fani ya samatta kwa level zake hawezi kuitangaza tanzania kimataifa zaidi ya diamond, timu sio maarufu sana pia wachezaji wa africa kwa size ya timu anayo cheza samatta ni wengi jambo linalo mfanya asionekane kwa ukubwa sana kama diamond. siku akianza kucheza epl naomba uulize swali tena ila kwa mtazamo wangu diamond yuko juu katika suala la kuitangaza nnchi kimataifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.