Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Nani Mwana JamiiForums bora wa mwaka kati ya hawa?

  • The Boss

  • Faiza Foxy

  • Mzee Mwanakijiji

  • BAK

  • Pasco

  • Heaven Sent

  • Victorie

  • Technically

  • Mshana Jr

  • Lizaboni


Results are only viewable after voting.
[emoji23][emoji23][emoji23]majibu ya watu sasa.....ila ungeweka vigezo na utaratibu mzima wa zoezi hili
 
Akishinda lizaboni au faiza foxy nakojolea simu yangu hapahapa...nva jf siingii tena
 
Orodha yangu ni kama ifuatavyo, ninyi ndio mtapiga kura kwenye poll na kupata mshindi.
1. The Boss
2. Faiza foxy
3. Mzee mwanakijiji
4. BAK
5. Lizaboni
6. Pasco
7. Miss Natafta
8. victorie
9. Technically
10. Ocampor four

Haimaanishi ambao hawajawekwa hawakuchangia hapana wamechangia sana ila kwa mwaka huu hawakufika viwango vya hawa hapa
PIGA KURA YAKO.
Mkuu yuko wapi Nyani Ngabu? kwenye orodha yako!!Ngabu ni mchangiaji mzuri, japo ni mkora kidogo lakini hoja zake huwa na mashiko na hayuko Biased na Sio mbinafsi.Nafikiri na yeye ana sifa za kuwa hapo.
 
Akishinda lizaboni au faiza foxy nakojolea simu yangu hapahapa...nva jf siingii tena
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 tayari wameonesha kushinda hivyo wewe anza kutoa kikojoleo chako nje tayari kuharibu simu hahahaahh
 
Lizaboni hana vigezo vya kuwepo kwenye hiyo list yako. Kwa sababu hizi.
1. Mzushi
2. Matusi dhidi ya member wenzake na viongozi wa Chadema.
 
Back
Top Bottom