Kiparuanda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,587
- 2,389
Mpeleke ustawi wa jamii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakuambia mwanaume hanuni, wanaume wananuna sana tu sikuhizi...siiti kununa, ila kukaa kimya. Unapigiwa buyu hadi ushangae.Mwanaume hanuni ,wewe ndiyo kichwa cha familia unapaswa kusolve matatizo ya familia ,ndoa nyingi sasa hivi kwa sababu wanaume hawasimami katika nafasi zao,ndiyo maana tunapata watoto na Taifa lisilo na maadili kwa sababu ya wanaume kama ninyi
NeverHalafu akirudi anajuta jamaa ampokee?
Mzee wa hall V, umeongea km baba na mume wa mtu.Pole mkuu,
Kamwe usiishi Kwa kushindana na mwanamke.
Wewe endelea na mambo yako, jua kwamba Yule ni mama Yao hawezi kuwatupa wala kuwapa Sumu.
Akikumiss au akiwa na shida atakutafuta.
Tafuta hela wakati yeye anahangaika na vitombeo vingine, wewe komaa na yako mkuu usimize bichwa lako kwa mtu alieamua kukubundiaJe nimtafute au nikomae tu na harakati zangu za maisha??
Wanawake wa kileo?Mpe muda kuna siku atarudi anajuta.
watoto wanakaa na nani??Ndoa Ndoano
Ni mke wangu wa ndoa na tuna watoto copy yangu kabisa
Kutokana na migogoro ya hapa na pale tulitengana ila tulikua tunawasiliana kujua hali za watoto
Mara zote mimi ndo nilikua napiga simu kujua hali zao
Sasa kuna tukio alifanya ambalo lilinikata mood kabisa ya kuendelea kumpigia pigia simu hivyo nikaacha na nilitegemea atapiga kuomba msamaha kwa tukio alilonifanyia na tuweze kujadili ili kuweka mambo sawa
Ila ni mwezi wa 2 sasa unaisha hakuna mawasiliano nami nimeamua nimpotezee mazima hadi pale atakapokuja kudai talaka.
Mke ni mwajiriwa mkoa jirani na ninapoishi so yupo huko anakofanyia kazi
Je nimtafute au nikomae tu na harakati zangu za maisha??
Thanks!!!Mzee wa hall V, umeongea km baba na mume wa mtu.
[emoji122][emoji122][emoji122]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kujuta ni lazima.Wanawake wa kileo?
Hivi unajua gharama ya mwanaume kujishusha kwa mwanamke?. Akirudi tu dharau zitazidi zaidi sasa hizo standard ataziwekaje?. Alafu inaonekana hujaoa wala kukaa na mwanamke kwa muda mrefu. Bado yamkini mke wako ajafunua kucha zake anakuangalia akasema hiii!. Siku moja uingie anga zake akutende.Unavyozidi kumpotezea ndivyo unazidi kumuweka mbali. Jishushe okoa ndoa yako then set standards na uhakikishe anazifuata.
Nimetengana nae since 2023OGOPA SANA KUNUNIANA NA MTU ANAEKUANDALIA CHAKULA,MAJI YA KUNYWA NA HATA SEHEMU UNAPOLALA
CHUKUA HII
Mmoja wa kwanza yupo shule wawili wapo na mama yaowatoto wanakaa na nani??