Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Hahaha MATAGA lazima watage tu hakuna namna.All are well planned. Kumdhalilisha JPM
Ninawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano. Itika Kazi Iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha MATAGA lazima watage tu hakuna namna.All are well planned. Kumdhalilisha JPM
kkkkk Chato Gang wamechanganyikiwa!Naskia SUKUMA GANG uwanja wanataka waanze kuanikia udaga/mihogo, mhindi na mpunga eti ile rami ya pale inawahi kupata heat haraka..
Kwani yy alikua na mwili wa chuma asife,amekufa kama ww na binadamu wote tunaoishi sasa tutakavokufa.Sasa aliyekuwa anatoa kichapo ili awaue kafa yeye sasa huone lipo la kujifunza? unadhani Mama hataki kuishi? haki ndiyo hukumu pekee kwetu.
Yule alikua kiongozi wa nchi,lazima aagwe na wananchi. Kwani kuagwa imekua dhambi tena siku hizi?au ni dhambi kwa magufuli tu?wafalme,malkia,marais wengine waliagwa kwa nn kwake iwe nongwa?Hahahahahah........lakini siyo kutembezwatembezwa almradi kupeleka ujumbe kuwa "sasa huna nguvu".
Mleta mada ni mataga Kawe Aluminium anapata taabusanaMerehemu Pombe ni Chatu aliyekufa na kuacha vijoka vidogo-dogo na mfano wa kijoka hicho ni mleta mada.
Saaaaana tu,huku tukiimba atake asitake ataongezewa tuuuuuuuuuuuuuuuuu.
waache wapumue mkuu hawana madhara ni kama mtoto huwa tunasema akikua ataacha kama hawaamasishi maandamano no problemAma kweli mambo yamebadilika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu Rais Samia aingie madarakani.
Na kwa kuwa Rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? Tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Enzi zenu za kuteka watu zilishapitaWanataka waanze kuleta usumbufu wao tena kwa mama samia baada ya kumkimbia magufuli eeh, kichapo walichokua wanapata toka kwa magufuli kilikua cha haja,mpk wakakimbia wote,wakianza mambo yao ya kumsumbua mama watakula viboko tu saiv [emoji23][emoji23][emoji23]
Mmesubiri baba aondoke muanze tena matamko ili kumsumbua mama,mtakula viboko tu [emoji1787][emoji28][emoji28]
Ila kwa Ndesamburo Moshi ilikuwa dhambi?Yule alikua kiongozi wa nchi,lazima aagwe na wananchi. Kwani kuagwa imekua dhambi tena siku hizi?au ni dhambi kwa magufuli tu?wafalme,malkia,marai
Tatizo lako ni kwa sababu tu Rais yuko nje ya nchi au kuna kingine?Ama kweli mambo yamebadilika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu Rais Samia aingie madarakani.
Na kwa kuwa Rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? Tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Kwahyo raisi kama hayupo watu wabaki mabubu mpaka arudi? Mataga bana😂Ama kweli mambo yamebadilika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu Rais Samia aingie madarakani.
Na kwa kuwa Rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? Tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Kuna kosa gani mtanzania kuongea na watanzania wenzake.
Chatoh timu bana wasiwasi mingiii saana baada ya baba yenu kuondoka!!
Katiba inawaruhusu,Asante MUNGU kumchuka Magufuli,angalau heshima ya Tanzania imeanza kurudiAma kweli mambo yamebadilika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu Rais Samia aingie madarakani.
Na kwa kuwa Rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? Tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Bora limekufa,mlidhani angetesa Watanzania mpaka lini?Wanataka waanze kuleta usumbufu wao tena kwa mama samia baada ya kumkimbia magufuli eeh, kichapo walichokua wanapata toka kwa magufuli kilikua cha haja,mpk wakakimbia wote,wakianza mambo yao ya kumsumbua mama watakula viboko tu saiv [emoji23][emoji23][emoji23]
Mmesubiri baba aondoke muanze tena matamko ili kumsumbua mama,mtakula viboko tu [emoji1787][emoji28][emoji28]