Ni nani aliyeruhusu Mbowe na Zito kabwe kuongea na taifa wakati mkuu wa nchi akiwa nje ya nchi

Ni nani aliyeruhusu Mbowe na Zito kabwe kuongea na taifa wakati mkuu wa nchi akiwa nje ya nchi

Yupo wapi sasa' huyo mbabe wako? Mbona baadaye akawa anatembezwa tu viwanjani na subordinates wake just for show off?.......mara Taifa, mara Dodoma, mara Zanzibar mara Mwanza etc etc. Almradi vurugu.
Kwani wewe au mbowe,au lema mkifa hamtaagwa na wanachama?
Acheni usumbufu kwa mama mtachapwa viboko.viboko vya mama vinauma 😂😂😂
 
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
kwani kina sheria umevunjwa ?
 
Wanataka waanze kuleta usumbufu wao tena kwa mama samia baada ya kumkimbia magufuli eeh, kichapo walichokua wanapata toka kwa magufuli kilikua cha haja,mpk wakakimbia wote,wakianza mambo yao ya kumsumbua mama watakula viboko tu saiv 😂😂😂
Mmesubiri baba aondoke muanze tena matamko ili kumsumbua mama,mtakula viboko tu 🤣😅😅

Unatambia matumizi mabaya ya madaraka unaona ni bonge la sifa! Ndio maana muda wote tumekuwa tukipigwa bila kuwa na uwezo wa kuhoji lolote. Hapa umeanika ujuha wako, hapo umedhani unaoongea kitu cha maana.
 
Si mlishazoea kukandamiza watu wasiongee ndio wanaongea sasa mabwege kweli nyie
 
Sasa mbna naona Libya ya pili, mambo yalikua hivi.. speed kibao.. hamma kitu kinatisha kama hizi pupa tulizoanza nazo, Too much is harmful always.. juzi nlkua nmekaa na wazee wakasema heri uwe mbabe mwenye manufaa kuliko upole wa kijinga na kuwatolea mahayati mfano kuanzia Jk, Karume, Benj, mpaka sasa.. ndio nmeanza kuona sasa
ww unajaza watu story za kusadikika. oh naona libya? ulishawahi fika libya ww?
msilazimishe mama SSH aish keenye kivuli cha JPM.
ww na hao wazee wako wajue kuwa Jpm he is gone. na hato ongea tena.
hizo ramli chonganish hazito wafikisha mahali.

jii nchi inaongozwa kaa katiba na sheria. sio mtu au kikundi cha watu kinachojiamulia
 
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
umeandika upumbavu wa kiwango cha chato. mtakuwa vichaa kipindi hiki. mlizani hii nchi ni ya wasukuma pekee?
#^¥(&■● kabisa wewe
 
ww unajaza watu story za kusadikika. oh naona libya? ulishawahi fika libya ww?
msilazimishe mama SSH aish keenye kivuli cha JPM.
ww na hao wazee wako wajue kuwa Jpm he is gone. na hato ongea tena.
hizo ramli chonganish hazito wafikisha mahali.

jii nchi inaongozwa kaa katiba na sheria. sio mtu au kikundi cha watu kinachojiamulia
Sasa unampayukia na nani na maswali yako ya kwamba nmefika Libya, unamaliza mate tu.. vitu vingine sio vya kubishania hapa nenda kagoogle kuanzia wealth na welfare ya wana Libya sasa hv compare na enzi za mwana hapo nyuma halaf uone, sawa walimtoa jamaa vipi nchi yao machafuko yaliisha!? He is Dead men and dead men tells no story ila hata kimila tu what we are doing right now ni upuuzi.. assume ww ndio mmoja wa wanafamilia wa mzee, miezi haijapita kila sehem anakua crushed.. that's not fair
 
Bado unaota..yaani mtu kutoa maoni yake akuombe ruhusa!? Bila Shaka wewe Ni mpuuzi ole sabaya
 
Unatambia matumizi mabaya ya madaraka unaona ni bonge la sifa! Ndio maana muda wote tumekuwa tukipigwa bila kuwa na uwezo wa kuhoji lolote. Hapa umeanika ujuha wako, hapo umedhani unaoongea kitu cha maana.
Kwa nini hukuhoji wewe kwanza unasubiri mpk mtu afe ndio mhoji?uoga wenu ndio maana mnapigwa pesa tu.
unahoji kwenye keyboard umejifungia ndani na mkeo,sisi ndio tukuhojie?badae uanze kutuita wajinga wale 🤣🤣😂😂😂

Kama lema,mbowe wote walikimbia,saiv ndio wanarudi,ulitaka mm ndio ningehoji mkuu,ili nionekane kwako ni shujaa sio juha
Acha hizo 🤣🤣🤣wote ni majuha mpk wewe
 
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?

Bean 1.jpg
 
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Kwani hata angekuwepo hapa wasingeongea?
 
Amani, uhuru, kuthaminiwa vimerudi tena. Zika udikteta, kuzuia uhuru wa aina yoyote ile, mateso na manyanyaso na mengi mengi tu. Sasa ni tuko kwenye
MATHA= Make Tanzania Happy Again. MATAGA na Sukuma Gang kwisha Habari yake. Tulieni shindano lingine ili dawa ifanye kazi.
 
Umeshiriki na wewe kuturudisha enzi uliyonufaika.
Nimenufaika na nini? Tena kama ni kuchukia ningekuwa mmoja wao maana utawala wake na maamuzi yake yaliniathiri moja kwa moja lakini yapo mambo nilimuelewa na nitamtetea.
 
Wanataka waanze kuleta usumbufu wao tena kwa mama samia baada ya kumkimbia magufuli eeh, kichapo walichokua wanapata toka kwa magufuli kilikua cha haja,mpk wakakimbia wote,wakianza mambo yao ya kumsumbua mama watakula viboko tu saiv 😂😂😂
Mmesubiri baba aondoke muanze tena matamko ili kumsumbua mama,mtakula viboko tu 🤣😅😅
Sasa aliyekuwa anatoa kichapo ili awaue kafa yeye sasa huone lipo la kujifunza? unadhani Mama hataki kuishi? haki ndiyo hukumu pekee kwetu.
 
Kwani wewe au mbowe,au lema mkifa hamtaagwa na wanachama?
Acheni usumbufu kwa mama mtachapwa viboko.viboko vya mama vinauma 😂😂😂
Hahahahahah........lakini siyo kutembezwatembezwa almradi kupeleka ujumbe kuwa "sasa huna nguvu".
 
Back
Top Bottom