Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Sema ngeli mtihani. Jana nilikua kwenye interview na mtu aiseee mpaka nilikua namuonea huruma nikamwambia tu tuongee lugha yetu pendwa si lazima kimalkia.
Au ndio mimi mkuu. What a coincidence? Yesuuuu
 
Mleta mada hajamuombea mtoto yampate mabaya Bali ana focus future ya mtoto
 
The little man is just a kid.

Jitahidi kumtenganisha mtoto na drama za Mama yake.

Na ukiwa kama Mzazi/ Mzazi mtarajiwa jifundishe kuwa na control na mdomo wako when it comes to kids.

Unapowaombea wanao, waombee na watoto wengine Mwenyezi Mungu awaongoze na kuwalinda!

Hakuna mzazi hapo
 
Huu Uzi wengi wa wachangiaji ni Malaya na wambea wa saluni za kike hasa maeneo ya kinondoni sinza na tabata.
 
Nimekaona haka kajamaa mahali and I'm confident enough to say this kid is lost.

Dunia ni ulimwengu wa wanaume na mwanamke hana chochote cha kumfundisha mtoto wa kiume ili aje kupambana kwenye huu uliwengu mchafu, usio na haki wala huruma plus udhurumishi na ukatili you either fight or die.
Wanawake ni wanawake tu haijalishi kama anabeba vyuma au anajiita superwowan and shit.
na ndio maana huwezi kuta mwanamke anaenda vitani kupambana na wanaume bali wanaume watapambana na wanaume, na mwenye nguvu ndio atakaa juu sababu kila mwanaume anataka kuwa kiongozi.

Wanawake ni dhaifu na huo ndio ukweli hivyo kamwe hatoweza kulea mtoto wa kiume mpaka aje kuwa mwanaume.

This is a man world and this kid is going to the wrong way.

Anayeweza kunipinga ajitokeze nimchakaze.
 
Nimekaona haka kajamaa mahali and I'm confident enough to say this kid is lost.

Dunia ni ulimwengu wa wanaume na mwanamke hana chochote cha kumfundisha mtoto wa kiume ili aje kupambana kwenye huu uliwengu mchafu, usio na haki wala huruma plus udhurumishi na ukatili you either fight or die.
Wanawake ni wanawake tu haijalishi kama anabeba vyuma au anajiita superwowan and shit.
na ndio maana huwezi kuta mwanamke anaenda vitani kupambana na wanaume bali wanaume watapambana na wanaume, na mwenye nguvu ndio atakaa juu sababu kila mwanaume anataka kuwa kiongozi.

Wanawake ni dhaifu na huo ndio ukweli hivyo kamwe hatoweza kulea mtoto wa kiume mpaka aje kuwa mwanaume.

This is a man world and this kid is going to the wrong way.

Anayeweza kunipinga ajitokeze nimchakaze.


Dadaangu ana wanne wote wanaume, kawalea peke yake kwa tabu bila baba yao. Huyu wa mwisho hii January ndio anaingia kidato cha nne na yuko super kwenye vitabu kuliko kaka zake. Hawa watatu wa mwanzo, ni madogo tu lakini wanaburuza malori milimani huko kama hawana akili nzuri. Ni makamanda sio wa kuwapimia kihivyo. Sasa wewe ukiniambia mwanamke hawezi kulea mtoto akawa mwanaume, I don't agree with you. Hizo ni adabu za kale.
 
Dadaangu ana wanne wote wanaume, kawalea peke yake kwa tabu bila baba yao. Huyu wa mwisho hii January ndio anaingia kidato cha nne na yuko super kwenye vitabu kuliko kaka zake. Hawa watatu wa mwanzo, ni madogo tu lakini wanaburuza malori milimani huko kama hawana akili nzuri. Ni makamanda sio wa kuwapimia kihivyo. Sasa wewe ukiniambia mwanamke hawezi kulea mtoto akawa mwanaume, I don't agree with you. Hizo ni adabu za kale.
Kwahiyo maisha Uwoya anayoishi na mtt wake kwako ww unaona ni sahihi
 
Kwahiyo maisha Uwoya anayoishi na mtt wake kwako ww unaona ni sahihi


I don't know. Mimi nimekataa kauli ya hapo juu kusema mwanamke hana chochote cha kumfundisha mtoto aje kupambana na ulimwengu. Hizo ni adabu kale. Watu kibao wamelelewa na mama bila uwepo wa baba zao na wanafanya vizuri tu kwenye maisha, au unataka nikutajie mifano kwa majina?
 
Nimekaona haka kajamaa mahali and I'm confident enough to say this kid is lost.

Dunia ni ulimwengu wa wanaume na mwanamke hana chochote cha kumfundisha mtoto wa kiume ili aje kupambana kwenye huu uliwengu mchafu, usio na haki wala huruma plus udhurumishi na ukatili you either fight or die.
Wanawake ni wanawake tu haijalishi kama anabeba vyuma au anajiita superwowan and shit.
na ndio maana huwezi kuta mwanamke anaenda vitani kupambana na wanaume bali wanaume watapambana na wanaume, na mwenye nguvu ndio atakaa juu sababu kila mwanaume anataka kuwa kiongozi.

Wanawake ni dhaifu na huo ndio ukweli hivyo kamwe hatoweza kulea mtoto wa kiume mpaka aje kuwa mwanaume.

This is a man world and this kid is going to the wrong way.

Anayeweza kunipinga ajitokeze nimchakaze.
You have psychiatric problem sio bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inawezekana dady wako ndio alikuwa anamtreat your mom like trash and you have just mimicked hicho kitu sorry for you
 
ila huyo irene huwa namfeel sana toka zamani nilikuwa nasikia wivu sana enzi zile H Baba anakula..
mi huwa nikiangalia muv zake akiongea tu ile sauti yake huwa nadisa.
Sikushangai mkuu, mimi nilikua na feel sana macho ya Thea aisee, sijui yuko wapi huyu dada siku hizi.
 
Dadaangu ana wanne wote wanaume, kawalea peke yake kwa tabu bila baba yao. Huyu wa mwisho hii January ndio anaingia kidato cha nne na yuko super kwenye vitabu kuliko kaka zake. Hawa watatu wa mwanzo, ni madogo tu lakini wanaburuza malori milimani huko kama hawana akili nzuri. Ni makamanda sio wa kuwapimia kihivyo. Sasa wewe ukiniambia mwanamke hawezi kulea mtoto akawa mwanaume, I don't agree with you. Hizo ni adabu za kale.
Mimi amenishangaza sana, Hajui nyumba nyingi mama ndio kashika usukani,wababa wamelowea kwenye pombe na umalaya?
 
You have psychiatric problem sio bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inawezekana dady wako ndio alikuwa anamtreat your mom like trash and you have just mimicked hicho kitu sorry for you
Where's your point?

Mimi sina dady wala mom hayo mambo kwetu hayapo.
Mwanamke ni mwanamke tu na kamwe hatoweza kuraise mtoto wa kiume aje kuwa fighter na lazima huyo mtoto aje kuwa victim wa bullying, kulialia na people pleaser kama wewe hapa.

Mwanamke anaendeshwa na hisia (kama wewe hapa ulivyoniambia sorry) na hajali kuhusu power wala dominance pia hana msimamo na hata akivihataji hivyo vitu hatovipata, mtoto wa kiume ni lazima awe na hivyo vitu ili asiyumbishwe na uchafu wa dunia na hivyo vitu atavitoa kwa baba pekee.
Considering wanawake wa kipindi asilimia kubwa akili zao zimezikwa kama mama wa huyo dogo.

Mwanamke ana umuhimu wake kwa mtoto wa kiume lakini lazima baba awepo ili kuwe na balance simultaneously, otherwise it's anarchy na mfano hai muangalie huyo dogo alivyovaa?

Otherwise sioni unachounga wala unachpinga naona emotions tu ambazo either umepewa na mama yako au wewe lazima utakuwa mwanamke.
 
Dadaangu ana wanne wote wanaume, kawalea peke yake kwa tabu bila baba yao. Huyu wa mwisho hii January ndio anaingia kidato cha nne na yuko super kwenye vitabu kuliko kaka zake. Hawa watatu wa mwanzo, ni madogo tu lakini wanaburuza malori milimani huko kama hawana akili nzuri. Ni makamanda sio wa kuwapimia kihivyo. Sasa wewe ukiniambia mwanamke hawezi kulea mtoto akawa mwanaume, I don't agree with you. Hizo ni adabu za kale.
Uanaume hauonekani kwa nje tu bali ni kwa ndani pia ila ni ngumu kuuona.

Mwanamke anaweza kuraise mtoto wa kiume lakini hatoweza kuraise mtoto wa kiume kama atakavyomraise baba yake mzazi.
otherwise kuna ndugu wengine wa kiume ambao nao mi grudgingly na kwa kiasi wanaweza kuwa kama baba lakini hawatofikia hicho kiwango.
Na ndio maana nasema mwanamke kamwe hatoweza kuraise mtoto wa kiume yeye kama yeye.

Mwanamke hata awe anaongoza jeshi lakini naturally na biologically bado atakuwa na sifa hizi.
1. Hali ya kuhitaji kiongozi (mwanaume)
2. Hajali kuhusu Power.
3. Hajali kuhusu Dominance.
4. Anaendeshwa kwa hisia ni susceptible to emotions and highly sentimental.
5. Hana Msimamo usiovunjika hata iweje (ndio maana ni rahisi kummanipulate mwanamke ukamfanya unavyotaka na baadae kuna uwezekano mkubwa atarudi).
6. Hana natural instincts za kucontrol wala kuongoza.
7. Hana ile natural wa biological Intimidation hali ya kuogopeka.
8. Sio bravery wala jasiri kama alivyo mwanaume na wala hatofikia hizo level.

Hizi sifa zitabaki palepale hata kama huyo mwanamke awe commando na ana nyota 12 begani au anaongoza nchi.
Na hizi sifa utazipata only kwa mwanaume au baba, hivyo huyo mtoto wa kiume atalelewa na mama lakini bado atamiss hizi traits lakini kwa nje anaonekana ni mwanaume.

Hao unaowasema deep inside hawana hizi sifa.
Mimi hakuna kiumbe ninaemuheshimu kama mwanamke lakini ukweli utabaki pale'pale kwamba mama ana umuhimu wake kwa mtoto wa kiume lakini ni lazima baba awepo ili kuwe na balance simultaneously.
Na kamwe mwanamke hatoweza kulea mtoto wa kiume mfano hai ni huyo mama wa huyo mtoto, wanawake wataona nimewatukana sababu ni ukweli na ukweli siku zote unauma.

Sitoshangaa ukiniuliza haya yote nimejifunzia wapi!
 
Back
Top Bottom