Ni mwendelezo wa kula bata na kazi, Molde Norway hivi

Ni mwendelezo wa kula bata na kazi, Molde Norway hivi

kyaibumba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
715
Reaction score
994
Nipo tu nakula bata zangu kila baada ya kazi.

FB_IMG_1574619597683.jpg
FB_IMG_1574619619733.jpg
 
Kyaibumba, watu ni wachokozi, kula bata mwaya kwa raha zakoo achana nao.

Tunafanana nyota when it comes to kula bata baada ya kazi, cheers sema hapo mie ningemalizia na kwenda kucheza mziki hadi hiyo baridi ikiniona inanipisha njia aahahahahhaaa

Baba Batalingaya RRONDO wewe unakula bata kuku au mbuzi?
 
Kyaibumba, watu ni wachokozi.... Kukaa bata mwaya Kwa raha zakoo achana nao.

Tunafanana bukta when it comes to kula bata baada ya kazi, cheers sema hapo mie nibgemalizia na kwenda kucheza mziki hadi hiyo baridi ikiniona inanipisha njia aahahahahhaaa

Baba Batalingaya RRONDO wewe unakula bata kuku au mbuzi???...
Mimi nakula vumbi tu hapa Bongo
 
Kuna jamaa ndani ya treni anakuangalia kwa jicho baya,kuwa makini anaonekana mbaguzi(angalia dirishani la treni)
Kabisaaa wabaguzi Ulaya nzima wabaguzi niwe mkweli, tunaishi kigumu gumu.
 
Mimi nakula vumbi tu hapa Bongo

Njoo SA uonje vumbi la huku walau wiki moja tuu....

Kila nikipita kwenye kile kibao cha alama za barabarani kimedondoka upside down (ulikipiga picha ukakiweka hapa JF) nakukumbuka... Maeneo karibu na ubalozi wa Zambia na British council kama sikosei...

Vumbi la bongo tamu asikwambie mtu, linabamba kila mahali watoto kila leo wanazaliwa na hips, wowowo, rangi adimu, mitulinga na vibamia humohumo, basi buridani bin tafrani aahahahahahhaaaa
Matata the K.
 
Njoo SA uonje vumbi la huku walau wiki moja tuu....

Kila nikipita kwenye kile kibao cha alama za barabarani kimedondoka upside down (ulikipiga picha ukakiweka hapa JF) nakukumbuka... Maeneo karibu na ubalozi wa Zambia na British council kama sikosei...

Vumbi la bongo tamu asikwambie mtu, linabamba kila mahali watoto kila leo wanazaliwa na hips, wowowo, rangi adimu, mitulinga na vibamia humohumo, basi buridani bin tafrani aahahahahahhaaaa
Matata the K.
Ha ha ha kile kibao kimerekebishwa 3 weeks ago,imagine tangu wakati ule. Nilikuwa na mpango huo Xmas hii ila wale wajinga walioua waafrika wenzao wamenifanya niichukie hio nchi na kuahirisha kuja huko. @#£@@*€ zao!
 
Baridi yote hio avae bukta?! Akibanwa na ngiri utamsaidia?

Hivi Baba Batalingaya weeweee, tukionana nakurukia mgongoni nakukaba kabalof aahahaahahahahhaaa
Kwani mie nimesema akavae bukta au nimemwambia asiwasikilize nyie na kutafuta picha nyingine aweke hapa kwa kadri mnavyokuwa hamuamini kuwa anakula bata kweli... aahahahahahaaaaa natafuta matusi ya Ndossi yote yamenipotea....ningekutupia moja hata la Nanayakara au Gabone au Wilfred....

Ila dawa ya ngiri ni BJ mayai yanatoka nje yotee kitu inapata joto asilia swaaaff maumivu yote kwishney.....
 
Hivi Baba Batalingaya weeweee, tukionana nakurukia mgongoni nakukaba kabalof aahahaahahahahhaaa
Kwani mie nimesema akavae bukta au nimemwambia asiwasikilize nyie na kutafuta picha nyingine aweke hapa kwa kadri mnavyokuwa hamuamini kuwa anakula bata kweli... aahahahahahaaaaa natafuta matusi ya Ndossi yote yamenipotea....ningekutupia moja hata la Nanayakara au Gabone au Wilfred....

Ila dawa ya ngiri ni BJ mayai yanatoka nje yotee kitu inapata joto asilia swaaaff maumivu yote kwishney.....
Bata Ulaya linaliwa summer....beer sana kwenye river side bars and restaurants,bbq everyday,watoto full kujiachia.....winter kama hii ni kujifucha tu hata kwenda kupiga box kwa mbinde
 
Ha ha ha kile kibao kimerekebishwa 3 weeks ago,imagine tangu wakati ule. Nilikuwa na mpango huo Xmas hii ila wale wajinga walioua waafrika wenzao wamenifanya niichukie hio nchi na kuahirisha kuja huko. @#£@@*€ zao!


Aahahahahhahaaaaa @#£@@*€ zakoooo
Nashukuru umenipa la kukutupia aahahahahaaa bila sababu yeyote ile....

Yeah wanaume wa huku wako sturbon sana hata ku date nao haraka moyo, ni wakorofii...

Hata mie on Xmas won't be here I have almost two weeks to go, vacation is on.... First destination Zanzibar then......hukoooooo....
 
Back
Top Bottom