Ni myonge, sina kauli na sina hamu ya kwenda nyumbani tena nilipo zaliwa

Ni myonge, sina kauli na sina hamu ya kwenda nyumbani tena nilipo zaliwa

Leonce jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2023
Posts
1,815
Reaction score
2,651
Assalama leko.

Tumsifu Yesu Kristo.

Wakuu maisha yamekuwa tofauti sana na nilivyokuwa kipindi cha nyuma nimekuwa mnyonge na nisiye na furaha tena kwa historia za wazee (mababu) nimekuwa chambo kwa hilo kila kitu kimebadilika sana

Nyumbani nilipo zaliwa hapakaliki tena nikienda naibua story nahisi nanyoshewa kidole kila nikionekana na ninapopita.

Wazazi walezi walikataa mahari ya ng'ombe na fedha kutoka upande wa baba yangu walipo kuja kutoa ili wanichukua lakini story ghafla ilibadilika sana baada upande wa mama kuwafukuza na fedha pamoja na ng'ombe zao.

Ushauri wadada mjitahidi muolewe ndipo mzae hata kama ni ndoa ya mkeka, pia jitahidi kumsema ukweli aliekupa mimba akatae yeye mwenyewe kuwa mimba sio yangu. Atakae pata tabu huko mbeleni ni mtoto.
 
Assalama leko.
Tumsifu yesu kristo.

Wakuu maisha yamekuwa tofauti sana na nilivyokuwa kipindi cha nyuma nimekuwa mnyonge na nisiye na furaha tena kwa historia za wazee (mababu) nimekuwa chambo kwa hilo kila kitu kimebadilika sana

Nyumbani nilipo zaliwa hapakaliki tena nikienda naibua story nahisi nanyoshewa kidole kila nikionekana na ninapopita.

Wazazi walezi walikataa mahari ya ng'ombe na fedha kutoka upande wa baba yangu walipo kuja kutoa ili wanichukua lakini story ghafla ilibadilika sana baada upande wa mama kuwafukuza na fedha pamoja na ng'ombe zao.

Ushauri wadada mjitahidi muolewe ndipo mzae hata kama ni ndoa ya mkeka, pia jitahidi kumsema ukweli aliekupa mimba akatae yeye mwenyewe kuwa mimba sio yangu. Atakae pata tabu huko mbeleni ni mtoto.
I feel you bro😐😐
 
Assalama leko.
Tumsifu yesu kristo.

Wakuu maisha yamekuwa tofauti sana na nilivyokuwa kipindi cha nyuma nimekuwa mnyonge na nisiye na furaha tena kwa historia za wazee (mababu) nimekuwa chambo kwa hilo kila kitu kimebadilika sana

Nyumbani nilipo zaliwa hapakaliki tena nikienda naibua story nahisi nanyoshewa kidole kila nikionekana na ninapopita.

Wazazi walezi walikataa mahari ya ng'ombe na fedha kutoka upande wa baba yangu walipo kuja kutoa ili wanichukua lakini story ghafla ilibadilika sana baada upande wa mama kuwafukuza na fedha pamoja na ng'ombe zao.

Ushauri wadada mjitahidi muolewe ndipo mzae hata kama ni ndoa ya mkeka, pia jitahidi kumsema ukweli aliekupa mimba akatae yeye mwenyewe kuwa mimba sio yangu. Atakae pata tabu huko mbeleni ni mtoto.
Njoo nikusaidie
 
1740223343104.jpg
 
Assalama leko.
Tumsifu yesu kristo.

Wakuu maisha yamekuwa tofauti sana na nilivyokuwa kipindi cha nyuma nimekuwa mnyonge na nisiye na furaha tena kwa historia za wazee (mababu) nimekuwa chambo kwa hilo kila kitu kimebadilika sana

Nyumbani nilipo zaliwa hapakaliki tena nikienda naibua story nahisi nanyoshewa kidole kila nikionekana na ninapopita.

Wazazi walezi walikataa mahari ya ng'ombe na fedha kutoka upande wa baba yangu walipo kuja kutoa ili wanichukua lakini story ghafla ilibadilika sana baada upande wa mama kuwafukuza na fedha pamoja na ng'ombe zao.

Ushauri wadada mjitahidi muolewe ndipo mzae hata kama ni ndoa ya mkeka, pia jitahidi kumsema ukweli aliekupa mimba akatae yeye mwenyewe kuwa mimba sio yangu. Atakae pata tabu huko mbeleni ni mtoto.
Makabila yaliyostaarabika mwenye maamuzi ya mtoto ni baba na mama tuu. Wajomba ,mashangazi baba wakubwa na wadogo wale ni extended family wao wanajulishwa tuu watake ni hivyo hivyo wasitake ni hivyo hivyo. Huwa nawashangaa Sana baadhi ya makabila eti mjomba akidinda hakuna kinachofanyika. Mjomba?? Yeye ni ukoo mwingine kabisa na ana familia yake aje atoe maamuzi kwenye Koo nyingine? Mambo ya ajabu sana
 
Back
Top Bottom