Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Status
Not open for further replies.
Sikio la kufa halisikii dawa.Tabia ya kusema bila kutafakari-wengine wanaita kupayuka, ndiyo sifa ya huyu mgombea.Ni dalili mbaya atakaposhika nchi.
Mambo ya kurushiana meza na viti katika utawala wake itakuwa ni jambo la kawaida.Mashabiki wake najuwa mumeanza kukata tamaa naye.Itakuwa ndio utawala wa mwanzo kufanya hivyo hapa kwetu ndani ya baraza la mawaziri.
Afadhali umekili hilo! ni bora kama wanarushiana viti na maendeleo yanaonekana, kuliko kukubali kila kituuu kama zuzuuuuu huku unajua mambo hayaendi sawa!
 
Sikio la kufa halisikii dawa.Tabia ya kusema bila kutafakari-wengine wanaita kupayuka, ndiyo sifa ya huyu mgombea.Ni dalili mbaya atakaposhika nchi.
Mambo ya kurushiana meza na viti katika utawala wake itakuwa ni jambo la kawaida.Mashabiki wake najuwa mumeanza kukata tamaa naye.Itakuwa ndio utawala wa mwanzo kufanya hivyo hapa kwetu ndani ya baraza la mawaziri.
siku zote ukweli unauma acha aseme apate asipate ukweli tunaujua.
 
Sio rahisi sana kwa Dr. Slaa kuongea udini na labda jana tu kwa minajili ya kuharibu plan.

Ndugu yangu JK (muislam mwenzangu) kuna kila ushahidi kuwa umelianzisha hili suala mwenyewe na kwa mwananchi wa kawaida halipo kabisa........ Mwenzio alikopita hakuwahi hata kuzungumzia hilo maana sio tishio kihivyo...... haya ndo madhara ya kuzungumza pasipo kutumia busara na hekima. Huna washauri wenye uchungu na nchi zaidi ya matumbo yao..... Hakika kama Slaa angejitokeza mapema wala usingekuwa hapo leo kwani wangependekeza tofauti.

Umelianza mwenyewe na ulimalize, pona yako umkamate Slaa na ushahidi wa pasipo na shaka kuwa anaeneze siasa za udini otherwise itazidi kula kwako tu.

Haya ndo madhara ya kuwa money is everything..... walau watz sasa wanafikiria for the next generation.
 
Sio rahisi sana kwa Dr. Slaa kuongea udini na labda jana tu kwa minajili ya kuharibu plan.

Ndugu yangu JK (muislam mwenzangu) kuna kila ushahidi kuwa umelianzisha hili suala mwenyewe na kwa mwananchi wa kawaida halipo kabisa........ Mwenzio alikopita hakuwahi hata kuzungumzia hilo maana sio tishio kihivyo...... haya ndo madhara ya kuzungumza pasipo kutumia busara na hekima. Huna washauri wenye uchungu na nchi zaidi ya matumbo yao..... Hakika kama Slaa angejitokeza mapema wala usingekuwa hapo leo kwani wangependekeza tofauti.

Umelianza mwenyewe na ulimalize, pona yako umkamate Slaa na ushahidi wa pasipo na shaka kuwa anaeneze siasa za udini otherwise itazidi kula kwako tu.

Haya ndo madhara ya kuwa money is everything..... walau watz sasa wanafikiria for the next generation.
Mkuu umeongea
 
Dr Slaa ndiye kiongozi tunayemtaka baada ya miaka mitano ya dhahama. Kama ambavyo Ben alitufaa baada ya Mwinyi.
 
ndio kikwete ni mdni sana tena sana jamani
 
hii!. Dkt.Slaa anasihiwe awachane na hii mada katika dakika za mwisho za Kampeni.Atakuwa anajimaliza mwenyewe.Hawezi kubadili kitu.Zaidi ni kuwa anatoa picha mbaya pindi akichaguliwa uraisi.Ni mtu wa visasi na asiyeweza kunyamazia baadhi ya mambo hata yakiwa ni kweli.
Hata mtu awe ni fisadi si heshima kumpigia kelele kwenye jukwaa.Maraisi wote waliopita waislamu na wakristo hawakuwa na pupa kama hizi.
Hapo kwenye red, ndio maana sisi bado masikini, na ni dhahiri kuwa bado UJINGA haujakutoka....!
 
[Kidogo kidogo Padri Slaa anaanza kuonyesha sura yake halisi. originally posted by Nungunungu ]
Kama alivyoongesha shehe Jk!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Katika mikutano yake jana, Dr. Slaa ameweka bayana ya kuwa Raisi anayemaliza kipindi chake JK ndiye mdini na chanzo cha mpasuko wa udini hapa nchini.

Gazeti La Majira la leo limemnukuu Dr. Slaa akitoa takwimu za kuthibitisha hoja hii pale alipowasihi wapigakura wakague timu ya kampeni ya Jk na watagundua kuwa ni ya dini yake tu ndiyo imo humo. Vile vile Dr. Slaa alihoji teuzi mbalimbali za Jk ndani ya CCM na serikalini kuwa zina harufu kali ya kuipendelea dini yake.

Dr. Slaa aliwataharisha wapigakura kuwa JK na CCM yake wameandaa mkakati mchafu wa kumchafua kwa kumhusisha na vurugu za kidini na tuhuma nyingine katika hii wiki ya mwisho ya kampeni na kuwataka wapigakura kukaa chonjo...............

SOURCE: MAJIRA YA LEO.

Kama hayo yaliyo andikwa hapo juu ni kweli, basi Slaa naye hutufai kabisaa.. Kama ametoa takwimu kwa misingi ya dini basi atakua ni chui aliyejificha ndani ya ngozi ya kodoo. Atakua amethibitisha yale madai ya baadhi ya wana CCM kuwa ni mdini na ametumia makanisa katika kampeni zake.

Awe Kikwete au Slaa au mtu mwingine yeyote, atayejaribu kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini (HATUFAI)

Hapa JF wako watu wengi wanaofagilia mambo ya Udini na kushabikia viongozi wadini wanapoingilia mambo ya siasa...Hayo sio mambo ya mzaa kwani mwisho wake ni mbaya kupindukia
Eeh mwenyezi mungu tuepushe na viongozi wanaotaka kutuvuruga kwa misingi ya dini, kabila na rangi.
 
Mwambieni aliyoyasema yamefika maana bado kulikuwa na watu bado hawaelewi kuwa huyu former priest amegombea kwa shinikizo la viongozi wa kanisa. Shame on you Chadema na Padri wenu.
Mahakama ya kadhi na OIC
 
Udini upo sana tu. Biblia na Quran zipo pale Ikulu huku tunaongopeana kwamba Nchi/Serikali yetu haina DINI.
 
Nani asiyejua kuwa JK anaiongoza nchi hii kwa mwelekeo wa DINI yake ya KIISLAMU???? CCM acheni kutufanya Watanzanai kama vile tuko kwenye KARNE YA GIZA na kuwa hatujui lolote linaendelea kwenye Serikali ya JK. CHECK HII LIST HAPA CHINI UPATE PICHA KAMILI:

  1. Rais- JK muislamu
  2. Makamu wa Rais-Dk Shein-muisilamu.
  3. IGP-Said Mwema-Muislamu.
  4. Meneja Kampeni-A.Kinana Muislamu.
  5. Naibu Waziri M/Ndani-Kagasheki-Muislamu.
  6. Wizara ya Ulinzi - Hussein Ally Mwinyi-Muisalmu
  7. Wizara Ya Afrika Mashariki) -Naibu Mohamed Abdul-Muislamu
  8. Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa- Naibu Seif Ally Idi-Muislamu
  9. Maliasili na utalii - Shamsa Mwangunga-Muislamu
  10. Kazi Ajira na maendeleo ya Vijana - Prof Juma Kapuya-Muislamu
  11. Miundo mbinu - Shukru Kawambwa-Muislamu
  12. Elimu na mafunzo ya ufundi - Prof Jumanne Maghembe,Naibu Mwantum Mahiza(wote 2 Waislamu).
  13. Afya na ustawi wa jamii - Naibu Asha Kigoda-Muislamu
  14. Wizara ya mipango na Fedha - Mustafa Mkulo, Naibu Omari Yusuph Mzee( wote 2 Waislamu).
  15. Menejimenti utumishi wa umma) - Hawa Ghasia-Muislamu.
  16. Ofisi ya Rais muungano - Seif Mohamed Khatib-Muislamu.
  17. Mazingira- Batilda Burian-Muisalmu
  18. Katibu Mkuu CCM-Yusuf Makamba-Muislamu.
  19. Mnadhimu Mkuu wa JWTZ-Shimbo-Muislamu.
About 3 quarters ya Baraza la Mawaziri la JK ni WAISLAMU. Sasa CCM wanapoanza kupiga makelele ya UDINI hivi nani mwenye sera za UDINI hapa??? ILANI yenyewe ya CCM ya mwaka 2005 ilikuwa inazungumzia kuiingiza Tanzania kwenye OIC(Organization of Islamic Countries). Mnafikiri CCM tumelala usingizi????We know you better than thyself. SHAME ON YOU BUTCHERS!!!!!!!

CCM ndiyo mnaotaka kuipeleke nchi hii kwenye UDINI,UKABILA NA UBAGUZI WA RANGI(Kumbukeni mlichowafanyia makada wenu wenyewe kina SALIM AHMED SALIM-Mwarabu,BASHE-Msomali n.k na n.k)
 
Eh! Hivi Slaa kumbe naye anayaangalia mambo kwa darubini ya Kidini, kama ni hivyo basi nitabadili uamuzi wangu maana nilikuwa nimemkubali sana.
 
Katika mikutano yake jana, Dr. Slaa ameweka bayana ya kuwa Raisi anayemaliza kipindi chake JK ndiye mdini na chanzo cha mpasuko wa udini hapa nchini.

Gazeti La Majira la leo limemnukuu Dr. Slaa akitoa takwimu za kuthibitisha hoja hii pale alipowasihi wapigakura wakague timu ya kampeni ya Jk na watagundua kuwa ni ya dini yake tu ndiyo imo humo. Vile vile Dr. Slaa alihoji teuzi mbalimbali za Jk ndani ya CCM na serikalini kuwa zina harufu kali ya kuipendelea dini yake.

Dr. Slaa aliwataharisha wapigakura kuwa JK na CCM yake wameandaa mkakati mchafu wa kumchafua kwa kumhusisha na vurugu za kidini na tuhuma nyingine katika hii wiki ya mwisho ya kampeni na kuwataka wapigakura kukaa chonjo...............

SOURCE: MAJIRA YA LEO.

My GOD....ni kweli ameyasehema haya.........

Na Rutashubanyuma unatia mashaka kama kweli una nia nzuri na Dr Slaa ama Tanzania yetu kwa kuleta suala hili katika jamvi hili. Nimekuwa nikifuatilia sana kazi yako ya masaa 24 hapa JF. Nina wasiwasi una ajenda ya kuivuruga Tanzania na ninaanza kujiuliza kama kweli wewe ni Mtanzania ama unayafanya haya kwa maslahi yapi na ya nani.............


Hivi unadhani sisi wengine hatuyajui ama hatuyaoni mengine mabaya zaidi ya haya lakini tunatumia busara ya kunyamaza kwa faida ya Tanzania yetu?
 
Wenzangu wana JF huu si wakati wakuendeleza mjadala wa nani mdini au sio kati yawagombea wetu, niwakati muafaka wakutafakari sera ambazo zitatutoa ktk umasikini unautakabili sisi watanzania.Kama wagombea wetu wameanza kujadili hilo basi niwakati wakuwaambia kuwa hilo si hitaji la watanzania kwani nguvu wanazotumia kulumbana wangetumia kutuelimisha dhidi ya Tanzania ya kesho.Pumba na mchele tunazijua watanzania wa leo, kiongozi wa kweli tunamfahamu.Nashauri Dr aliekaa darasani akatunukiwa ajalibu kuwa mwangalifu kama alivyosema ITV siku ile kuwa anaijua Saikology sasa asiingie mtegoni.
ALUTA CONTINUA
 
Kama hayo yaliyo andikwa hapo juu ni kweli, basi Slaa naye hutufai kabisaa.. Kama ametoa takwimu kwa misingi ya dini basi atakua ni chui aliyejificha ndani ya ngozi ya kodoo. Atakua amethibitisha yale madai ya baadhi ya wana CCM kuwa ni mdini na ametumia makanisa katika kampeni zake.

Awe Kikwete au Slaa au mtu mwingine yeyote, atayejaribu kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini (HATUFAI)

Hapa JF wako watu wengi wanaofagilia mambo ya Udini na kushabikia viongozi wadini wanapoingilia mambo ya siasa...Hayo sio mambo ya mzaa kwani mwisho wake ni mbaya kupindukia
Eeh mwenyezi mungu tuepushe na viongozi wanaotaka kutuvuruga kwa misingi ya dini, kabila na rangi.

Kura kwa Dr. Slaa tu, he is THE true leader for this country.
 
Chagua Dr. Slaa. Rais wa watanzania wote (waislamu, wakristo na wapagani). Rais atakaefyeka mafisadi wote papa na nyangumi na kusomesha watoto wetu bure!!!
 
Dah! aisee!, nimemuunga mkono Slaa kwa nguvu zangu nyingi sana halafu kumbe yeye Rohoni mwake anaumia sana Waislamu wakipewa Posti mbalimbali serikalini, dah kweli jambo usilolijua ni kama Usiku wa Giza. Anyway kama anataka kwenda ikulu akawe Raisi wa Wakiristo peke yake, sawa ngoja tuone umma wa Watanzania watalipokeaje suala hili. Waislamu wamelalamika sana kuhusiana na Utawala wa Nyerere kwamba ulikuwa unawabagua katika kazi na elimu, wakajibiwa kwamba "Hamkusoma Mtapewaje kazi?", leo wamesoma na wana qualification wakipewa kazi "Raisi aliyewapa kazi anaitwa mdini". jamani mbona kuna hali ya choyo hivi, tutafika kweli?
 
Sikio la kufa halisikii dawa.Tabia ya kusema bila kutafakari-wengine wanaita kupayuka, ndiyo sifa ya huyu mgombea.Ni dalili mbaya atakaposhika nchi.
Mambo ya kurushiana meza na viti katika utawala wake itakuwa ni jambo la kawaida.Mashabiki wake najuwa mumeanza kukata tamaa naye.Itakuwa ndio utawala wa mwanzo kufanya hivyo hapa kwetu ndani ya baraza la mawaziri.
Hata kenya wanazipiga bungeni, lakini anagalia walipo kiuchumi. tatizo lako umezoea AS WE ALWAYS DO. sisi tunasema tunatakiwa kuangalia Mfumo na sio projects......projects haziwezi kumuondoa mtanzania kwenye umasikini. TAFAKARI! usiwe kama ZUZU
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom