Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Usijali, ipo siku nitakwambia mwaya.nimeona tu mnavyojibizana kwa sentensi zilizojaa huba lenye kujificha ndio mana nikauliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali, ipo siku nitakwambia mwaya.nimeona tu mnavyojibizana kwa sentensi zilizojaa huba lenye kujificha ndio mana nikauliza
nasubiria mkao wakulaUsijali, ipo siku nitakwambia mwaya.
kuna hii nayo kuna sehem waja wa mji huo hata uwasalimie kwa bashasha huku ukijali hamsni zako bado watakutoa nishai unaishije nao bila kuwafubgia vioo zaidi ni salam tu?Namba moja ndio bora zaidi kwangu, ishi maisha yako usijipendekeze kwa mtu, ila usiwafungie milango ya kukusogelea, kuwa mtu flani simple mbele zao vitu vidogo kama salamu usisite kuwapa ili pakitokea tukio wasisite kukushirikisha, haya maisha ukijishusha sana kwa wajinga watakuona bwege, unaweza kuja kuiweka rehani heshima yako.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app