Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,192
- 1,972
ni kweli kabisa! 2005 hoja ya udini dhidi ya cuf iliisaidia sana ccm ndio maana jk hakulalamika, ila 2010 ccm imebomolewa vya kutosha na chadema ndio maana jk ameibuka usingizini na kuanza kukemea! It is too late kwa ccm kukumbuka shuka wakati kumekucha!