Ni miezi mitatu sasa tangu tuoane na mke wangu na tumekuwa tukifanya ngono mara kwa mara ili tuanzishe familia lakini mke wangu hajashika ujauzito hadi sasa.
Ni miezi mitatu sasa tangu tuoane na mke wangu na tumekuwa tukifanya ngono mara kwa mara ili tuanzishe familia lakini mke wangu hajashika ujauzito hadi sasa.
Miezi 3 mbona bado mapema sana...hata ivyo yaonekana una haraka sana..jukumu la kuongeza kiumbe ni maridhiano na kama mkeo hayuko tayari huenda akawa anatumia njia za uzazi wa mpango.