The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
lkn mimi sio askofu ninae toa kauli na wala sio sheikh ninaetoa kauli. hapa wanaotoa kauli ni Mh Pengo, laizer ambao wote wakati mh mkapa walikuwa kimya.
Pia mimi sio Akina Ponda na Bakwata ambao sasa wapo kimya na wakti wa mkapa walikuwa mbele kuongoza maandamano. sasa udini wangu nini kusema ukweli ambao upo?
Nna uhakika wewe una agenda tena ya siri.
Leo hukubali kuwa Chadema walivutana kwa udini katika maziko huko Arusha?
Soma hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/102594-chadema-katika-kashfa-ya-maiti.html
kwani wakati wa mkapa alikuwa kimya? sawa na masheikh sasa kuwa kimya?
nawapongeza sana maaskofu kutoa kauli kwani itasaidia sana kuwafanya ccm kuacha kuuwa watu wasiona hatia. hoja hapa kwanini walikuwa kimya wakati wa mkapa? sawa na waislam sasa kuona ni sawa watu wasio na hatia kuuliwa na wao kukaa kimya. jee tanznaia ianelekea wapi?Mimi nimekuuliza swali ulitaka wakae kimya???
Ishu sio mwili ulizikwaje au ulizikwa na nani,afterall gazeti lililoandika hiyo habari linajulikana ni la Chama gani kwahiyo siwezi kushangaa sana kuona habari hiyo
nawapongeza sana maaskofu kutoa kauli kwani itasaidia sana kuwafanya ccm kuacha kuuwa watu wasiona hatia. hoja hapa kwanini walikuwa kimya wakati wa mkapa? sawa na waislam sasa kuona ni sawa watu wasio na hatia kuuliwa na wao kukaa kimya. jee tanznaia ianelekea wapi?
kwani wakati wa mkapa alikuwa kimya? sawa na masheikh sasa kuwa kimya?
usilihukumu gazeti. jee linapoandika tanzania daima kwa kuwa ni la Chadema, ccm wakatea hoja japo zitakuwa na ukweli?
Naona point yako, unaanglia pande zote mbili bila upendeleo. Tatizo wengi hapa JF, hawawezi kufanya hivyo kwa sababu wao ndio wadini
nawapongeza sana maaskofu kutoa kauli, na kama kuna zawadi nawapa. lkn hoja yangu ya msingi hapa ambayo unaikimbia kwa makusudi kwa kuwa tu wewe ni mkiristo kwanini wakati wa mkapa mambo kama haya wakiyapongeza? sawa na waislam wakati wa mkapa walikuwa mbogo lkn kwa upande wa Jk wamekuwa watulivu wakubwa. jee dini zetu ndio zinavyotaka kumuanglia nani katawala nao ndio wafuate. jee dini zetu zinafata wanasiasa badala ya wanasiasa kufuat dini? jee ninapokwita wewe mdini kwa kuwa umefurahia mauji ya Pemba kwa kuwa yalitokea wakti wa mkapa na sasa kupiga kelele kwa kuwa yametokea wakati wa Jk? sawa na yule anakaa kimya mauji ya ARUSHA KWA Kuwa yametokea wakati wa Jk lkn alikuwa mkali mauji ya Pemba kwa kuwa alikuwa mh mkapa?Niliishasema kuwa wewe ndio mdini, kwani uanze ku-question tamko la maaskofu kulaani mauaji kwa mtazamo wako ulikuwa unaona ni bora wakae kimya kwasababu inaonekana kama vile moyoni inakuuma sana maaskofu kulaani mauaji ili hali ulitaka wakae kimya tu na ndio maana nikasema wewe ni mdini
I guess na wewe ukiwa mmoja wao, hivi nyie inaonekana statement za viongozi wa dini zinawauma sana.
Muhogo unayosema ni kweli, lakini ndiyo yatufanye tuache kuongelea kupanda kwa gharama za umeme, kulipa Dowans Tshs.94Bil, kupanda kwa gesi, ufisadi na uchafu mwingine unaofanywa na mafisadi?????? Agenda hiyo is not our priority, let us talk and discuss issues that have negative impacts to our social and economic life
I guess na wewe ukiwa mmoja wao, hivi nyie inaonekana statement za viongozi wa dini zinawauma sana.
You guessed wrong! I won't support any irresponsible statement.
nawapongeza sana maaskofu kutoa kauli, na kama kuna zawadi nawapa. lkn hoja yangu ya msingi hapa ambayo unaikimbia kwa makusudi kwa kuwa tu wewe ni mkiristo kwanini wakati wa mkapa mambo kama haya wakiyapongeza? sawa na waislam wakati wa mkapa walikuwa mbogo lkn kwa upande wa Jk wamekuwa watulivu wakubwa. jee dini zetu ndio zinavyotaka kumuanglia nani katawala nao ndio wafuate. jee dini zetu zinafata wanasiasa badala ya wanasiasa kufuat dini? jee ninapokwita wewe mdini kwa kuwa umefurahia mauji ya Pemba kwa kuwa yalitokea wakti wa mkapa na sasa kupiga kelele kwa kuwa yametokea wakati wa Jk? sawa na yule anakaa kimya mauji ya ARUSHA KWA Kuwa yametokea wakati wa Jk lkn alikuwa mkali mauji ya Pemba kwa kuwa alikuwa mh mkapa?
You guessed wrong! I won't support any irresponsible statement.
Naona nia yako ni kueneza udini na kutaka kunipeleka kwenye udini ambapo mimi simo sasa kama unaona udini wako wa kuanza kungalia sijui wakati wa Mkapa ilikuwa hivi na sasa iko hivi motive yako nimeishaona ni nini na kwa hilo hauwezi kunipata i will just ignore you