Ni mwezi wa pili sasa tumenuniana mi na mke wangu

Ni mwezi wa pili sasa tumenuniana mi na mke wangu

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
442
Reaction score
1,655
Ndoa Ndoano
Ni mke wangu wa ndoa na tuna watoto copy yangu kabisa
Kutokana na migogoro ya hapa na pale tulitengana ila tulikua tunawasiliana kujua hali za watoto
Mara zote mimi ndo nilikua napiga simu kujua hali zao
Sasa kuna tukio alifanya ambalo lilinikata mood kabisa ya kuendelea kumpigia pigia simu hivyo nikaacha na nilitegemea atapiga kuomba msamaha kwa tukio alilonifanyia na tuweze kujadili ili kuweka mambo sawa
Ila ni mwezi wa 2 sasa unaisha hakuna mawasiliano nami nimeamua nimpotezee mazima hadi pale atakapokuja kudai talaka.
Mke ni mwajiriwa mkoa jirani na ninapoishi so yupo huko anakofanyia kazi
Je nimtafute au nikomae tu na harakati zangu za maisha??
 
Ndoa Ndoano
Ni mke wangu wa ndoa na tuna watoto copy yangu kabisa
Kutokana na migogoro ya hapa na pale tulitengana ila tulikua tunawasiliana kujua hali za watoto
Mara zote mimi ndo nilikua napiga simu kujua hali zao
Sasa kuna tukio alifanya ambalo lilinikata mood kabisa ya kuendelea kumpigia pigia simu hivyo nikaacha na nilitegemea atapiga kuomba msamaha kwa tukio alilonifanyia na tuweze kujadili ili kuweka mambo sawa
Ila ni mwezi wa 2 sasa unaisha hakuna mawasiliano nami nimeamua nimpotezee mazima hadi pale atakapokuja kudai talaka.
Mke ni mwajiriwa mkoa jirani na ninapoishi so yupo huko anakofanyia kazi
Je nimtafute au nikomae tu na harakati zangu za maisha??
Stori yako iko nusu hujasema ni kosa gani kubwa mlilotendeana sasa inakuwa ngumu kutoa ushauri bila kujua uzito wa hilo kisa mlilotendeana
 
Kama sisi ambao hatukufahamu umeshindwa kutueleza kosa ili tushauri hapo c unatupa majaribu ndugu....mi ushauri wangu we oa mwingine toa copy yako
 
Pole mkuu,

Kamwe usiishi Kwa kushindana na mwanamke.

Wewe endelea na mambo yako, jua kwamba Yule ni mama Yao hawezi kuwatupa wala kuwapa Sumu.

Akikumiss au akiwa na shida atakutafuta.
Ushauri mulua kabisa
 
Ndoa ndoano.
Wanawake wakishakua na stable income wengi wanaotaga mapembe

Umechukua uamuzi wa busara, enjoy maisha yako now less stress. Akijitathmini atakutafuta.
 
Ndoa Ndoano
Ni mke wangu wa ndoa na tuna watoto copy yangu kabisa
Kutokana na migogoro ya hapa na pale tulitengana ila tulikua tunawasiliana kujua hali za watoto
Mara zote mimi ndo nilikua napiga simu kujua hali zao
Sasa kuna tukio alifanya ambalo lilinikata mood kabisa ya kuendelea kumpigia pigia simu hivyo nikaacha na nilitegemea atapiga kuomba msamaha kwa tukio alilonifanyia na tuweze kujadili ili kuweka mambo sawa
Ila ni mwezi wa 2 sasa unaisha hakuna mawasiliano nami nimeamua nimpotezee mazima hadi pale atakapokuja kudai talaka.
Mke ni mwajiriwa mkoa jirani na ninapoishi so yupo huko anakofanyia kazi
Je nimtafute au nikomae tu na harakati zangu za maisha??
Naona huu Uzi umejaa upwiru, umeçhapiwa ukaenda kuangalia watoto ukaona mnafanana sasa unakuja kutuuliza ambao hatuwajui wewe na huyo mkeo.
 
Wanaume sijui mmekuwaje🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

Kuna mahali mnakosewa kulelewa aisee, sio bure!
 
Ndoa Ndoano
Ni mke wangu wa ndoa na tuna watoto copy yangu kabisa
Kutokana na migogoro ya hapa na pale tulitengana ila tulikua tunawasiliana kujua hali za watoto
Mara zote mimi ndo nilikua napiga simu kujua hali zao
Sasa kuna tukio alifanya ambalo lilinikata mood kabisa ya kuendelea kumpigia pigia simu hivyo nikaacha na nilitegemea atapiga kuomba msamaha kwa tukio alilonifanyia na tuweze kujadili ili kuweka mambo sawa
Ila ni mwezi wa 2 sasa unaisha hakuna mawasiliano nami nimeamua nimpotezee mazima hadi pale atakapokuja kudai talaka.
Mke ni mwajiriwa mkoa jirani na ninapoishi so yupo huko anakofanyia kazi
Je nimtafute au nikomae tu na harakati zangu za maisha??
Mkome kuoa
 
Nenda huko aliko mkayamalize. Na uhakikishe unakaa kama wiki 2 hivi. Kwa muda huo utapata mambo mengi sana ya kukusaidia.
 
Unavyozidi kumpotezea ndivyo unazidi kumuweka mbali. Jishushe okoa ndoa yako then set standards na uhakikishe anazifuata.
 
OGOPA SANA KUNUNIANA NA MTU ANAEKUANDALIA CHAKULA,MAJI YA KUNYWA NA HATA SEHEMU UNAPOLALA

CHUKUA HII
 
Back
Top Bottom