Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Tunapokuwa na Taifa ambalo viongozi na watu wenye uwezo wanapewa kipaombele kwenye kila kitu tunakuza gap la usawa baina ya wananchi. Tumeleta dozi milioni moja kwa ajili ya watawala na wanasiasa wengi wakiwa ni wale waliopo madarakani na wastaafu kwa kisingizio kwamba wapo kwenye risk.
Naomba kuuliza, mfanyabiashara, kondakta wa daladala, wanafunzi wa vyuo nk ukilinganisha na hao waliopewa kipaombele ni yupi yupo kwenye risk? Huu ubaguzi ndio unaopelekea Mwenyenzi Mungu anashughulika na daraja la kwanza kulipunguza ili maskani waishi kwa amani kwenye nchi yao.
Kumbukeni ninyininyi ndio mliwaamisha maskini na wananchi wa kawaida kwamba corona hakuna, wao wakasafival ninyi mkaondoka kwa kasi, mmeona mnaondoka mmekuja na propaganda kwa ninyi mpo kwenye risk unajiuli Mbunge ana risk gani? Mawaziri wanaoweza kuongoza mkutano kwa video conference Wana risk gani?
Mkimaliza kuchanjwa mnakwenda kukusanya wananchi bila hata kuwaambia wachukue taadhari na hakuja anayeoona kuwa wao ni binadamu kama ninyi. Hakuna binadamu wa daraja la kwanza kwenye Dunia hii mbele ya Muumba.
Naomba kuuliza, mfanyabiashara, kondakta wa daladala, wanafunzi wa vyuo nk ukilinganisha na hao waliopewa kipaombele ni yupi yupo kwenye risk? Huu ubaguzi ndio unaopelekea Mwenyenzi Mungu anashughulika na daraja la kwanza kulipunguza ili maskani waishi kwa amani kwenye nchi yao.
Kumbukeni ninyininyi ndio mliwaamisha maskini na wananchi wa kawaida kwamba corona hakuna, wao wakasafival ninyi mkaondoka kwa kasi, mmeona mnaondoka mmekuja na propaganda kwa ninyi mpo kwenye risk unajiuli Mbunge ana risk gani? Mawaziri wanaoweza kuongoza mkutano kwa video conference Wana risk gani?
Mkimaliza kuchanjwa mnakwenda kukusanya wananchi bila hata kuwaambia wachukue taadhari na hakuja anayeoona kuwa wao ni binadamu kama ninyi. Hakuna binadamu wa daraja la kwanza kwenye Dunia hii mbele ya Muumba.