haha labda huwa haviambiliki mkuu vikishaonja hayo maisha ma selfieHivi hivi vibinti vinavyofanya hivi havina wazazi,
Ndugu, wajomba, shangazi n.k?
Na huwa wanawachukuliaje hawa mabint wa aina hii...
Yaani sipati picha familia zao wataleaje...
Ukweli ni kuwa hata wakiolewa hawadumu, huachika mara nyingi sana na huolewa hata bila kubariki ndoa!!
hata kama ana ukimwiView attachment 399675
View attachment 399676
View attachment 399677 cheki toto linavyolipa hilo daah anaye mbandua huyu mtoto anafaidi sana
Ile thred ya maneno ya Joyce Kiria mbona mnaisapoti!?Mungu anusuru kizazi chetu huyo mtoto ameshaharibikiwa kabisa yaani majanga
Teh teh na nahisi hotel anataja mwenyewe sio weweUkiwa Na hela unamuita hotel unakula mzigo Na yeye anaji-selfie!