Chief Rumanyika
Senior Member
- Dec 29, 2010
- 138
- 0
Mashujaa wa mabadiliko ya kweli Arusha Marehemu Denis Shirima na Ismail Omary wametuunganisha katika azima yao ya kufia mabadiliko nchini pasipo kuonyesha hizo tofauti za kidini ambazo CCM huendekeza kutugawa nayo ili waendelee kutafuna nchi hadi mifupa.
Isitoshe, CCM ilipokua inawaua Watanzania pale Pemba, Unguja, Arusha, Shinyanga na sasa Mbarali, kwa kudai kwao HAKI KUTENDEKA, chama hiki hakikuwauliza dini zao kabla ya kuachia mmiminiko wa risasi kama mvua miilini mwao.
Hakuna wa kutugawa tena wala wa kuturudisha nyuma kudai mabadiliko.
Watanzania Vita mbeeellllee!!
Isitoshe, CCM ilipokua inawaua Watanzania pale Pemba, Unguja, Arusha, Shinyanga na sasa Mbarali, kwa kudai kwao HAKI KUTENDEKA, chama hiki hakikuwauliza dini zao kabla ya kuachia mmiminiko wa risasi kama mvua miilini mwao.
Hakuna wa kutugawa tena wala wa kuturudisha nyuma kudai mabadiliko.
Watanzania Vita mbeeellllee!!

