Ni nani alimuua Mchungaji Mtikila?

Ni nani alimuua Mchungaji Mtikila?

Mchungaji Mtikila, mwanasiasa machachari wa Chama cha Upinzani cha DP aliyekuwa akiishi ya maisha yasiyoendana na hadhi yake, alikufa papo hapo kwenye ajali ya gari huku watu wote aliokuwa nao wakipona na kuonekana wakijiuguza majeraha feki ya kuumia kwenye ajali.

Mtikila alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Flat iliyopo karibia na kiwanda cha Bia cha Breweries, maeneo ya shule ya Uhuru Kariakoo.

Japokuwa alikuwa na nyumba mikocheni, lakini alipenda kuishi maisha locally sana,hakupenda kusafiri kwa gari lake,alipenda kupanda Daladala.
Mungu alimpa mke wa kufanana naye, mkewe Georgia alikuwa mama mwanaharakati kama mumewe.

Mtikila aliwahi kufungwa kwa makosa mbalimbali ya kuikosoa Serikali.Lakini hakuwa mwiba sana kwa Serikali ya Tanzania.

Hali ya mambo ilibadilika ghafla,pale Mtikila aliposema kuwa, Serikali ya Rwanda imeingiza Tanzania zaidi ya majasusi 35,000 kwa mission maalumu...

Soma > Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

INAENDELEA
Mtikila alikuwa na maadui wengi ndani na nje ya nchi. Hivyo, kuna uwezekano akauawa na mmoja wao au kwa ushirikiano. Kwanza alikuwa adui mkubwa wahindi akipinga ubaguzi na unyonyaji wao. Nadhani waliomuua Dr Jwani Mwaikusa aliyekuwa akiwatetea watuhumiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda wanaweza kuwa washukiwa namba moja ukiachia mbali akina Kikwete.
 
For sure,

Kuna la Prof Jwani Mwaikusa nae aliyeuwawa kwa kupigwa risasi nyumbani hapa Dar,, hapa napo Paulo anahusika

Sijui niilete part B ya namna Marehemu Mtikila alivyoshughulikiwa,,, kuanzia kukutana na foreigner aliyekuja kwa mission ya dini mpaka umauti ukamfika
tyc mkuu!
Mwaga mwaga mtama kuku wadonoe.
 
For sure,

Kuna la Prof Jwani Mwaikusa nae aliyeuwawa kwa kupigwa risasi nyumbani hapa Dar,, hapa napo Paulo anahusika

Sijui niilete part B ya namna Marehemu Mtikila alivyoshughulikiwa,,, kuanzia kukutana na foreigner aliyekuja kwa mission ya dini mpaka umauti ukamfika
Mwaga nondo mkuu
 
Kifo cha mch Mtikila ni kifo tata kweli kweli

Kinahusianishwa moja kwa moja na mkuu wa Watutsi na sababu kuu ni WARAKA alioutoa Marehemu Mtikila kuhusiana na namna hawa jamaa ( walipewa jina la wahamiaji harámu) walivyojipenyeza na kuanza kushika na kupora rasilimali za wananchi hasa maeneo ya mipakani na wakajipenyeza kwenye baadhi ya vyeo nchini mwetu kinyemela wakiwa na mission yao ya siri

Waraka ule wa Mtikila ulitoka kipindi ambapo utawala wa Jakaya ulikuwa ktk Vita baridi na Paulo, na inasemekana ule waraka uliandaliwa na 'kitengo' kisha Mtikila akatumika kama carrier ili Ujumbe uende kwenye hadhira ( na aliusambaza kwenye media zote) na kisha Serikali ije ireact kwa kuchukua hatua kali dhidi ya 'hao jamaa'.

Na kweli ikawa hvyo WARAKA ulipotoka, Serikali ikareact kwa kuanzisha operation nchi nzima iliyopewa jina la 'kuondoa wahamiaji harámu' lakini ndani yake walengwa wa ile operation walikuwa hao jamaa.
Kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa operation ile ilikuwa chini ya Simon Sirro ( kwa sasa IGP)

Paulo wa Rwanda na timu yake wakawa wamepigwa kweli kweli ktk kila maeneo walipojipenyeza na kugundulika.

Hapo ndipo Mtikila akawa ameingia kwenye 18 za Paulo
 
For sure,

Kuna la Prof Jwani Mwaikusa nae aliyeuwawa kwa kupigwa risasi nyumbani hapa Dar,, hapa napo Paulo anahusika

Sijui niilete part B ya namna Marehemu Mtikila alivyoshughulikiwa,,, kuanzia kukutana na foreigner aliyekuja kwa mission ya dini mpaka umauti ukamfika
Fanya hivyo tuongeze maarifa maana tupo kwenye wakati mgumu januari
 
Mchungaji Mtikila, mwanasiasa machachari wa Chama cha Upinzani cha DP aliyekuwa akiishi ya maisha yasiyoendana na hadhi yake, alikufa papo hapo kwenye ajali ya gari huku watu wote aliokuwa nao wakipona na kuonekana wakijiuguza majeraha feki ya kuumia kwenye ajali.

Mtikila alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Flat iliyopo karibia na kiwanda cha Bia cha Breweries, maeneo ya shule ya Uhuru Kariakoo.

Japokuwa alikuwa na nyumba mikocheni, lakini alipenda kuishi maisha locally sana,hakupenda kusafiri kwa gari lake,alipenda kupanda Daladala.
Mungu alimpa mke wa kufanana naye, mkewe Georgia alikuwa mama mwanaharakati kama mumewe.

Mtikila aliwahi kufungwa kwa makosa mbalimbali ya kuikosoa Serikali.Lakini hakuwa mwiba sana kwa Serikali ya Tanzania.

Hali ya mambo ilibadilika ghafla,pale Mtikila aliposema kuwa, Serikali ya Rwanda imeingiza Tanzania zaidi ya majasusi 35,000 kwa mission maalumu...

Soma > Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

INAENDELEA
Aisee
 
Kifo cha mch Mtikila ni kifo tata kweli kweli

Kinahusianishwa moja kwa moja na mkuu wa Watutsi na sababu kuu ni WARAKA alioutoa Marehemu Mtikila kuhusiana na namna hawa jamaa ( walipewa jina la wahamiaji harámu) walivyojipenyeza na kuanza kushika na kupora rasilimali za wananchi hasa maeneo ya mipakani na wakajipenyeza kwenye baadhi ya vyeo nchini mwetu kinyemela wakiwa na mission yao ya siri

Waraka ule wa Mtikila ulitoka kipindi ambapo utawala wa Jakaya ulikuwa ktk Vita baridi na Paulo, na inasemekana ule waraka uliandaliwa na 'kitengo' kisha Mtikila akatumika kama carrier ili Ujumbe uende kwenye hadhira ( na aliusambaza kwenye media zote) na kisha Serikali ije ireact kwa kuchukua hatua kali dhidi ya 'hao jamaa'.

Na kweli ikawa hvyo WARAKA ulipotoka, Serikali ikareact kwa kuanzisha operation nchi nzima iliyopewa jina la 'kuondoa wahamiaji harámu' lakini ndani yake walengwa wa ile operation walikuwa hao jamaa.
Kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa operation ile ilikuwa chini ya Simon Sirro ( kwa sasa IGP)

Paulo wa Rwanda na timu yake wakawa wamepigwa kweli kweli ktk kila maeneo walipojipenyeza na kugundulika.

Hapo ndipo Mtikila akawa ameingia kwenye 18 za Paulo
Sasa watu wa kitengo hawajui PK ni maji marefu?
Waliamua kumtumia Mtikila kusambaza huo waraka, je hawakufanya tathmini ya hatari yatakayokuwa Mtikila? Kwa nini walishindwa kumpa ulinzi wa kutosha Mtikila?
 
Hahahaha Mtikila alipoandika ule waraka alionekana yuko vzr Sana kichwani Ila aliposema rafiki yake Prof Mwaikusa ameuwawa na serikali ya JK amegeuka kua mropokaji?Naamini maneno ya Mtikila tu.

Kwa beef aliyokua nayo Mtikila kwa Kagame&the co. alikua hana sababu ya kutosema Rwanda imemua Prof. Mwaikusa tena hio angeisema asubuhi na mapema.

Tuendelee na conspiracy theories.
Wamesema waraka ule uliandaliwa na kitengo...hakuandaa Mtikila
 
Mchungaji Mtikila, mwanasiasa machachari wa Chama cha Upinzani cha DP aliyekuwa akiishi ya maisha yasiyoendana na hadhi yake, alikufa papo hapo kwenye ajali ya gari huku watu wote aliokuwa nao wakipona na kuonekana wakijiuguza majeraha feki ya kuumia kwenye ajali.

Mtikila alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Flat iliyopo karibia na kiwanda cha Bia cha Breweries, maeneo ya shule ya Uhuru Kariakoo.

Japokuwa alikuwa na nyumba mikocheni, lakini alipenda kuishi maisha locally sana,hakupenda kusafiri kwa gari lake,alipenda kupanda Daladala.
Mungu alimpa mke wa kufanana naye, mkewe Georgia alikuwa mama mwanaharakati kama mumewe.

Mtikila aliwahi kufungwa kwa makosa mbalimbali ya kuikosoa Serikali.Lakini hakuwa mwiba sana kwa Serikali ya Tanzania.

Hali ya mambo ilibadilika ghafla,pale Mtikila aliposema kuwa, Serikali ya Rwanda imeingiza Tanzania zaidi ya majasusi 35,000 kwa mission maalumu...

Soma > Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

INAENDELEA
Walio muua mtikila ni RAIA FEKI WALIOPO MADARAKANI SASA.KWA SABABU ALIKUWA KIKWAZO KWA AJENDA YAO YA KULIGEUZA TAIFA LETU KUWA KOLONI LAO NA KUIFANYA SERIKALI YA TZ KUWA KAMPUNI YAO BINAFSI NA CCM KUWA SAKOSI YAO NDIYO MNAONA KWA SASA HATA CCM YENYEWE IMEPIGWA PIN NA HAO RAIA FEKI AIFURUKUTI WANAPELEKESHWA KINYUME NA MATAKWA YAO
 
Vifo vya hawa watu vimeniuma sana.

1. Mauaji ya kimbari
2. Rais wa Rwanda Juvenail Habyarimana akiwa na rafiki yake ambae pia alikua ni Rais wa Burundi Cyprien Ntaryamira.

4. Thomas Sankara.
5. Raulent Kabila.
6. Fredy Rweigima.
7. Juani Mwaikusa.
8. Rev Christopher Mtikila. (Tiss)

Hawa wote wameuwawa na Dikteta mbu.
Yupo hapa Jf
 
Back
Top Bottom