Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Nilishaapa sitaachia mwanamke malezi

Hasa mnaoandika vizungu vizungu uchwara akili zenu ziko magotini
Watoto wengi wamelelewa na mama mmoja tu na wamekua vyema tu ,kina baba asilimia kubwa hukimbia familia
 
Hata Kajala watu waliongea hivi hivi leo Harmonize ameshatomber haswa... Rayvanvy ameshapiga haswaa.

Matajiri kibao wameshajitombair Tena kuanzia kikiwa form 2. Kinauza papuchi Kama hakina akili nzuri na mpaka baba Yake imefikia hatua amekikana.


Na waliokuwa msitari wa mbele kumtetea kajala amlee mwanae anavyojisikia leo wako kimya.


Ni suala la muda tu.
 
Naona motherly instincts zime kick in

Wanawake mnavyoona kwa jicho lenu ni really tofauti na wanaume

Too much sympathy mnaonesha

Sasa wababa humu wanakupa reality on how to be a man maana wao ni men to begin with unaanza kukataa of which wewe hujawahi kua man

Ndio maana exactly huyu mtoto needs a father figure to keep him in check

A child yes,ni a boy child sio just a "child"....

Sasa yeye ndio atakuja pambana na reality ya men's world,hapo wewe haupo ndio shida itakapomuanzia
I feel sorry for the kid

These women know nothing in men world

Na Ile clique ya maza ake ndio utata mtupu .

Ok time will tell .

Wanawake wapungeze emotional waangalie uhalisia that kid a boy he supposed to the future man, not all Boyz become MEN .

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Sio kila mtu ni mzima waakili wengi wao ni vichaa kwa hiyo usishangae mkiona watu wengi wanaambulia kuongea upupu sio kila mtu anamali kuna watu wana mavi au maji.
 
Huu Uzi usipofutwa tutautumia Kama reference miaka ijayo the future is exciting ,

Nyie endeleeni kuoneshana umwamba wa kutype

Sisi tunangoja muda utasema vizuri barabara!! Ndio tutajua Nani Ni mkuda na Nani ni mchimbachumvi

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 1766743

Nikimuangalia vizuri huyu mtoto wa Irene Uwoya ni wazi ana hitaji kuwa na baba kama sio baba au uncle maana ni wazi huyu mtoto kwa anavyo lelewa lazima atakuja kusahau kuwa yeye ni mwanaume!

Uwoya anamlea huyu mtoto kama mtoto wake wa kike au shosti yake kabisa!
Ina maana Harmonize au Mbosso wameshindwa kuwa baba wa huyu mtoto?
Wasalaam....
Afanye yote, Ila asifikie hatua ya kubadilisha au kuvaa nguo mbele ya mtoto.
 
Uzuri wa kukaa nyuma ya keyboard ni kwamba you think you know everything.

To set the record straight.

I am not a single Mama, I am not divorced and I am certainly not dumb.

Kuanza kumshambulia mtoto mdogo ni ulimbukeni and you need to have your conscience resuscitated.

Dada kuwa makini na malezi,unavyoongea ni kama mtoto hana hisia zozote za kimapokeo kipindi cha makuzi. Ubongo wa mtoto unapokea na kuhifadhi vitu bila kufanya upembuzi,kitu ambacho ni kibaya sana huko mbeleni. Nilishawahi msikia huyu Irene akilalamika dogo anataka kuambatana nae kila mahali,mpaka ikafika hatua anakasirika akitamani acheze na wenzake lakini dogo hataki.
 
Dada kuwa makini na malezi,unavyoongea ni kama mtoto hana hisia zozote za kimapokeo kipindi cha makuzi. Ubongo wa mtoto unapokea na kuhifadhi vitu bila kufanya upembuzi,kitu ambacho ni kibaya sana huko mbeleni. Nilishawahi msikia huyu Irene akilalamika dogo anataka kuambatana nae kila mahali,mpaka ikafika hatua anakasirika akitamani acheze na wenzake lakini dogo hataki.
Hiyo ni separation anxiety.

Anyway soma uliponi quote uelewe nilichoandika.
 
Nashukuru,sijui chochote,wewe unajua zaidi
Separation anxiety huwa inatokea pale mama na mtoto wanapokuwa so close hivyo basi kumsababishia mtoto ugumu wa kutengana na Mama yake

I hope umenielewa.

Of course kuwa hiyo age haikutakiwa iwe so evident but sio kigezo Cha kumshambulia mtoto.
 
Separation anxiety huwa inatokea pale mama na mtoto wanapokuwa so close hivyo basi kumsababishia mtoto ugumu wa kutengana na Mama yake

I hope umenielewa.

Of course kuwa hiyo age haikutakiwa iwe so evident but sio kigezo Cha kumshambulia mtoto.

Asante,nimegundua nilikuwa nawafuga wanangu,sasa nitaanza kuwalea.
 
Back
Top Bottom