Ni mwendelezo wa kula bata na kazi, Molde Norway hivi

Ni mwendelezo wa kula bata na kazi, Molde Norway hivi

Bata Ulaya linaliwa summer....beer sana kwenye river side bars and restaurants,bbq everyday,watoto full kujiachia.....winter kama hii ni kujifucha tu hata kwenda kupiga box kwa mbinde


Uko sawa kabisa double R, siku moja nikawa najisemea, hivi kwanini bongo mdada mwenye mifupa tuu hana hata nyamanyama akivaa bukta au mini skirt haswa chini ya matako ni issue kwa wakaka na hapo yuko on social places sio hospital kanisani au banks au ofisi za serikali.

Ila huko duniani unakuta mdada au mama amevaa bukta yake na blouse safii na ana mapaja na tako mnyakyusa haoni ndani. Mwanzoni huku SA namimi nilikuwa nawashangaa baadae nikazoea maana morphology zao ni balaa mngoni kasingiziwa halafu rangi za mvutoo...

Nikija bongo navaa kaptura yangu nikitoka naishia maeneo ya masaki tuu tena eneo moja na kuondoka, hata mlimani sikanyagi. Najikuta tuu najistukia Ila huko duniani, wakati wa joto napunga hewa sana utasema nami ni mmoja wao kuuumbee, mmatumbi aahahahahaaa.

Matata the K.
 
Kyaibumba, watu ni wachokozi, kula bata mwaya kwa raha zakoo achana nao.

Tunafanana nyota when it comes to kula bata baada ya kazi, cheers sema hapo mie ningemalizia na kwenda kucheza mziki hadi hiyo baridi ikiniona inanipisha njia aahahahahhaaa

Baba Batalingaya RRONDO wewe unakula bata kuku au mbuzi?
Haha
 
Back
Top Bottom