Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Nani Mwana JamiiForums bora wa mwaka kati ya hawa?

  • The Boss

  • Faiza Foxy

  • Mzee Mwanakijiji

  • BAK

  • Pasco

  • Heaven Sent

  • Victorie

  • Technically

  • Mshana Jr

  • Lizaboni


Results are only viewable after voting.
Kwel hata mi the boss mana nikiona tu comment yake hua nasoma yote coz kuna kitu napata kwake
 
Kuwaweka Faiza Foxy na Lizabon ambao wamelalamikiwa na wanajamvi mara nyingi sio sahihi hata kidogo. Tena kumwacha Mshana Jr kumenishangaza sana. List imeandikwa na yule Jecha au?
 
Hcho kigezo kilichotumika kuwapa hao .
 
Kuwaweka Faiza Foxy na Lizabon ambao wamelalamikiwa na wanajamvi mara nyingi sio sahihi hata kidogo. Tena kumwacha Mshana Jr kumenishangaza sana. List imeandikwa na yule Jecha au?
Hakuna hata mmoja wa maana hapo.. Weka barafu wengine wote ni wafia chama either cdm au ccm.. Kisogo Pasco na Mwanakijiji ndio wanastahili..
mnazungumziaje uwepo wangu kwenye hizi tuzo?
 
@ Miss natafuta wangu una zero.
Ngoja nikupigie uwe hata na kamoja
 
Ninachoona hapo mimi...

Wa ccm watampigia aliyekuwa nasupport ccm

Wa chadema atampigia kura aliyesupport chadema..

Wa cuf hivyo hivyo naye.....

The story goes on...!

Manake hiyo list wengi wako biased kabisa...

Hii list siyo..
 
Kura yangu nampa mkuu @pasco kwa kweli kwa mwaka huu anastahili kupewa.
 
Huyo namba mbili pamoja na kuchangia sana ila post zake zamlengo wa kidini na kichamaaa...zaidi!
 
Orodha yako yenyewe tu kichefuchefu. Kama na udini ni disqualification Bi Mkubwa anafuata nini kwenye list?
 
Hata mimi sipo hapa. Nina Meseji 1000 Like 700 na Liked 300 zote za mwaka huu. Nipo Online 24/7. Vigezo gani vimetumika?
 
kama hujamuweka mshana Jr na barafu hiyo tuzo yenu kapeaneni kimya kimya
Barafu ndiye anastahili tuzo na sio hao wajinga aliowaandika.. Lakini kama pesa anatoa yeye wacha afanye atakavyo na tusishangae Lizaboni akashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…