Ni nani anayempa jeuri ya pesa Tunda wa Young Dee?

haha labda huwa haviambiliki mkuu vikishaonja hayo maisha ma selfie
 
Tubaki kujadili tu maana imeandikwa "Wanawake wazuri na warembo wataendelea kuwa shemeji zetu" hii inapatikana katika kitabu cha wanaume wa dar agano jipya : Hakunaga ushemeji 12:3.
 
Uyu kalazimisha ususupastaa wachee watu watumie ikifikia hatua kuwa ndala au marinda kuchoka hatakuwa anajiangalia alivyotumika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…