Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo kapakwa lip stick sijui lip shine nywela kasukwa na bleach wameweka .Cheki huo MKAO. Kamvalisha na viatu vya kike.
Trust me, We have a problem here.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo ata Kama sio wa kwanza kusuka rasta unaona sawa sio ?Yeye ni wa kwanza kusuka rasta?
Umeshuhudia akitinda nyusi?
Unatumia nguvu nyingi .You did not read the entire thread.
Pedophilic comments escaped you?
Upi huo?
Mkuu, Rastafarian livity unaifahamu?Kwahiyo ata Kama sio wa kwanza kusuka rasta unaona sawa sio ?
Mtoto akiwa mwizi mama mtoto hatakiwi kukanywa kwa vile yeye sio wa kwanza kuwa mwizi?
Lazima mtu aonywe na sio kuanza kulinganisha makosa
karucee uyo Irene uwoya na huo Rastafarian wapi wapi?Mkuu, Rastafarian livity unaifahamu?
Tia neno kuwahusu na nywele za watoto wao. Na wao tuwaweke kwenye kundi hili?
Refer to swali lako la kwanza. Seemingly kusuka ndo issue ndo maana nikakuuliza ni nywele kwa wote ama that specific child.Sister karucee uyo Irene uwoya na huo Rastafarian wapi wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Sema ngeli mtihani. Jana nilikua kwenye interview na mtu aiseee mpaka nilikua namuonea huruma nikamwambia tu tuongee lugha yetu pendwa si lazima kimalkia.Kuna mtu mmoja anapiga ngeli humu. I wish angeniazima next week nitimbie kwenye interview NGO flani hivi. Sema ndio hivo nitatimba na hii hii yenye plasta plasta..
Na yule mtoto wa Diamond na Hamisa Mobetto anaelekea hukohuko. KIla siku ni poda na pozi ili mtoto aonekane vizuri insta. Katoto kameshaanza kulegea kama mtoto wa kike ukikaangalia vizuriAmfanye mtoto wake wa kiume awe na misuli na mkakamavu huo ndio uanaume, asimpake poda na lotion
Achana nae huyo madame...anaonekana ana stressLazima aokote mwanamme Ili mtoto apate father figure? Hana wajomba, Hana Babu, Hana Baba wadogo?
Mtoto kosa lake ni kipi katika 'ukweli' wako?
Furthermore kumbe hujanielewa nilipokuambia am not any of those things you assumed.
I guess am wasting time arguing with a lunatic.
Huyo huwezi kumtuliza matajiri wengi wameshindwa Ana "utoto" mwingiView attachment 1766743
View attachment 1769950
Nikimuangalia vizuri huyu mtoto wa Irene Uwoya ni wazi ana hitaji kuwa na baba kama sio baba au uncle maana ni wazi huyu mtoto kwa anavyo lelewa lazima atakuja kusahau kuwa yeye ni mwanaume!
Uwoya anamlea huyu mtoto kama mtoto wake wa kike au shosti yake kabisa!
Ina maana Harmonize au Mbosso wameshindwa kuwa baba wa huyu mtoto?
Wasalaam....
View attachment 1769953
Yani wewe aliyekuzalisha na kukuacha bora angekulazimisha kunywa P2 au kufanya abortion tu.Mkuu, Rastafarian livity unaifahamu?
Tia neno kuwahusu na nywele za watoto wao. Na wao tuwaweke kwenye kundi hili?
Wewe aliekuonjesha utamu wa pumbu alikosea sana.Yani wewe aliyekuzalisha na kukuacha bora angekulazimisha kunywa P2 au kufanya abortion tu.
Hizo Rasta ni za Wacheza viduku na sio za Rastafarian
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Nimeona.Achana nae huyo madame...anaonekana ana stress
AstaghafillullahDogo jicho jicho mpaka jicho la huku jicho.