarabara za Kibongo Lamborghini mmh, labda siku hizi mmeendelea sana kwenye barabara.
All in all pongezi kwake, anajituma sana hivyo acha autakase moyo wake. Planning properly and working hard ndiyo vilivyomfikisha hapo alipo, acha ale matunda ya jasho lake.
HehehehKina Jayz hadi leo wapo tu, kufa mapema ni mipango mibovu ya maisha yako au Mungu aamue, huwezi kuwa unatomb.a tomb.a ovyo, ulevi mavi , lishe mbovu mambo ya ajabu ajabu, lazima ufe mapemaaa tu, kina freemason andy chandy wamepiga miaka karibia miaka 100.. huyo shetani mwenyewe hadi leo yupo hai na ndio baba wa uovu..
Ushawahi pakatwa mkuu !?Mkuu kupakatwa marekani kunalipa sana..
Hivi snoop akupakate utaacha kuwa na pesa?
Heheheheh Cressida 0” KilometreAfande Sele nae kashusha kitu kipya 0km.View attachment 1857458
Africa ni matajiri wangapi wana miliki bugatti? Ukiondoa Samweli Eto
Nishamsikia shoga mmoja huko akidai ataruka kote ila sio kwenye Bugatti hapo yeye hata kumiliki baiskeli ya Avon kumemshindaKuna Wabongo wanachukia Mbongo mwenzao kuwa level za juu, wao furaha yao watambe Wapopo tu ili wapatie pa kuwacheka Wabongo wenzao wanaopambana kwamba si lolote si chochote.
Most ya haters ukiwafuatilia ni wachawi kwenye familia zao, mchawi kuwa na chuki na maendeleo ya mtu ni kitu cha kawaida na mchawi huwa hawi na sababu ila ukimbana atatafuta visababu vyovyote vya kusingizia.
Uzuri diamond anaonesha ni mpenzi wa gari za juu juu😅 kwahio hapo atanunua Lamborghini Urus ama Bentley Bentyaga zote hizi ni SUVBarabara za Kibongo Lamborghini mmh, labda siku hizi mmeendelea sana kwenye barabara.
All in all pongezi kwake, anajituma sana hivyo acha autakase moyo wake. Planning properly and working hard ndiyo vilivyomfikisha hapo alipo, acha ale matunda ya jasho lake.
Hii lambo ya huyu mwamba ni ghali sana hata sasa bei yake imechangamka, lamborgini Marcielago ni ghali kuliko Gallardo kwa hapo Davis Mosha niliprove kweli pesa alikuwa nayo incase hajafilisiwaDavid mosha alishawahi kuimiliki na mechi za yanga alikuwa anaenda nayo, huwa zinainuliwa
View attachment 1855134
View attachment 1855133
ila pia kuna matoleo ya model aina ya urus, zinakua juu
View attachment 1855139
Pia anataka kuleta yatch kama Ile ya IbrahimovicAlikuwa na maongezi na management ya Boeing anataka kuleta private jet
Sawa. Ila nadhani viwanda vingemsaidia yeye binafsi, serikali na Watanzania wengi wangenufaika kuanzia kwenye kupat ajira na hata kwenye kufaidi bidhaa za viwanda hivyoPia anataka kuleta yatch kama Ile ya Ibrahimovic
Suala ya Yatch nasikia mtoa breaking news wa Sadala I mean The blue Chawa 'Fundi manyumba' amelithibitisha, let's wait and see kwani seeing is believing.Pia anataka kuleta yatch kama Ile ya Ibrahimovic
Naskia kiwanda cha kutengeneza saa kipo kwenye Ramani Za mwanzoniSawa. Ila nadhani viwanda vingemsaidia yeye binafsi, serikali na Watanzania wengi wangenufaika kuanzia kwenye kupat ajira na hata kwenye kufaidi bidhaa za viwanda hivyo
Nasikia pia anataka Ashushe Boeing ya biashara...yenye uwezo wa Siti 600Suala ya Yatch nasikia mtoa breaking news wa Sadala I mean The blue Chawa 'Fundi manyumba' amelithibitisha, let's wait and see kwani seeing is believing.
Ndoto si lazima zitimie papo kwa papo, kama kweli amedhamiria na uchumi utamruhusu lolote linawezekana.
Wewe tangu umeanza kupelekewa moto, umepata nini na nini ?Mkuu kupakatwa marekani kunalipa sana..
Hivi snoop akupakate utaacha kuwa na pesa?
Baada ya hapo ukapata furaha isiyo na kifaniNimeona kawashiwa moto huko Twitter eti anadai gari zero km lakini tairi kipala[emoji3][emoji3]
Saa kwa ajili ya exportation? Biashara ya saa ngumu sana siku hizi, simu zimeitia mikosi.Naskia kiwanda cha kutengeneza saa kipo kwenye Ramani Za mwanzoni
Imagine Saa ya Mondi yenye Logo yake...alafu bei 45k(Sio ndogo zisionekane Loko,Na sio kubwa zisinunulike)Saa kwa ajili ya exportation? Biashara ya saa ngumu sana siku hizi, simu zimeitia mikosi.
Kila la kheri kwake
Kila kitu,free mason,acha uchawi,watu wanafanya Kazi.U free mason unalipa ila atatoweka at his early 40
Kama kunengua kunalipa nengua na wewe ununue hata boda bodaKila kitu,free mason,acha uchawi,watu wanafanya Kazi.
Waswahili mna mambo,Bakheresa aiitwi free mason,ila mtoto wa Tandale ametutoa kimasomaso East Afrika nzima,mijitu mnaanza kumuwangia mchana kweupee,kama free mason unalipa,unasubili nini,nenda kajiunge,
Unamaanisha unapopakatwa unakuwa wa moto?Wewe tangu umeanza kupelekewa moto, umepata nini na nini ?