GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Na hapo Uganda ndiyo ulikoanzia vizuri tu nashangaa wenyewe wala hawana Shobo kama za Wamisri na Waethiopia.Hivi kwa mfano mtu ukaenda pale daraja la jinja uganda na kumwaga vifusi vya zege mto nile utaendelea kuwepo!?
ID yako inanifanya niifufue hii movie naipenda sana cjui y!!Huo ujinga ulianzia 1929 Nile Waters Agreement.
Yaani ni utoporo juu ya utoporo.
Nadhani mwenyezi mungu alituumba waafrica hivi tulivyo kwa makusudi yake mwenyewe.hatuna elimu,teknologia, uchumi bora nk lakini ndo tunaishi maisha magumu in a very simple way.Na hapo Uganda ndiyo ulikoanzia vizuri tu nashangaa wenyewe wala hawana Shobo kama za Wamisri na Waethiopia.
Absolutely Chief. You are right on this!!!Hata huu mgogoro wa ethiopia kati ya gov na wale jamaa wa tigray una mkono wa mmisri
Huo ujinga ulianzia 1929 Nile Waters Agreement.
Yaani ni utoporo juu ya utoporo.
Kipindi tunaanza kusambaza maji toka Ziwa Victoria kwenda Shinyanga na Tabora hao jamaa wa Misri walituwekea kiwingu.Wewe jamaa unaesema sijui mtoni darajani kungewekwa zege basi fulani angeujulia wapi mto... hii ni hoja ya kitoto kabisa, maji ya wote haijalishi yameanzia wapi yanaishia wapi cha hmsingi kila mtu avune katika upande wake
Vita ya aina hiyo ikizuka Kenya, Uganda, Tanzania, Sudan tusimame na Ethiopia.Ila wa Ethiopia wabishi kinoma wamejenga Bwawa na wamehanza kuingiza maji , muda si muda itazuka Vita kati Wamisri Na Ethiopia
Kama mwanadamu anatakiwa apigane vita basi hizi ndiyo sababu za msingi kupigania vita.Huo ujinga ulianzia 1929 Nile Waters Agreement.
Yaani ni utoporo juu ya utoporo.
Heee[emoji849]mkuuTanzania bado tunahangaika Kwanza kujua Chanzo cha Moto wa Kimkakati na wa Kihujuma uliounguza Soko Kuu la Kariakoo jana Usiku na ambao ulizimwa Alfajiri ya Kuamkia leo ila Usiku huu umeanza tena Kuwaka kwa Kuunguza Mbilimbi, Pilipili na Hirizi pamoja na Vibuyu vya Wafanyabiashara humo ( mule )
"Tuwagawe kisha tuwatawale" hii litu bado inafanya kazi kuwanufaisha waoHata Mimi pia hii Vita naiona inakuja Mkuu ila Mfaidika Mkuu wa Maslahi ya hii Vita ni Waingereza na Wamarekani ambao wanazichochea hizi huku Mmoja akimpa Misri jeuri ya Kumkopesha Pesa zaidi ya Miradi yake na mwingine akimuuzia Silaha nzito nzito Ethiopia ili amsaidie Kupambana vizuri na Waarabu ambao Kimsingi ndiyo Adui zake wake Wakubwa Kimaslahi
Watukuambia hatufungamani na upande wowoteAU badala ya kuwaunga mkono Ethiopia wamepiga kimya. Kenya wanakubaliana na maamuzi ya Ethiopia sijui Tanzania tuko upande upi.
Ni Waingereza ndio walioandika huo mkataba mbovu,ajabu Misri ndio kama mmiliki wa mto Nile, kumbuka hata huku kwetu walitaka kutuingilia juu ya maji ya Ziwa Victoria tulipotaka kuanzisha mradi mkubwa wa maji, naamini Nile ingekuwa inaanzia kwao wangeweza kuilazimisha iishie tu kwao, sioni mantiki ya wao Misri watumia hayo maji kwa asilimia kubwa na hata kujenga bwawa kubwa na papo hapo waizuie Ethiopia.Nilipoona tu tamko la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likisema kuwa haliwezi Kuingilia kati Mgogoro wa Matumizi ya Maji ya Mto Nile kati ya nchi za Misri na Ethiopia kwakuwa inajua kuwa Misri ina uhalali wa 87% ya Maji ya Mto huo nimeshtuka na kuwa na maswali mengi mno.
Hivi ni lini Waafrika na hasa huu Umoja wa Afrika (AU) utasimama imara kabisa Kutetea na Kusimamia Maslahi ya Bara la Afrika na Rasilimali zake kwa ujumla? Kwanini iliyokuwa (OAU) miaka ya nyuma ilishindwa kuwa Sauti ya Kujiamini kwa nchi zote za Afrika ili Afrika tusikike, tueleweke na tuheshimike mno.
Hainiingii Akilini kabisa leo hii kusikia nchi kama za Misri na Ethiopia kila Uchao tu zinagombania Umiliki wa Mto Nile wakati sehemu Kubwa na iliyoanzia hadi hata kupita nchi kama za Uganda na Sudan nazo zina haki ya Umiliki lakini zimenyamaza na zikiwaangalia kama hata si Kuwashangaa pia.
Wazungu wanapenda sana Kutuingilia na Kutupangia mambo yetu mengi Waafrika na kwa jinsi Viongozi wengi wa Bara la Afrika walivyo Goi Goi na wa hovyo hovyo kiasi cha Kuwaogopa Wazungu hawa Waafrika wote tunadharaulika na kuonekana hakuna tunalolijua na hata kuliweza zaidi ya kuwa Waongo, Wavivu na Wachawi wa Kutukuka.
Hivi hirizi zilizoungua kweli hazijajaza lori? kwa maana akina Mzee Mpili hawajambo kwa hirizi.Tanzania bado tunahangaika Kwanza kujua Chanzo cha Moto wa Kimkakati na wa Kihujuma uliounguza Soko Kuu la Kariakoo jana Usiku na ambao ulizimwa Alfajiri ya Kuamkia leo ila Usiku huu umeanza tena Kuwaka kwa Kuunguza Mbilimbi, Pilipili na Hirizi pamoja na Vibuyu vya Wafanyabiashara humo ( mule )