Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

ila huyo irene huwa namfeel sana toka zamani nilikuwa nasikia wivu sana enzi zile H Baba anakula..
mi huwa nikiangalia muv zake akiongea tu ile sauti yake huwa nadisa.
Ndugu una hela ya kumnunulia maziwa ya kuoga? Naskia anaogea maziwa tu
 
Nani kamuombea mabaya zaidi ya kushauri mtoto apatiwe baba?
hao mababa ndo mabazazi kwisha kazi, tuache kumnenea mtoto mabaya jamani hakuna mtu anaweza kumpenda huyu mtoto zaidi ya mama yake waja ebu mumwache
 
Ninesoma comments naoma wanawake wanafurahia muonekano wa mtoto kwamba amefanana na mama so ni handsome hilo ni sawa ila uhandsome sidhani kama ni muonekano wa kike pia wanaume tunachoona ni kuwa hata kama anamuonekano wa kike basi awe na malesi ya kiume hiyo kumvalisha na kumremba kama mwanamke sidhan hata kama baba yake angekuwepo angekubali hayo na pia nyinyi wanawake manaotetea jinsi mtoto anavyowekwa inhalikuwa ni wadogo zenu wakiume mngeona ni sawa jinsi mtoto anavyolelewa ofcourse mtoto hana shida ila njia anayopitishwa anaweza kuja kuamini ndio sawa na kuendelea nayo na wenzie ndio watamfanya andelee nayo huko shulen na mitaan mwishonwa siku wataanza mchezea kidogo kidgo mwishowe aharibike mnaanza kimbilia ustawi wa jamii kuomba msaada achen kuendekeza upvmbav
 
Mbona hii ni kawaida tu mtoto kutaka kuwa nawe muda wote

IMG_0188.jpg
 
The little man is just a kid.

Jitahidi kumtenganisha mtoto na drama za Mama yake.

Na ukiwa kama Mzazi/ Mzazi mtarajiwa jifundishe kuwa na control na mdomo wako when it comes to kids.

Unapowaombea wanao, waombee na watoto wengine Mwenyezi Mungu awaongoze na kuwalinda!
Bitter truth.

Huyo mtoto anaelekea kua mchele mchele.

Wazungu wanasema " We have a situation here"

Indeed, we have.

Yes, he is just a kid anayelelewa kwenye mazingira hatarishi. No one is cursing here.

Samaki mkunje angali mbichi. Huyo akienda boarding wenzio watakua wanashika matako huku anacheka cheka. Na kesema 'where is mamiiii'

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu mmoja anapiga ngeli humu. I wish angeniazima next week nitimbie kwenye interview NGO flani hivi. Sema ndio hivo nitatimba na hii hii yenye plasta plasta..
Mimi Jana nimepitia hii uzi nikaona wanachobishana sielewi nimerudi sasa nadikshonali pembeni labda ntapata kuelewa kilichokuwa kinazungumzwa.[emoji58][emoji58]
 
Bitter truth.

Huyo mtoto anaelekea kua mchele mchele.

Wazungu wanasema " We have a situation here"

Indeed, we have.

Yes, he is just a kid anayelelewa kwenye mazingira hatarishi. No one is cursing here.

Samaki mkunje angali mbichi. Huyo akienda boarding wenzio watakua wanashika matako huku anacheka cheka. Na kesema 'where is mamiiii'

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wenzie hao labda munaowazaa nyie hawana maadili kutokana na munavyowafundisha kwamba kushikana matako ni Sawa.

Una proof ganii kuhusu malezi ya huyo mtoto?

Are you judging from the pictures on social media?

Yaani ndie mnaojiitaga majina ya akizingua na mkatupia kasentensi ka English mnakokariri kwenye movies shida kweli.
 
View attachment 1766743
View attachment 1769950


Nikimuangalia vizuri huyu mtoto wa Irene Uwoya ni wazi ana hitaji kuwa na baba kama sio baba au uncle maana ni wazi huyu mtoto kwa anavyo lelewa lazima atakuja kusahau kuwa yeye ni mwanaume!

Uwoya anamlea huyu mtoto kama mtoto wake wa kike au shosti yake kabisa!
Ina maana Harmonize au Mbosso wameshindwa kuwa baba wa huyu mtoto?
Wasalaam....

View attachment 1769953
Ma uncle ndo mabasha wenyewe wacha aendelee kumlea mwenyewe tu
 
Naunga mkono hoja mkuu, Ila cyo kwa hao uliyowapendekeza! kwa7bu nao bado ni watoto na hoja ni mtoto kupata malezi ya baba na si mtoto kupata malezi ya mtoto mwenzie. Nasema haya kwa jazba na kwa kumaanisha Kama baba na mlezi..ili kuepuka yacje jirudia yale ya janjaro na kumbomoa mtoto kiakili badala ya kumjenga.
Nakubaliana na wewe.

Kupiga chwaa chwaa wazungu hawa hakumaanishi sasa unaweza kuwa baba.

Not all men are meant to be fathers and vice versa is true.
 
Back
Top Bottom