Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukisemaje Dr. Slaa Raisi wetuHuyu ndiye Padre Slaa na hii ndio CHADEMA bwana..juzi SUGU aliponyokwa kule Mbeya na jana Slaa ameweka wazi jinsi anavyoumia Waislamu wakichaguliwa kwenye nafasi za uongozi.
Waislamu mlio CHADEMA kazi kwenu. Muulizeni Arfi mara ya kwanza alipoonana na Slaa pale Ofisini Kinondoni..na Kibaraghashia chake chini amevaa kubadhi zake jinsi the Body language ya Slaa nusra aghairi. Hii hata Slaa mwenyewe hawezi kubisha.
Wewe Mkandara wote ninyi wapinzani wa Dr. Slaa leo hii unajifanya ulikuwa unampenda!! Kweli watanzania kinachotumaliza ni unafikiLeo hii kwa mara ya kwanza nasema hivi...
Kama kweli Dr.Slaa amefikia kusema haya basi tumekwisha... Yaani hata sijui tena nani mbora baina yao!
Nani asiyejua kuwa JK anaiongoza nchi hii kwa mwelekeo wa DINI yake ya KIISLAMU???? CCM acheni kutufanya Watanzanai kama vile tuko kwenye KARNE YA GIZA na kuwa hatujui lolote linaendelea kwenye Serikali ya JK. CHECK HII LIST HAPA CHINI UPATE PICHA KAMILI:
About 3 quarters ya Baraza la Mawaziri la JK ni WAISLAMU. Sasa CCM wanapoanza kupiga makelele ya UDINI hivi nani mwenye sera za UDINI hapa??? ILANI yenyewe ya CCM ya mwaka 2005 ilikuwa inazungumzia kuiingiza Tanzania kwenye OIC(Organization of Islamic Countries). Mnafikiri CCM tumelala usingizi????We know you better than thyself. SHAME ON YOU BUTCHERS!!!!!!!
- Rais- JK muislamu
- Makamu wa Rais-Dk Shein-muisilamu.
- IGP-Said Mwema-Muislamu.
- Meneja Kampeni-A.Kinana Muislamu.
- Naibu Waziri M/Ndani-Kagasheki-Muislamu.
- Wizara ya Ulinzi - Hussein Ally Mwinyi-Muisalmu
- Wizara Ya Afrika Mashariki) -Naibu Mohamed Abdul-Muislamu
- Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa- Naibu Seif Ally Idi-Muislamu
- Maliasili na utalii - Shamsa Mwangunga-Muislamu
- Kazi Ajira na maendeleo ya Vijana - Prof Juma Kapuya-Muislamu
- Miundo mbinu - Shukru Kawambwa-Muislamu
- Elimu na mafunzo ya ufundi - Prof Jumanne Maghembe,Naibu Mwantum Mahiza(wote 2 Waislamu).
- Afya na ustawi wa jamii - Naibu Asha Kigoda-Muislamu
- Wizara ya mipango na Fedha - Mustafa Mkulo, Naibu Omari Yusuph Mzee( wote 2 Waislamu).
- Menejimenti utumishi wa umma) - Hawa Ghasia-Muislamu.
- Ofisi ya Rais muungano - Seif Mohamed Khatib-Muislamu.
- Mazingira- Batilda Burian-Muisalmu
- Katibu Mkuu CCM-Yusuf Makamba-Muislamu.
- Mnadhimu Mkuu wa JWTZ-Shimbo-Muislamu.
CCM ndiyo mnaotaka kuipeleke nchi hii kwenye UDINI,UKABILA NA UBAGUZI WA RANGI(Kumbukeni mlichowafanyia makada wenu wenyewe kina SALIM AHMED SALIM-Mwarabu,BASHE-Msomali n.k na n.k)
Tupe na idadi ya wakazi nchini!! Asilimia ya wakristo na waislamu. Au tupe pia idadi ya wabunge, ambao huchaguliwa na wananchi. Wakristo ni wangapi na waislamu ni wangapi. halafu tuletee idadi ya mabalozi aliowateua Kikwete. Njoo idara mhimu za kitaifa, usalama wa taifa, majeshi nk. Pia angalia wateule wa JK katika chama. Anyway, kama mlivyosema si wakati muafaka kujadili mambo haya.
Lakuvunda halina ubani, hili limekorogwa bila hata ya chumvi. Nilishaongea tangu mwanzo kwamba timu mzima ya uhakiki wa kampeni za Chadema inabidi ibomolewe maana inafanya kazi kitoto. Hotuba za Dr Slaa zinakosa uhakiki, zinakosa uchambuzi. Bila utafiti Chadema walisema Karume hakuwa na elimu, bila utafiti wakaja na story kwamba kontena la kura za JK lipo Tunduma, Dr Slaa akaja kuushangaza umma kwamba hakujuwa kwamba mchumba wake alikuwa kaolewa, leo hii CCM wamemtega aongelee udini na yeye kaingia kichwa kichwa. Swali langu: hivi waandishi wa hotuba za Dr Slaa ni akina nani na wana ujuzi gani katika ku-digest kile anachokiongea Slaa na impact yake katika kampeni?
Brazaa treni haijazi mafuta shell , atuwezi kuchagua mkenge ,yaani hata kama hatuna budi ,kwa Slaa inabidi tuangalie kwa makini sana ,majuto ni mjukuu ,Slaa hatoweza kabisa kuiweka sawa nchi hii ,na itavurugika katika mida mchache sana .Chagua Dr. Slaa. Rais wa watanzania wote (waislamu, wakristo na wapagani). Rais atakaefyeka mafisadi wote papa na nyangumi na kusomesha watoto wetu bure!!!
Katika mikutano yake jana, Dr. Slaa ameweka bayana ya kuwa Raisi anayemaliza kipindi chake JK ndiye mdini na chanzo cha mpasuko wa udini hapa nchini.
Gazeti La Majira la leo limemnukuu Dr. Slaa akitoa takwimu za kuthibitisha hoja hii pale alipowasihi wapigakura wakague timu ya kampeni ya Jk na watagundua kuwa ni ya dini yake tu ndiyo imo humo. Vile vile Dr. Slaa alihoji teuzi mbalimbali za Jk ndani ya CCM na serikalini kuwa zina harufu kali ya kuipendelea dini yake.
SOURCE: MAJIRA YA LEO.
Kwa hiyo nanyi ndo mnataka Dr. Bunduki akaweke makanisa katika hizo ofisi za serikali, "dhambi ya ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu"-hata mwenyewe kajishtukia.,baada ya hapo ofisi za serikali zikawekwa misikiti,wakati serikali haina dini
You said it all, salute.Ndiyo maana wenzake wenye akili Mkapa na Mwinyi wamemsusa with his religious campaigns. Lakini Mkapa na mwinyi wanatakiwa wamkane na kumwonya Kikwete hadharani because he is taking the country in the direction of civil wars. Wakifanya hili sisi wananchi tutamsamehe Mkapa na madudu yake kwa vile watakuwa wameokoa nchi yetu. Tutamwambia President Dr Slaa amsamehe kama watamkanya Kikwete siku mbili hizi hadharani kabla ya uchaguzi aache mara moja kampeni za udini.