Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Status
Not open for further replies.
Jethro,

Nimeheshimu na kuelewa vema maeelzo yako! lakini sijaona wapi umeainisha, kama ni kweli tatizo la watanzania leo likubalike na kushughulikiwa kama ni Dini na ukabila?

Kutokuwa na Uongozi madhubuti usio zingatia Mustakabali wa nchi na KATIBA na sheria zake zilizo wekwa kwa hawa viongozi wetu waliopo madarakani ndiko kuna changia watanzania wengi kukimbilia kwenye hali hizi za Udini au ukabila na endapo tuta endelea kulemaaa na kukubaliana kuwa Udini na ukabila uwe tatizo kwetu utakuwa ni upuuzi wa hali ya juuu sana.

Kwa hiyo mii nasema kuwa ni wananchi wanatapatapa sasa kutafuta wapi liwe kimbilio lao la kuwaongoza au kuwa kwamua toka kwenye umaskini obvious udini na ukabila ndio litakuwa la kwanza na hizi ndio moja kati nyufa zetu katika nchi hii na bado upo lakini ni kuupiga vita lazima tufanye juudi ya kulazimisha vichwa vyetu kuepuka hili swala la udini/ukabila maana huko chini chini lipo na sasa lajichomoza kwa kasi.

Hii zambi ya Udini/ukabila ni mbaya sana naomba mungu atusurubu kama kuna watu wanaitaka ishamili ndani ya nchi yetu ndipo tutijua maana yake nini? maaana nchi nzima tumisha kuwa mchanga nyiko sasa mie nimeo Muislam ingali ni mkristo, mwingine kao vile sasa mkija angali undugu tayali umeisha shamili then ni taifa moja au familia moja.

 
Moja ya maandiko ya ulimwengu alisema "huwezi kuilinda amani kwa kuilinda amani akimaanisha amani haiji kwa kutumia nguvu bali ni kama zao linalopatikana baada ya mambo mengine kuwa sawa! Mfano amani haiwezi kuletwa kwa kuzuia uhuru wa kujieleza,bali kwa kuruhusu uhuru wa kujieleza na kutimiza matakwa ya wananchi, usawa, na huduma za kijamii
vile vile kamwe huwezi kuzuia ukabila na udini kwa kueneza ukabila na udini, imagine sisiem wanakemea ukabila kwa kuzungumza lugha ya ukabila! Mfano hujaribu kuvigawa vyama shindani kwa kuviita kuwa vina ukabila au udini ikiamini kwa kufanya hivyo itawatisha watu kujiunga na vyama shindani. Hali huwa tofauti na mategemeo yao!
Mfano ulio hai ni wa mgombea wa chadema aliyedaiwa ni padre na katumwa na wakatoliki! Kweli dr slaa ni mkatoliki na kawahi kuwa padri lakini hivi vyote havimuondolei sifa kuwa mgombea urais
unaposhupalia kuwa slaa ni padri mkatoliki na hafai kuwa rais kwa kigezo hicho unaamsha hisia za udini ambazo yawezekana wakatoliki walikuwa hawana, ya kuwa kumbe sifa zote za kuwa rais dr slaa anazo ila tatizo ni upadre na ukatoliki, wakatoliki wataanza kujiuliza kwani wakatoliki wamewakosea nini watanzania! Kwa nini mgombea mkatoliki anakataliwa kwa ukatoliki hao wengine hawana dini! Mwisho wa watu wanajenga dhana kuwa ndani ya nchi yao kuna ubaguzi, ingawa kipindi sisiem wanasema kuwa katumwa wanaweza kutojua nini yatakuwa madhara yake!
Vivyo hivyo kwenye ukabila na ukanda mtawashutumu watu kwa ukanda na ukabila kwa mda mfupi mtashinda ila kwenye longrun mnahamasisha hisia kuwa kuwa kumbe rais hawezi toka kanda fulani au kabila fulani! Watu tayari wanakuwa na mawazo kuwa wao wametengwa ndani ya ardhi yao wenyewe!
Nakumbuka moja ya hotuba ya nyerere alitolea mfano mtu ana sifa zote za kuwa rais watu wanahoji rais awe Mkalla(sijui kabila la wapi) jamani tungozwe na mkalla kweli sifa anazo tatizo ni mkalla"
ukabila na udini kamwe hauwezi kutatuliwa kwa kuzungumzia udini au ukabila bali kwa kuondoa aina zote za viashiria vya udini na ukabila!
 
Moja ya maandiko ya ulimwengu alisema "huwezi kuilinda amani kwa kuilinda amani akimaanisha amani haiji kwa kutumia nguvu bali ni kama zao linalopatikana baada ya mambo mengine kuwa sawa! Mfano amani haiwezi kuletwa kwa kuzuia uhuru wa kujieleza,bali kwa kuruhusu uhuru wa kujieleza na kutimiza matakwa ya wananchi, usawa, na huduma za kijamii
vile vile kamwe huwezi kuzuia ukabila na udini kwa kueneza ukabila na udini, imagine sisiem wanakemea ukabila kwa kuzungumza lugha ya ukabila! Mfano hujaribu kuvigawa vyama shindani kwa kuviita kuwa vina ukabila au udini ikiamini kwa kufanya hivyo itawatisha watu kujiunga na vyama shindani. Hali huwa tofauti na mategemeo yao!
Mfano ulio hai ni wa mgombea wa chadema aliyedaiwa ni padre na katumwa na wakatoliki! Kweli dr slaa ni mkatoliki na kawahi kuwa padri lakini hivi vyote havimuondolei sifa kuwa mgombea urais
unaposhupalia kuwa slaa ni padri mkatoliki na hafai kuwa rais kwa kigezo hicho unaamsha hisia za udini ambazo yawezekana wakatoliki walikuwa hawana, ya kuwa kumbe sifa zote za kuwa rais dr slaa anazo ila tatizo ni upadre na ukatoliki, wakatoliki wataanza kujiuliza kwani wakatoliki wamewakosea nini watanzania! Kwa nini mgombea mkatoliki anakataliwa kwa ukatoliki hao wengine hawana dini! Mwisho wa watu wanajenga dhana kuwa ndani ya nchi yao kuna ubaguzi, ingawa kipindi sisiem wanasema kuwa katumwa wanaweza kutojua nini yatakuwa madhara yake!
Vivyo hivyo kwenye ukabila na ukanda mtawashutumu watu kwa ukanda na ukabila kwa mda mfupi mtashinda ila kwenye longrun mnahamasisha hisia kuwa kuwa kumbe rais hawezi toka kanda fulani au kabila fulani! Watu tayari wanakuwa na mawazo kuwa wao wametengwa ndani ya ardhi yao wenyewe!
Nakumbuka moja ya hotuba ya nyerere alitolea mfano mtu ana sifa zote za kuwa rais watu wanahoji rais awe Mkalla(sijui kabila la wapi) jamani tungozwe na mkalla kweli sifa anazo tatizo ni mkalla"
ukabila na udini kamwe hauwezi kutatuliwa kwa kuzungumzia udini au ukabila bali kwa kuondoa aina zote za viashiria vya udini na ukabila!

Mkulima wewe!

Baada ya yote hayo... Unafikiri Kungekuwa na DHAMIRA YA DHATI YA KUUNGAMIZA UFISADI ...migawanyiko hii, kikanda, kidini, kikabila nk.. isingetokea au ingetokea...ndio ilikuwa hoja ya msingi hapa!
 
Kutumia udini ili ushinde uchaguzi ni kufirizika kisiasa , kuchonganisha wananchi kutumia udini ni kosa la jinai.Madhara yake ni makubwa kuliko uchaguzi wenyewe.
 
Kutumia udini ili ushinde uchaguzi ni kufirizika kisiasa , kuchonganisha wananchi kutumia udini ni kosa la jinai.Madhara yake ni makubwa kuliko uchaguzi wenyewe.
Wanaohubiri udini kwenye mikutano ya kampeni ni kama hawaelewi hatari iliyopo.
 
TCRA MKO WAPI? Radio kama hizi zifutwe?

Update: Wanasema chagueni Rais muislamu, kafir yuko mmoja maarufu mwacheni.

Wanasema hakikisheni Lipumba anakua mshindi wa pili ili awe akiba ya 2015
 
Chagueni muislamu katika nini? Sheikh au Ustaadh achaguliwe ktk nini?
 
Watu wanapiga simu kuomba kipindi kirudiwe jumamosi ili maongezi yao yabadili matokeo!! Hawa watu wana kazi sana.
 
waache waendeleze ujinga wao wabaki kuwa masikini,
wanajifanya wanaishi nje ya tz?hawayaoni haya maisha yaliyovyo tokana na utawala mbovu wa kikwete?
na hapo ni miaka mitano tu,je,akipata mingine mitano?
 
TCRA MKO WAPI? Radio kama hizi zifutwe?

Update: Wanasema chagueni Rais muislamu, kafir yuko mmoja maarufu mwacheni.

Wanasema hakikisheni Lipumba anakua mshindi wa pili ili awe akiba ya 2015
Hii hatari sana, na hii si mara ya kwanza kwa redio hii kufanya hivi
 
Wanasema angalieni maslahi ya waislamu acheni ushabiki wa vyama!
 
wametumwa na jk,je ataweza kuwakemea hao?yote hayo ni matokeo ya mdahalo wa jana usiku,na bado kikwete kwa unafiki wake anasema tuwaogope watu wanahubiri udini,hao ndg zake aliowatuma je?usalama wa taifa wapo wapi?
 
Nimeshaona hawa jamaa udini hawawezi acha hata cku moja ni part ya dini yao! Bahati nzuri wako wachache hapa nchini so nchi yetu haiwezi kuwa kama somalia, sudan, nigeria, pakistan, etc. Mungu atuokoe kutoka kwenye chuki za hawa jamaa
 
Yani hata nyerere kwao ni kaffir, hawamkubali kabisa, kwa jazba yao wakiruhusiwa wanaweza hata kwenda butiama kumlaani!!
 
Wanasema waislamu baada ya kupiga kura wakae mita 100 kutoka kituoni kulinda kura zao.

Eti wahakikishe Lipumba hawi wa tatu, kufanya hivyo itakua ni kudhalilisha uislam
 
Angekua kakobe hapo jk angepiga kelele mpaka angetembea uchi, nadhan shelia wanavunja wa kristo tu. Nahic OIC Ishaanza kufanya kazi! kwel kaz ipo na hawa magaidi !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom