Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Status
Not open for further replies.
Mkuu,

Umechambua vizuri mada yako.
Kuna msemo huu ,"ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji".
Kwa bahati mbaya watu wengi wakati CUF wanaitwa magaidi, watarudisha usultani na kuisilimisha nchi..tulikaa kimya au hatukuona hatari ambayo CCM wanatuletea kidogo kidogo ya kuigawa jamii ya Tz kwa misingi ya kidini.

CCM wanatumia karata hii kwa chama chochote kinachoinukia kuwa mwiba kwa CCM. Vizuri tunaanza kulijua hili na mategemeo yangu ni kuwa hata Hapa JF wale wapenzi wa malumbano ya dini, wale wanaobeza dini au dhehebu ya wengine,wale wanajaribu kudhalilisha dini za wengine wataona mtego huu wa CCM na kuacha chuki za kidini au kuchochea malumbano ya kidini yanayogawa jamii.

Kuna thread nyingi humu JF zinajaribu kuwachafua waislamu na uislamu. sisi tunaoleta hizi threads au kufanya haya hatuoni kuwa tunameza ndoana ya CCM bila ya kujua ,au tunafanya kwa makusudi? Kwa faida ya nani? au kwa faida gani?

Pia huona wale wanaochangia threads hizo wanapo-defend kundi lao na uislam wao nao hujaribu ku-hit hard.basi hatujifunzi kutokana na wachangiaji wa hizo threads kwa wale wanaokandia na wale wanaohami makundi yao kuwa hali hii inatupelekea huko ambako CCM wanatuelekeza?

Wakuu, tuifahamu hii hali na tuikatae. tubaki na dini zetu kwa wale wenye dini bila kubughudhi wa dini nyengine na tuungane katika kushughulikia mambo yanayotuumiza kama Taifa, ambayo ni mengi.
 
Nyerere alishasema Kikwete hajakomaa kisiasa kuongoza nchi, hawakumwelewa na matokeo yake ndio hayo.
Ukimya huu si wa kawaida katika mambo muhimu ambayo mkuu wa nchi anapaswa kuyatolea kauli na kuonyesha msimamo wake. Ni dhahiri Kikwete katu kutokwepa lawama za tuhuma hizi kwa vile ameziongelea waziwazi wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi. Hakuna anayeshangaa kwamba CUF nao yaliwapata, sasa tunajua mbinu hizi chafu za kuwachafua wanapinduzi na wapigania haki za watanzania. Kumbuka mbinu za wahujumu uchumi ni umilikaji wa vyombo vya habari ili kupandikiza chachu mbaya dhidi ya wapigania haki.
Matajiri na wafanyabiashara wanapokuwa marafiki na viongozi wa kitaifa na Ikulu kuwa ndio sehemu ya kunywea chai ya tangawizi, hapo yamhusuyo tajiri au mfanyabiashara mtawala utayafumbia macho, kwani ukiyaibua watakuaibisha kwa vile ulishaonja chai yao ya tangawizi.
Rostam Aziz angewezaje ileta Richmond na baadaye kuirithisha kwa Dowans bila kushauriana na wakuu wenye mamlaka ya kufunika na kufunua makaratasi ya umilikishwaji? Sasa wakuu wako kimyaaaaaaaaaaaaa.....
Ama kwa hakika wajuzi wa kupika ugali wajua nini maana ya maji kuzidi unga.
:third:
 
Nashukuru kwa uchambuzi, umeeleza vizuriu sana. Mwenye kutaka kuelewa ataelewa asiyetaka basi.
 
uchambuzi safi. pia umenikumbusha visu vya CUF !!! lol mi ninavyo home mpaka leo tunatumia na tulinunua ....labda tulikua na nia ya kuchinja watu!!!! tehe tehe.....
 
Poleni sana wagalatia msokuwa na akili, ama kweli mkuki mchungu kwa ngurue kwa binadamu ni mtamu. Mgalatia gani aliwatetea cuf walipohusishwa na uislamu na hao hao ccm?. Mgalatia gani alimtetea kikwete alipoonekana ni mdini ktk awamu yake ya kwaza kabla kupambana na slaa kuwania urais? Kama ulivyoaza kumtetea slaa na ukatoliki wake kwenye hoja yako basi vile vile swali linakuja, ni nani alikuwa hajui kwamba kikwete ni muislamu wakati alipokuwa mbunge na waziri hadi amekuwa rais ndio wagalatia mumjue kama ni muislam? Ukweli ni kwamba wagalatia wa taznzania wana chuki kubwa na waislamu hadi hujisahau na kufikiri wao ndio wenye hati miliki ya kuiongoza tanzania, kila mara ikitokea rais kuwa muislamu kwao huwa ni mwiba ulowachoma huaza kumtuhumu ni mdini na akizungumzia tu hiyo hali kwamba kuna watu wanaleta udini basi hugeuziwa kibao kwamba yeye ndio ameibua hoja ya udini. Poleleni sana wagalatia tanzania ni ya wote hivyo usawa na kuheshimiana ndio dawa pekee ya kuimarisha umoja.
 
Sparksheha utabisha ni hi kwamba
CCM, Chama Cha Makamanda

UKIONDOA Makamu Mwenyekiti, Pius Msekwa, na Mweka Hazina, Amos Makalla, viongozi wote wa sasa wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), walikuwa wanajeshi.

Mwenyekiti, Rais Jakaya Kikwete (Luteni Kanali), Katibu Mkuu, Luteni Yusuf Makamba, Naibu Katibu Mkuu, Kapteni George Mkuchika, na Naibu Katibu Mkuu, Kapteni John Chiligati, wamepata kuwa maofisa katika Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
http://www.mwanahalisi.co.tz/toleo/225

Kwa maana hiyo kinachoendelea ndani ya CCM ni ubabe wa mfumo wa kijeshi uliojivika ngozi ya kondoo ( utawala wa kiraia), tafsiri ya mauaji ya wapemba na waarusha ndio matokeo ya mfumo unaoongozwa na wanajeshi.
Maana yake Tanzania tuna utawala wa kijeshi.
:deadhorse:
 
Ingekuwa Chadema hawakujikita sana na Udini na Uchadema? Basi Chadema wana nafasi mzuri ya kuwaunganicha Wtanzania na kuwaita wakaitika na kuweza kuiondosha ccm ktk madaraka na kuizofisha kabisa. Lakini tatizo kubwa la Chadema ni kushindwa kuwaunganisha Wtanzania ktk misingi yao ya imani za kidini na kisiasa.
Kwa vile Chadema wanapendwa na wana watu wengi, kwa hio njia ya kuingia ikulu ni yepesi kwao ikiwa watajipanga vizuri sana?. Nilazima Wajikitee sana ktk Utanzania na haki za Mtanzania ili kuweza kuwaunganisha Wtanzania. Isiwe wakifanya maadamono yao yanakuwa ya Kimkowaa na ki-Chadema na udini.
Kuna watu Tanzania wenye imani za kidini tafauti na wanawaunga mkono sera nyingi zao na wanatamani ku-joint na wao ktk harakati za ukombozi la kini wanashindwa hapo. Nilazima Chadema wabadilike ili kutumia people power, nguvu ya Dola haiwezi kushinda nguvu ya watu(people power) angalia Serekali ya Tunis na Misry iko njiani na nyingi tuu zitafuatia zenye utawala wa kimabavu zidi ya raia zake.
Sasa leo Chadema wana opportunity mzuri golden chance hawajuwi kuitumia imebaki pambo la nyumba, hivi sasa Marekani wanakubali nguvu ya watu na kuipa motishaa sasa Chadema muna subiri nini?.

Tumieni turufu yenu Chadema muingie ikulu.
 
Ingekuwa Chadema hawakujikita sana na Udini na Uchadema? Basi Chadema wana nafasi mzuri ya kuwaunganicha Wtanzania na kuwaita wakaitika na kuweza kuiondosha ccm ktk madaraka na kuizofisha kabisa. Lakini tatizo kubwa la Chadema ni kushindwa kuwaunganisha Wtanzania ktk misingi yao ya imani za kidini na kisiasa.
Kwa vile Chadema wanapendwa na wana watu wengi, kwa hio njia ya kuingia ikulu ni yepesi kwao ikiwa watajipanga vizuri sana?. Nilazima Wajikitee sana ktk Utanzania na haki za Mtanzania ili kuweza kuwaunganisha Wtanzania. Isiwe wakifanya maadamono yao yanakuwa ya Kimkowaa na ki-Chadema na udini.
Kuna watu Tanzania wenye imani za kidini tafauti na wanawaunga mkono sera nyingi zao na wanatamani ku-joint na wao ktk harakati za ukombozi la kini wanashindwa hapo. Nilazima Chadema wabadilike ili kutumia people power, nguvu ya Dola haiwezi kushinda nguvu ya watu(people power) angalia Serekali ya Tunis na Misry iko njiani na nyingi tuu zitafuatia zenye utawala wa kimabavu zidi ya raia zake.
Sasa leo Chadema wana opportunity mzuri golden chance hawajuwi kuitumia imebaki pambo la nyumba, hivi sasa Marekani wanakubali nguvu ya watu na kuipa motishaa sasa Chadema muna subiri nini?.

Tumieni turufu yenu Chadema muingie ikulu.

huna hoja CHADEMA kimewaunganisha Watanzania wote wewe ndio mdini mkubwa
 
Hebu elezea basi udini wa chadema upo wapi?

Uchadema hauwezi kuepukika hicho ni chama na kikichukua nchi lazima kiwe na sera za kutawala, huwezi kuchukua nchi na ukafata ser zilezile za CCM,

wewe kama na wenzio mnataka mabadiliko ya kweli basi tuungane pamoja toa kabisa hizo dhana potofu ulizonazo
 
Hakuna anayekuelewaaaaaaa!!!!!!!!! Sisi tunamshukuru mwenyezi Mungu kwamba hata nyinyi mmeisha jua kuwa CHADEMA sasa ni chaguo la watanzania hata mkipandikiza mbegu za udini na ukabila hamsikilizwi tena! mbegu mlizopanda dhidi ya A. Mrema zilinyauka,. mkapandikiza nyingine dhidi ya Prof. Lipumba zisiote na hizi mnazojitahidi kulazimisha ziote haziwezi kuota!! Mtaendelea kushindwa tu na kulegea!!!!!!!

CHADEMA sasa wako njia moja tayari ku take off.............. no matter what, nchi haiwezi kutawalika kwa mabavu na ujanja ujanja wa CCM tena!
 
Kama si udini na Uchadema ?ccm bye bye.

Ingekuwa Chadema hawakujikita sana na Udini na Uchadema? Basi Chadema wana nafasi mzuri ya kuwaunganicha Wtanzania na kuwaita wakaitika na kuweza kuiondosha ccm ktk madaraka na kuizofisha kabisa. Lakini tatizo kubwa la Chadema ni kushindwa kuwaunganisha Wtanzania ktk misingi yao ya imani za kidini na kisiasa.
Kwa vile Chadema wanapendwa na wana watu wengi, kwa hio njia ya kuingia ikulu ni yepesi kwao ikiwa watajipanga vizuri sana.. Nilazima Wajikitee sana ktk Utanzania na haki za Mtanzania ili kuweza kuwaunganisha Wtanzania. Isiwe wakifanya maadamono yao yanakuwa ya Kimkowaa na ki-Chadema na udini.
Kuna watu Tanzania wenye imani za kidini tafauti na wanawaunga mkono sera nyingi zao na wanatamani ku-joint na wao ktk harakati za ukombozi la kini wanashindwa hapo. Nilazima Chadema wabadilike ili kutumia people power, nguvu ya Dola haiwezi kushinda nguvu ya watu(people power) angalia Serekali ya Tunis na Misry iko njiani na nyingi tuu zitafuatia zenye utawala wa kimabavu zidi ya raia zake.
Sasa leo Chadema wana opportunity mzuri golden chance hawajuwi kuitumia imebaki pambo la nyumba, hivi sasa Marekani wanakubali nguvu ya watu na kuipa motishaa sasa Chadema muna subiri nini?.
Na kubwa zaidi wanachojiharibia ni kuwa wanajiona wao ni tu ndio wenye hakki ya kuwa wapinzani na kuunda pekee kambi ya upinzani, Cuf pamoja na udhaifu wao siku zote wamewashirikisha na wapinzani wenzao ktk kuunda kambi ya upinzani,hata kama ni chama kimoja kwa mwaka 95 lkn waliwashirikisha,hawakutaka kuhodhi peke yao kama chadema,na ndio unaona hata bunge lililopita Cuf walivishirikisha vyama vyote ikiwemo chadema,na kiongozi alikua hamad rashid,naibu wake alimchagua dr slaa,na wengine.. sasa hili nalo linawaharibia chadema..

Tumieni turufu yenu Chadema muingie ikulu.
 
Mbona umeaacha na Uchagaa??????

kwa hilo ccm wamefanikiwa kuchakachua akili yangu,jamani mimi nimefanya utafiti mdogo nimegundua hoja ya udini imepikwa purposely tafakari chukua hatua great thinker huwa aruhusu kutumiwa kama mtaji wa watu wachache kufanikisha masilahi yao .acha udini
 
Ingekuwa Chadema hawakujikita sana na Udini na Uchadema? Basi Chadema wana nafasi mzuri ya kuwaunganicha Wtanzania na kuwaita wakaitika na kuweza kuiondosha ccm ktk madaraka na kuizofisha kabisa. Lakini tatizo kubwa la Chadema ni kushindwa kuwaunganisha Wtanzania ktk misingi yao ya imani za kidini na kisiasa.
Kwa vile Chadema wanapendwa na wana watu wengi, kwa hio njia ya kuingia ikulu ni yepesi kwao ikiwa watajipanga vizuri sana?. Nilazima Wajikitee sana ktk Utanzania na haki za Mtanzania ili kuweza kuwaunganisha Wtanzania. Isiwe wakifanya maadamono yao yanakuwa ya Kimkowaa na ki-Chadema na udini.
Kuna watu Tanzania wenye imani za kidini tafauti na wanawaunga mkono sera nyingi zao na wanatamani ku-joint na wao ktk harakati za ukombozi la kini wanashindwa hapo. Nilazima Chadema wabadilike ili kutumia people power, nguvu ya Dola haiwezi kushinda nguvu ya watu(people power) angalia Serekali ya Tunis na Misry iko njiani na nyingi tuu zitafuatia zenye utawala wa kimabavu zidi ya raia zake.
Sasa leo Chadema wana opportunity mzuri golden chance hawajuwi kuitumia imebaki pambo la nyumba, hivi sasa Marekani wanakubali nguvu ya watu na kuipa motishaa sasa Chadema muna subiri nini?.

Tumieni turufu yenu Chadema muingie ikulu.

Nakuomba utoe mifano hai kuwa chadema ni chama cha udini, unajua kama huna point ya kusema afadhali kunyamaza, siyo lazima useme. After all watanzania wa leo si sawa na wale wa zamani.
 
Tunashukuru kwa kutambua CHADEMA ndio mbadala wa ccm. UDINI na UCHADEMA havina nafasi na havitakuwa na nafasi. hizo ni propaganda chafu za ccm kuchanganya raia. CUF walishazushiwa hili , lakini leo wako meza moja na hao jamaa. Hamka kijana pigania nchi yako.
 
Ingekuwa Chadema hawakujikita sana na Udini na Uchadema? Basi Chadema wana nafasi mzuri ya kuwaunganicha Wtanzania na kuwaita wakaitika na kuweza kuiondosha ccm ktk madaraka na kuizofisha kabisa. Lakini tatizo kubwa la Chadema ni kushindwa kuwaunganisha Wtanzania ktk misingi yao ya imani za kidini na kisiasa.
Kwa vile Chadema wanapendwa na wana watu wengi, kwa hio njia ya kuingia ikulu ni yepesi kwao ikiwa watajipanga vizuri sana?. Nilazima Wajikitee sana ktk Utanzania na haki za Mtanzania ili kuweza kuwaunganisha Wtanzania. Isiwe wakifanya maadamono yao yanakuwa ya Kimkowaa na ki-Chadema na udini.
Kuna watu Tanzania wenye imani za kidini tafauti na wanawaunga mkono sera nyingi zao na wanatamani ku-joint na wao ktk harakati za ukombozi la kini wanashindwa hapo. Nilazima Chadema wabadilike ili kutumia people power, nguvu ya Dola haiwezi kushinda nguvu ya watu(people power) angalia Serekali ya Tunis na Misry iko njiani na nyingi tuu zitafuatia zenye utawala wa kimabavu zidi ya raia zake.
Sasa leo Chadema wana opportunity mzuri golden chance hawajuwi kuitumia imebaki pambo la nyumba, hivi sasa Marekani wanakubali nguvu ya watu na kuipa motishaa sasa Chadema muna subiri nini?.

Tumieni turufu yenu Chadema muingie ikulu.
Huna hoja, soma katiba za vyama ndio uje na hoja yako humu ndani!!
 
kwa hilo ccm wamefanikiwa kuchakachua akili yangu,jamani mimi nimefanya utafiti mdogo nimegundua hoja ya udini imepikwa purposely tafakari chukua hatua great thinker huwa aruhusu kutumiwa kama mtaji wa watu wachache kufanikisha masilahi yao .acha udini

Kweli kabisa watu waliokosa hoja siku zote hukimbilia vitu vya kipuuzi.... ila anaekipokea kitu cha kipuuzi na kuona kuwa ni ukweli ndio huwa mpumbavu!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom